Ukonga inavyozalisha mastaa wa kike Dar

KILE kituo cha Ukonga Basketball Academy ndicho kinachoongoza kwa ukuzaji wa vipaji vya wasichana katika Jiji la Dar es Salaam ambapo wengi wao wameonekana kutawala katika timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu mkoani humo (WBDL). Baadhi ya mastaa wa kike wanaotesa katika ligi hiyo ni pamoja na Monalisa Kaijage, Witness Mapunda, Ana Marie na Noela Uwendameno…

Read More

Katibu mkuu mpya TFF anukia, Kidao akichomoka

NDANI ya siku sita kutoka leo, wakati wowote Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linaweza kuingia kwenye hatua kubwa ya mabadiliko kwa kuteuliwa katibu mkuu mpya. Taarifa kutoka TFF ni, Katibu Mkuu wa sasa wa shirikisho hilo, Wilfred Kidao yuko kwenye hatua za kuachia nafasi hiyo. Inaelezwa, Kidao ameshaandika barua ya kuomba kutoendelea na…

Read More

Hesabu za Ismail Mgunda Mashujaa

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Ismail Mgunda, amesema matarajio yake makubwa msimu huu ni kuhakikisha anaingia katika orodha ya wachezaji watakaokuwa wanatajwa kwa mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara. Msimu uliyopita kabla ya kwenda kujiunga na AS Viya ya DR Congo, mshambuliaji huyo alifunga mabao mawili, kitu ambacho anakitamani katika Ligi Kuu inayoendelea kufanya vitu vikubwa….

Read More

Makocha wazawa waichunia Simba | Mwanaspoti

Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa aliyeomba nafasi hiyo. Hilo linatokea huku kocha huyo akiiaga klabu hiyo huku akijiunga na rasmi na Raja Casablanca ya Morocco. Tangu juzi mara baada ya kuwepo…

Read More

Simbu aipandisha chati Tanzania kidunia

Ushindi wa medali ya dhahabu katika marathoni kwa mwanariadha Alphonce Simbu kumeifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi 20 bora katika mchezo wa riadha kati ya nchi 198. Tanzania kwa sasa ni nchi ya 19 kwa mujibu wa  orodha ya viwango vya dunia iliyotolewa jana na Shirikisho la riadha duniani (WA) na ya tatu katika bara…

Read More

Morocco atua, afunguka ajira yake Simba

KOCHA Hemed Suleiman ‘Morocco’ amewasili jijini Dar es Salaam, tayari kwa kupokea jukumu jipya la kuifundisha Simba kwa muda, huku akifunguka kazi atakayokutana nayo. Morocco, amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo asubuhi, akitokea nyumbani kwake Zanzibar, ikiwa ni siku moja tangu jana usiku atangazwe kuwa kocha wa Wekundu hao. Akizungumza mara…

Read More

Elfadhil arusha taulo Tanzania Prisons

BAADA ya kuitumikia Tanzania Prisons kwa miaka 16, aliyekuwa nahodha wa timu hiyo Jumanne Elfadhil ametangaza kupumzika akiahidi kuisaidia timu hiyo kwa mawazo atakapohitajika, huku akitoa neno juu ya matokeo ya mechi mbili kwa Wajelajela hao. Elfadhil amekuwa katika kikosi hicho tangu alipoanza kuitumikia mwaka 2009 alipojiunga nayo, kwa sasa amesema hatarajii kurejea uwanjani tena…

Read More