Kocha Abdul Saleh amrithi Mngazija Uhamiaji FC

KIKOSI cha Uhamiaji FC kimemtambulisha Abdul Saleh Mohammed kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua nafasi ya Ali Bakar Mngazija. Mngazija ambaye ametimkia Coastal Union ya Tanga, aliitumikia Uhamiaji FC kwa msimu mmoja pekee wa 2024-2025 ambapo timu hito ilimaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar. Mbali na kufanya maboresho ya benchi la…

Read More

Uzinduzi Simba Day waleta shangwe Mafinga

Mashabiki na wa wananchama wa Simba Tawi la Mafinga na maeneo mbalimbali nje ya Mkoa wa Iringa, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Simba Day  unaotarajiwa kufanyika Agosti 30, 2025, wilayani Mufindi mkoani hapa, huku fursa ya kiuchumi ikitajwa kuwanufaisha. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 28, 2025 na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

Mao ajiandaa kuitema KMC | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, raia wa Somalia, Ibrahim Elias ‘Mao’, huenda akaachana na timu hiyo baada ya mazungumzo ya kusaini mkataba mpya kuingia dosari, huku ikielezwa makubaliano imeshindikana kufikiwa baina ya pande hizo zote mbili. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Mao hatokuwa sehemu ya timu hiyo kutokana na kutokubaliana kwa baadhi ya vifungu vya kuboreshewa…

Read More

Mjadala wa Mzize tuachane nao sasa

KUANZIA sasa na kuendelea, hapa kijiweni tumekubaliana kutoendelea na mjadala kumhusu mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na suala lake la kucheza soka la kulipwa nje ya nchi. Uamuzi wa Mzize kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo tunadhani ameamua kutupa majibu tufanye yanayotuhusu na suala la yeye wapi acheze linabakia katika uamuzi wake. Tunapaswa kufahamu…

Read More

Opah anaendeleza uthubutu kwa wanawake

BAADA ya kutumikia timu ya wanawake ya FC Juarez kwa msimu mmoja, juzi nahodha wetu wa Twiga Stars, Opah Clement alijiunga rasmi na SD Eibar ya Hispania. Ni uhamisho ambao hapa kijiweni umetufurahisha sana kwa vile kwanza anaenda katika nchi ya kisoka hasa ambayo ina moja kati ya ligi bora za soka za wanawake. Baadhi…

Read More

Bado Watatu – 11 | Mwanaspoti

“AFANDE kama ulivyosema alama za dole gumba ni zile zile za kwanza. Hii imethibitisha kwamba muuaji ni mtu yule yule,” Ibrahim akaniambia kabla sijakaa kwenye kiti. Nilipokaa nikamuuliza: “Na zile alama za marehemu mmeshazichunguza?” “Tumezichunguza kujua kama ni mtu ambaye tuna rekodi naye lakini tumepata matokeo ya kushangaza kama yale tuliyoyapata mwanzo ndio maana nimekuita.”…

Read More

Kambi ya Misri Fadlu aja na jipya

SIMBA jana ilicheza mechi ya mwisho ya kirafiki ikiwa kambini Misri, lakini kuna taarifa ya kushtusha baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids kuwaambia mabosi wa klabu hiyo kwamba anahitaji mashine nyingine mpya ya kufungia usajili wa kikosi hicho. Simba imeshasajili wachezaji kama 10 hadi sasa wakiwamo sita wa kigeni, lakini kocha Fadlu…

Read More

Tshabalala achukua namba ya mtu

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano, huku ikielezwa nahodha wa zamani wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ aliyetua klabuni hapo kwa kishindo amempora mtu namba mapema. Tshabalala ni kati ya wachezaji watano wa Yanga waliokuwa katika timu ya taifa iliyokuwa ikishiriki Fainali za CHAN 2024 ambao walipewa mapumziko…

Read More

Marcio: Mambo yameiva KMC | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema kikosi chake kiko fiti kwa asilimia kubwa na kinachoendelea ni kutengeneza mbinu zitakazokipa matokeo mazuri mapema mwezi ujao ligi itakapoanza. KMC imerejea kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuweka kambi ya wiki mbili  Zanzibar huku kocha huyo akidai kuwa maandalizi kwa ujumla yanakwenda vizuri na anaridhishwa na uwezo…

Read More