Bado Watatu – 36

Insekta Amour akaniambia: “Kitendo chako cha kuuhifadhi ule mwili kwa siku mbili na kisha kwenda kuutupa makaburini kinaonyesha kuwa wewe ndiye uliyemuua Shefa; sasa ulifanya hivyo ili kupoteza ushahidi.”

Read More

Ahmed Ally awatuliza presha mashabiki Simba

Baada ya kusambaa kwa taarifa zinazomuhusu kocha wa Simba, Fadlu Davis kuondoka klabuni hapo pamoja na benchi lake la ufundi akisalia Kocha Msaidizi pekee, Selemani matola, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa na subira. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ahmed Ally amechapisha ujumbe huo huku…

Read More

Mechi ya kisasi ipo Mkwakwani

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kuanzia saa 1:00 usiku na wenyeji Coastal Union iliyoanza na ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, itakuwa na vita kali na maafande wengine wa JKT Tanzania walioanza kwa sare ya 1-1. Coastal ilianza Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa bao…

Read More

Kitambi ashusha presha Fountain Gate

BAADA ya Denis Kitambi kutangazwa kukiongoza kikosi cha Fountain Gate, kocha huyo amesema kuanza vibaya msimu mpya wa 2025-2026, hakujawatoa katika malengo, licha ya kukiri pia ana kazi kubwa hususan ya kutengeneza muunganiko wa kikosi. Kocha huyo aliyezifundisha timu kadha ikiwamo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, amezungumza hayo baada ya kuanza Ligi…

Read More

Malale apata kianzio Ligi Kuu Bara

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Mbeya City dhidi ya Fountain Gate ikicheza ugenini, umempa pawa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini aliyesema amepata kianzio Ligi Kuu Bara inayoendelea kushika kasi ikiingia raundi ya pili kwa sasa. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupanda daraja ilipata ushindi huo kwa bao la penalti iliyopigwa na Habib…

Read More

Sababu ya Yusuph Athuman kusaini Zambia

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Yusuph Athuman hivi karibuni alitambulishwa kikosi cha Napsa Stars inayoshiriki Ligi Kuu Zambia na meneja wa mchezaji huyo akafichua jambo kuhusu usajili huo. Kabla ya kutimkia Zambia msimu uliopita alisajiliwa na Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu Myanmar kabla ya kurejea Tanzania na kumaliza mkataba wake na Fountain Gate ambako huko kote hakucheza….

Read More

Mbongo afichua mambo mawili Marekani

KINDA la Kitanzania anayekipiga SCCC FC Ligi ya Vijana Marekani, Lohanga Malenga amesema ni fursa kwake kupata mafunzo ya kitaaluma huku akiendelea kupata ujuzi wa soka. Kiungo huyo ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa chini ya miaka 19, alijiunga na timu hiyo akitokea akademi ya Villareal na alitwaa ubingwa wa Tri-State Cup mara mbili…

Read More

Kocha Yanga ana dakika 270 ngumu

YANGA tayari ipo jijini Dar es Salaam na kesho Jumatatu inaanza rasmi mazoezi kwa ajili ya mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji itakayopigwa keshokutwa, Jumatano, huku benchi na ufundi na mastaa wa timu hiyo wakiwa na dakika 270 ngumu ili kufunga hesabu za mwezi huu. Wababe hao wa soka nchini,…

Read More

Dah! Siku 765 kinyonge | Mwanaspoti

KAMA ulikuwa hujui ni Septemba 16, 2025 siku ilipopigwa mechi ya Dabi ya Kariakoo, ilikuwa ni siku 765 kamili tangu Simba ilipoonja ushindi wa mwisho mbele ya Yanga. Ndiyo, Simba iliitambia Yanga mara ya mwisho Agosti 13, 2023 katika mechi ya Ngao ya Jamii ya kuzindua msimu wa mashindano wa 2023-2024 iliyopigwa Mkwakwani Tanga kwa…

Read More

Fadlu aigomea Simba,  kuibukia Raja Athletic

SIKU 443 sawa na miezi 14 au wiki 63 tangu kocha Fadlu Davids aanze kuinoa Simba iliyomuajiri Julai 5, 2024  imedaiwa amegoma kusalia kikosini na kuamua kutimkia Raja Casablanca ya Morocco. Mwanaspoti iliyokuwa ya kwanza kueleza kwamba huenda Fadlu asingerudi na timu hiyo nchini, hali imethibitika kwa kutoambatana na msafara wa kikosi hicho kilichokuwa Botswana….

Read More