CAS yatupilia mbali rufaa ya Guinea, Taifa Stars ikihakikishiwa AFCON 2025
Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imetupilia mbali rufaa ya Guinea iliyoomba timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ipokonywe haki ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Rufaa hiyo ambayo imesikilizwa Novemba 17, 2025, imetupwa baada ya CAS kukubaliana na uamuzi uliofanywa na vyombo viwili vya kisheria vya Shirikisho la…