Mafunzo yafyeka benchi lote Zenji

BAADA ya kushindwa kuiongoza Mafunzo kufikia malengo iliyokusudia msimu uliopita uongozi umeachana na makocha wake wawili – kocha mkuu, Sheha Khamis na msaidizi wake, Abdallah Bakari ‘Edo’. Mafunzo msimu uliopita chini ya makocha hao ilimaliza nafasi ya tatu ikiwa na pointi 55 baada ya kushinda michezo 16, sare saba na kupoteza saba. Kwa mujibu wa…

Read More

Sababu Yanga kumzuia Mzize | Mwanaspoti

KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika. Zilitajwa timu mbalimbali kubwa barani Afrika ikiwamo Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca (Morocco) na Kaizer…

Read More

Morocco, Madagascar patachimbika CHAN 2024

TIMU ya taifa la Morocco imeweka historia nyingine kwenye michuano ya (CHAN) 2024 baada ya kuibwaga Senegal kwa mikwaju ya penalti 5-3 kufuatia sare ya bao 1-1 katika dakika 120 kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Kampala huku wakiwa na hesabu za fainali. Hii ni mara ya tatu kwa Morocco kutinga fainali ya michuano hiyo, katika…

Read More

Azam kunogesha Mbeya City Day Sokoine

Wakati Mbeya City ikiendelea na maandalizi ya tamasha lake la ‘Mbeya City Day’, timu hiyo imesema inatarajia kujipima nguvu dhidi ya Azam FC ili kunogesha tukio hilo linalotarajiwa kufanyika Septemba 9 mwaka huu. Kabla ya tukio hilo, timu hiyo itaanza kushiriki shughuli za kijamii ikiwa ni kuchangia damu kwenye Hospitali ya Igawilo, kutembelea watoto kwenye…

Read More

Yanga yamaliza utata kuhusu Mzize

MABOSI wa Yanga umezima tetesi za mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize kutimka kikosini humu kwa kuthibitisha kuwa ataendelea kuichezea timu hiyo hadi 2027. Mzize alikuwa anatajwa kutua Esperance Sportive de Tunisia, pia alikuwa anahusishwa na Al Masry hivyo kwa mujibu wa Yanga nyota huyo ataendelea kusalia Jangwani. Yanga imethibitisha hayo kupitia mtandao wao wa…

Read More

Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More

Opah atimkia Ligi Kuu Hispania

MSHAMBULIAJI na nahodha wa Timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars Opah Clement ametambulishwa kwenye kikosi cha SD Eibar inayoshiriki Ligi Kuu Hispania maarufu Liga F. Ametambulishwa kikosini hapo akitokea FC Juarez ya Mexico aliyoitumikia kwa msimu mmoja akicheza mechi sita kati bila ya kufunga bao wala asisti. Nyota huyo wa kimaaifa wa Tanzania anakuwa…

Read More