Simbu atua kishujaa, gwaride likifuata 

MWANARIDHA Alphonce Felix Simbu ametua nchini usiku wa kuamkia leo saa 9:00 alfajiri kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akibeba medali ya dhahabu aliyonyakua kwenye mashindano ya Dunia ya Riadha yaliyofanyika Tokyo, Japan. Simbu ambaye ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda kwenye mbio za marathon, alipokelewa kwa shamrashamra na…

Read More

Kadi nyekundu yamliza Kikoti | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Lucas Kikoti amezungumzia tukio la kuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi nyekundu msimu huu 2025/26 kuwa amepata kadi hiyo akiwa katika majukumu ya kuipambania timu yake, lakini amesikitika kushindwa kumaliza mchezo. Kikoti ameingia katika rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi nyekundu msimu huu baada ya Massoud Abdallah ‘Cabaye’ anayekipiga…

Read More

Mayanga ageukia mastraika Mashujaa FC

KOCHA mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema ana kazi kubwa ya kufanya kwenye safu yake ya ushambuliaji kuhakikisha wanatumia kila nafasi wanayotengeneza huku akiweka wazi kuwa ligi ya msimu huu ni pasua kichwa. Mayanga amefunguka hayo baada ya kukusanya pointi nne kwenye mechi mbili walizocheza akianza na sare dhidi ya JKT Tanzania ya bao 1-1…

Read More

Mtibwa Sugar shida iko hapa

MABINGWA wa zamani wa Tanzania, Mtibwa Sugar imeanza vibaya Ligi Kuu Bara kwa kufungwa bao 1-0 na Mashujaa mjini Kigoma, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’ ametaja sababu za kupoteza alama tatu, akiwataja washambuliaji. Mtibwa iliyorejea katika ligi hiyo baada ya kupanda daraja msimu huu tangu iliposhuka msimu wa 2023-2024 kwa kucheza Ligi…

Read More

Fadlu atambulishwa Raja Club Athletic, Simba yamshukuru

Klabu ya Raja Club Athletic imetangaza kufanya mabadiliko katika benchi lake la ufundi. Katika taarifa yake waliyoichapisha kwenye mtandao wa kijamii imesema “Kulingana na mapendekezo ya Mkurugenzi wa Michezo na tathmini ya jumla iliyofanywa na Kamati ya Michezo kuhusu awamu ya maandalizi ya msimu huu, pamoja na mechi rasmi za kwanza, Raja Club Athletic inatangaza…

Read More

Fadlu amaliza utata, aiaga Simba akimtaja Mo Dewji

Hatimaye aliyekuwa Kocha wa Simba, Fadlu Davids ameaga rasmi baada ya tetesi kusambaa katika mitandao ya kijamii na kutoonekana kwake timu ikirudi kutoka Botswana ilipokwenda kucheza dhidi ya Gaborone United mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kupitia ujumbe alioandika kocha huyo katika ukurasa wake wa Instagram unakamilisha tetesi za kuondoka kwake klabuni hapo na kuwa…

Read More

DCMA, OlimpAfrica wafanya tamasha la muziki Zanzibar

CHUO cha Muziki (DCMA) kwa kushirikiana na Kituo cha OlimpAfrica, wamefanya tamasha la muziki lililopewa jina la Tutambue lililofanyika Dole, Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi. Katika tamasha hilo, Mkurugenzi wa Sanaa kutoka DCMA, Tryphone Evarist ametoa wito kwa wananchi kuacha kuamini kuwa muziki ni kazi isiyokuwa na maadili, huku akisisitiza kwamba hiyo ni…

Read More

Rais Mwinyi kununua bao la Mlandege, KMKM Sh5 milioni

KATIKA kutoa hamasa kwa timu za Zanzibar zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema atanunua kila bao litakalofungwa na timu hizo kwa Sh5 milioni. Hayo yameelezwa jana Septemba 21, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Fatma Hamad…

Read More