Sillah ashindwa kujizuia kwa Tepsie

WINGA wa zamani wa Azam FC, Gibril Sillah ameshindwa kujizuia na kummwagia sifa nyota wa timu hiyo, Tepsie Evans akisema makali na kipaji kikubwa alichonacho kitakuwa msaada mkubwa kwa kikosi hicho baada ya kuondoka kwake. Azam chini ya kocha Florent Ibenge imekita kambi jijini Kigali, Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na imecheza…

Read More

Wapinzani wa JKT Queens Cecafa kujulikana

DROO ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Masharikia na Kati (Cecafa) inatarajiwa kuchezeshwa leo Nairobi, Kenya ambapo wapinzani wa wawakilishi wa Tanzania, JKT Queens, watafahamika. Ratiba inaonyesha michuano hiyo itaanza kuchezwa kati ya Septemba 4-16 kwenye viwanja vya Nyayo na Ulinzi Complex nchini humo. Kwa mujibu wa meneja wa…

Read More

Bado Watatu – 8 | Mwanaspoti

Nikakaa kwenye kiti na kumuuliza. “Kuna taarifa yoyote ambayo mmeshaipata kuhusiana na mtu aliyefanya yale mauaji?” “Bado hatujapata taarifa yoyote, tunawasikiliza ninyi polisi.” “Kwa upande wetu tumemgundua muuaji….” “Ni mtu anayeitwa Thomas Christopher. Sijui kama unamfahamu mtu huyo” “Thomas Christopher?” “Ndiyo Thomas Christopher.” Alphonce akatikisa kichwa. “Naamini kwamba ni mmoja wa marafiki wa marehemu na…

Read More

Bado Watatu – 7 | Mwanaspoti

“MUME wako anaitwa nani?” “Anaitwa Omar Kikasha.” “Hakuna mtu mwingine anayeishi katika nyumba hii anayetumia jina hili?” Nilianza kutomuamini mwanamke huyo kwa kuhisi alikuwa anatuficha. Tabia ya binaadamu akishaona mtu anaulizwa na polisi hata kama hajui amefanya kosa au la, anamficha. Sijui ni kwanini? “Mume wako yuko wapi?” nikamuuliza. “Anafanya kazi wapi?” “Mume wangu ni…

Read More

Bado Watatu – 6 | Mwanaspoti

“NIKAITAZAMA namba yake na kuiandika kwenye notibuku yangu kisha nikaingia upande wa meseji zilizotoka ambazo aliziandika marehemu mwenyewe.Huko nilikuta meseji kadhaa lakini nilizozitilia maanani zilikuwa meseji mbili ambazo aliziandika katika tarehe ya jana yake.Moja iliuliza.“Nyumbani wapi?”Ya pili ikauliza.Utakuja saa ngapi?”Nikahisi kwamba meseji hizo zilikuwa majibu ya zile meseji zilizotumwa ambazo moja zilisema; “Itabidi nije nyumbani…

Read More

Buswita: mabao yatafungwa Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Pius Buswita amesema ujio wa Heritier Makambo katika timu hiyo unaongeza nguvu ya ushindani na namba, idadi ya mabao katika michuano yote ya msimu ujao. Buswita katika misimu miwili Namungo, alifunga jumla ya mabao 10, 2023-2024 mabao saba na msimu uliopita alifunga matatu na asisti mbili, alisema kwa kiwango na kipaji…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More