Ibenge awapa maujanja mastaa Azam

AZAM FC tayari ipo Zanzibar ikijiandaa kuikaribisha Wydad Athletic kutoka Morocco katika mechi ya pili Kundi B la Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini kwa mabao 2-0 mbele ya AS Maniema. Kuelekea mechi dhidi ya Wydad itakayochezwa Ijumaa Novemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Kocha Mkuu…

Read More

Kiswanya hataki mchezo Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO wa Namungo, Abdulkarim Kiswanya amesema kupata nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha timu hiyo si jambo jepesi kutokana na ubora wa nyota waliopo. Kiswanya ambaye anaitumikia Namungo kwa mkopo akitokea Azam FC ambayo alipandishwa timu ya wakubwa msimu huu kutokea ile ya vijana chini ya miaka 20, alisaini mkataba wa miaka mitano utakaotamatika 2030…

Read More

Mashaka: Mchongo ni nafasi tu

MSHAMBULIAJI wa Simba anayecheza JKT Tanzania kwa mkopo, Valentino Mashaka amesema kwa sasa anachotaka ni nafasi tu ndani ya kikosi hicho ili kuonyesha ubora wake. Valentino ambaye alisajiliwa Simba msimu uliopita akitokea Geita Gold, huku akimwaga wino wa miaka mitatu kuwatumikia mabosi hao wa Msimbazi, anaitumikia JKT Tanzania kwa mkopo wa msimu mmoja. Wakati msimu…

Read More

Pamba Jiji yavunja rekodi yake

PAMBA Jiji imevunja rekodi ya msimu uliopita ndani ya raundi saba za kwanza Ligi Kuu Bara kiasi cha kuwaibua wakongwe wa timu hiyo akiwemo Khalfan Ngassa. Pamba ambayo kwa sasa ni kinara Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 12, msimu uliopita ndani ya mizunguko saba ya kwanza ilikuwa haijaonja ushindi wa kwanza katika ligi. Msimu…

Read More

Simulizi ya Dar City ikiishia njiani BAL

BAADA ya Johannesburg Giants ya Afrika Kusini kuiondoa Dar City City katika nusu fainali ya mashindano ya kikapu Road to BAL Elite 16, kocha wa timu hiyo, Florsheim Ngwenya amesema walicheza na timu nzuri iliyokuwa na wachezaji wenye  viwango bora Afrika. Pamoja na ushindi wao huo, amesema watu wengi hawakuipa nafasi timu yake kushinda akisema…

Read More

KMC, Mtibwa Ligi Kuu Bara ngoja tuone!

NA leo tena! Ndivyo unavyoweza kusema wakati KMC iliyotoka kupasuka nyumbani katika mechi iliyopita mbele ya maafande wa JKT Tanzania, leo itashuka tena uwanjani kuvaana na Mtibwa Sugar iliyopoteza pia pambano lililopita la Ligi Kuu dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa KMC. KMC inayonolewa na kocha Mbrazili, Marcio Maximo ikipoteza mechi sita mfululizo za Ligi…

Read More

Peter Lwasa: Bado najitafuta, tulieni!

LICHA ya kuwa na mabao matatu katika akaunti ya Ligi Kuu Bara, mshambuliaji wa Pamba Jiji, Peter Lwasa, amesema bado anaamini ana nafasi ya kuwa bora zaidi mbele ya lango kadri atakavyokuwa akipewa nafasi ya kucheza na kocha Francis Baraza. Nyota huyo wa zamani wa Kagera Sugar na Gor Mahia ya Kenya aliyefunga mabao yote…

Read More

Waangola wamchongonisha Pantev na mabosi Simba

KOCHA wa Petro Atletico ameondoka na furaha baada ya kuichapa Simba, lakini kuna kitu amesema lazima kitakoleza moto mbaya wa mwenzie Dimitar Pantev aliyepo Msimbazi. Petro iliifunga Simba kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mechi yao ya ufunguzi ya Kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni mara ya kwanza kwa…

Read More