Simbu atua kishujaa, gwaride likifuata
MWANARIDHA Alphonce Felix Simbu ametua nchini usiku wa kuamkia leo saa 9:00 alfajiri kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akibeba medali ya dhahabu aliyonyakua kwenye mashindano ya Dunia ya Riadha yaliyofanyika Tokyo, Japan. Simbu ambaye ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda kwenye mbio za marathon, alipokelewa kwa shamrashamra na…