Majaliwa kufungua maonyesho ya madini Geita

Geita. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho Septemba 22, 2025 anatarajiwa kufungua maonyesho ya nane ya teknolojia ya madini mkoani Geita, yanayokutanisha washiriki zaidi ya 1,300 kutoka ndani na nje ya nchi zikiwamo China, Korea, Namibia, Kenya na Uganda. Maonyesho hayo yalianza Septemba 18, 2025 yanatarajiwa kufungwa Septemba 28, huku idadi ya washiriki ikiwa zaidi ya…

Read More

Nasser bingwa Africa, Patel Mkwawa Rally

DEREVA Mtanzania, Yassin Nasser na msoma ramani Mganda, Ally Katumba ndio mabingwa wa Afrika kwa mwaka 2025 licha ya kumaliza nafasi ya tatu katika raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari wa Afrika zilizomalizika jana Jumapili. Dereva huyo aliyekuwa akiendesha gari aina ya Ford Fiesta R5 alimaliza nafasi ya tatu kwa upande wa…

Read More

Nyoni ameona kitu kwa Maema

NEO Maema ni mmoja wa nyota wapya waliosajiliwa msimu huu na Simba akitokea Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, lakini bado hajaonyesha maajabu ila kuna staa mkongwe, Ersto Nyoni ameshindwa kuvumilia na kusema jamaa ana kitu mguuni. Nyoni aliyewahi kuitumikia Simba, Azam na Namungo, amesema ili Msimbazi ifaidike na kiwango cha kiungo mshambuliaji huyo Msauzi ,…

Read More

Mtanzania anyakua tuzo Misri | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Oscar Evalisto anayekipiga Makadi FC ya Misri ameibuka na tuzo ya mchezaji bora wa mechi dhidi ya Maraga FC akisema zawadi hiyo ni maalumu kwa baba yake mzazi aliyefariki dunia wiki iliyopita. Huu ni msimu wa pili kwa mshambuliaji huyo kuitumikia Makadi. Msimu uliopita alicheza miezi sita akitokea Mlandege na aliwahi kupita…

Read More

Mabula afichua kitu Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema huu unaweza kuwa msimu wake bora na wenye mafanikio tangu aanze kucheza soka la kulipwa. Kabla ya kutimkia Shamakhi kiungo huyo aliwahi kuitumikia FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia maarufu kama Serbian SuperLiga kwa misimu miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula alisema msimu…

Read More

Ligi ya Kriketi Wasichana nguvu yahamishiwa Dodoma

CHAMA cha Kriketi nchini (TCA)  kimeazimia kulifanya Jiji la Dodoma kuwa makao makuu ya mchezo wa kriketi na kuzidi kuhamasisha hasa wanawake kushiriki. Mkufunzi wa Kriketi Dodoma, Benson Mwita alisema wanataka kuhakikisha mchezo huo unakuwa kati ya inayopendwa na wanawake shuleni. “Mwitikio wa vijana ni mkubwa na wengi, hasa wasichana wametokea kuupenda mchezo huu. Naamini…

Read More

KMKM, AS Port zatambiana CAF

KOCHA wa AS Port, Seninga Innocent, amesema kuchagua kuutumia Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Zanzibar kwa mchezo wao wa nyumbani dhidi ya KMKM kutoka visiwani hapa, sio sababu ya kushindwa kirahisi, bali watapambana kupata ushindi. Innocent ameyasema hayo jana Jumamosi Septemba 20, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kwanza wa…

Read More

Bado Watatu – 35 | Mwanaspoti

Raisa alifanya kazi ya ziada kunibembeleza ninyamaze na akanipa moyo kwamba yaliyonitokea ni mitihani tu na kwamba Mungu ataniepushia balaa. Muda wa kulala ulipowadia, Raisa alinikaribisha chumbani mwake. Raisa hakuwa na mume, lakini nilipoingia chumbani mwake niliona suruali ya kiume aina ya jeans imetundikwa kwenye mlango. “Mbona kuna suruali ya kiume humu ndani?” nikamuuliza. “Nina…

Read More

Maximo sasa freshi KMC | Mwanaspoti

UONGOZI wa KMC umesema kwa sasa kila kitu kimekamilika kwa kocha mkuu wa timu hiyo raia wa Brazil, Marcio Maximo, baada ya kushindwa kukaa benchi katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026, dhidi ya Dodoma Jiji. Katika mechi hiyo iliyopigwa Septemba 17, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini…

Read More