Malindi ipo tayari kuivaa Chipukizi ZPL

KIKOSI cha timu ya Malindi, leo kinatarajia kusafiri kutoka Unguja kuelekea Pemba kwa ajili ya kucheza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) dhidi ya Chipukizi itakayofanyika Septemba 27, 2025, kwenye Uwanja wa Gombani uliopo kisiwani humo, saa 10:15 jioni. Msafara wa timu hiyo utakuwa na watu 32 wakiwemo wachezaji 22, viongozi saba na…

Read More

Gamondi ataka miezi sita tu Singida BS

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema ushindi dhidi ya KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara sio wa bahati mbaya, huku akiweka wazi ubora wa wachezaji alionao ndio siri ya mafanikio licha ya kukaa pamoja kwa muda mfupi, akisisitiza anataka apewe miezi sita tu. Gamondi amefunguka hayo baada ya Singida kuifunga KMC…

Read More

Maximo akomalia mastraika KMC | Mwanaspoti

KICHAPO cha bao 1-0 ilichopewa KMC katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Singida Black Stars, kimemuamsha kocha wa timu hiyo, Mbrazili Marcio Maximo akisema changamoto kubwa iliyowagharimu ni katika eneo la safu ya ushambuliaji. Akizungumza na Mwanaspoti jijini Dar es Salaam baada ya mechi hiyo, Maximo alisema eneo la ushambuliaji lilikosa mabao mengi kutokana…

Read More

Beki Simba anukia CI Kamsar ya Guinea

ALIYEKUWA beki wa kushoto wa Simba, Valentin Nouma anakaribia kujiunga na timu ya CI Kamsar ya Guinea, baada ya nyota huyo raia wa Burkina Faso kuondoka Msimbazi alikotumikia kwa msimu mmoja tu. Nouma alijiunga na Simba, Julai 7, 2024 akitokea FC Saint Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu, lakini alifikia makubaliano…

Read More

Huyu ndiye Mirambo anayekaimu nafasi ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira…

Read More