Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 28
Michezo

Simba kutozwa faini kukacha kikao

June 24, 2025 Admin

KUELEKEA mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Simba imeshindwa kutokea katika mkutano wa pili wa maandalizi ya mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Mkapa,

Read More
Michezo

Mkongomani kumchomoa Diao Azam FC

June 24, 2025 Admin

UONGOZI wa Azam FC upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa AC Rangers ya Congo, Enock Lihonzasia. Azam FC ikiwa na mpango

Read More
Michezo

Bwalya mambo safi Pamba Jiji

June 24, 2025 Admin

UONGOZI wa Pamba Jiji umefanikisha kuinasa saini ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia, Rally Bwalya, baada ya mwanzo mwa msimu huu dili

Read More
Michezo

Kisa dabi, kikao kizito Yanga

June 24, 2025 Admin

WABABE wa soka la Bongo, Simba na Yanga wanakutana kesho katika mechi ya Dabi ya Kariakoo ambayo imetawaliwa na mambo kibao na ambayo imekuwa ikitembea

Read More
Michezo

Miloud: Tupo siriazi, tunataka ushindi

June 24, 2025 Admin

Kocha wa Yanga, Hamdi Miloud amesema kesho timu yake ipo tayari kwa mechi hiyo kubwa na kwamba wako siriazi ili kushinda mchezo huo. Akizungumza na

Read More
Michezo

Yanga yaibuka mkutanoni, Simba yasikilizia

June 24, 2025 Admin

Wakati mechi ya Dabi ya Kariakoo ikitarajiwa kupigwa kesho, Yanga imefanya mkutano na waandishi wa habari, huku Simba iliyotakiwa kufika kwenye mkutano haikutokea. Simba itakuwa

Read More
Michezo

NCHI 15 ZA AFRIKA ZAJADILI MUSTAKABALI WA NYUKLIA KWA MAENDELEO ENDELEVU

June 24, 2025 Admin

::::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Dar es Salaam imekuwa mwenyeji wa mkutano muhimu wa kimataifa wa kujadili maboresho ya mikataba ya nyuklia, kwa

Read More
Michezo

Jalada kesi ya anayedaiwa kujifanya Polisi, kwenda Uturuki kununua silaha lipo kwa DPP

June 23, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jalada la kesi ya kujitambulisha kuwa askari polisi inayomkabili mfanyabiashara, Msafiri Maulid (48) lipo ofisini kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa

Read More
Michezo

Rekodi tatu mwamuzi Dabi ya Kariakoo

June 23, 2025 Admin

MCHEZO wa Dabi ya Kariakoo umeingia kwenye historia mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwashusha waamuzi kutoka Misri na Somalia, huku rekodi

Read More
Michezo

Dakika 45 za moto kwa Seleman Mwalimu

June 23, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amecheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Dunia la

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 27 28 29 … 645 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.