
Yanga kutesti mitambo na Wakenya | Mwanaspoti
BAADA ya Rayon Sports, mastaa wa Yanga wanatarajia kushuka tena dimbani Septemba 12 wakiivaa Bandari ya Kenya kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi. Mara ya mwisho Yanga ilicheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye tamasha hilo dhidi ya mabingwa wa Ligi Kuu Zambia msimu wa 2024/24 ikicheza na Red Arrow ikiibuka na ushindi wa mabao…