Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 29
Michezo

Yanga yaibuka mkutanoni, Simba yasikilizia

June 24, 2025 Admin

Wakati mechi ya Dabi ya Kariakoo ikitarajiwa kupigwa kesho, Yanga imefanya mkutano na waandishi wa habari, huku Simba iliyotakiwa kufika kwenye mkutano haikutokea. Simba itakuwa

Read More
Michezo

NCHI 15 ZA AFRIKA ZAJADILI MUSTAKABALI WA NYUKLIA KWA MAENDELEO ENDELEVU

June 24, 2025 Admin

::::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Dar es Salaam imekuwa mwenyeji wa mkutano muhimu wa kimataifa wa kujadili maboresho ya mikataba ya nyuklia, kwa

Read More
Michezo

Jalada kesi ya anayedaiwa kujifanya Polisi, kwenda Uturuki kununua silaha lipo kwa DPP

June 23, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jalada la kesi ya kujitambulisha kuwa askari polisi inayomkabili mfanyabiashara, Msafiri Maulid (48) lipo ofisini kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa

Read More
Michezo

Rekodi tatu mwamuzi Dabi ya Kariakoo

June 23, 2025 Admin

MCHEZO wa Dabi ya Kariakoo umeingia kwenye historia mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwashusha waamuzi kutoka Misri na Somalia, huku rekodi

Read More
Michezo

Dakika 45 za moto kwa Seleman Mwalimu

June 23, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amecheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Dunia la

Read More
Michezo

Waliopoteza tiketi uhakika Kwa Mkapa

June 23, 2025 Admin

KIONGOZI wa N-Card Catherine Chami amewapa uhakika mashabiki waliopoteza tiketi zao ambazo walizikata kwa ajili ya mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na

Read More
Michezo

Asaka rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro akipiga danadana

June 23, 2025 Admin

WAKATI wengine hupanda Mlima Kilimanjaro kwa kutembea kawaida, staa wa danadana kutoka Sweden, Emil Jylhänlahti, ameanza safari ya kuupanda mlima huo maarufu duniani huku akichezea

Read More
Michezo

Wanaume, wanawake KIUT zabeba ubingwa wavu Dar

June 23, 2025 Admin

TIMU za wanawake na wanaume za KIUT zimetawazwa kuwa mabingwa wa Ligi ya Mpira wa Wavu Mkoa wa Dar es Salaam maarufu kama Serie A.

Read More
Michezo

Tuna Mechi Moja Tukishinda Tutakuwa Mabingwa – Global Publishers

June 23, 2025 Admin

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa wana mchezo mmoja mkononi ambao

Read More
Michezo

Singida Black Stars yaanza na mashine hii

June 23, 2025 Admin

UNAMKUMBUKA kiungo mshambuliaji Raouf Bao ambaye alionyesha kiwango bora katika mashindano ya Mapinduzi Cup 2025 yaliyofanyika Zanzibar akiwa na kikosi cha timu ya taifa Burkina

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 28 29 30 … 646 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.