Bado Watatu – 5 | Mwanaspoti

“SI nimekwambia nina mazungumzo na wewe!” “Kumbe Fadhil hunijui. Nilikuheshimu pale ulipokuwa unaniheshimu. Kama unathubutu kuvunja heshima yangu mbele ya kirukanjia wako yule, nitakuvunjia heshima halafu utaniona mbaya. Mimi sitaki kufuatwa na wewe tena na sihitaji mazungumzo yako.” Bahati njema hapakuwa na watu karibu. Kama wangekuwepo ningekuwa nimeumbuka kutokana na maneno makali niliyokuwa nikiambiwa. Ilikuwa…

Read More

Bado Watatu – 4 | Mwanaspoti

KADHALIKA katika chupa hizo pia kutakuwa na alama zao za vidole kwa vile kila mmoja alikuwa akishika chupa na kujimiminia. Baada ya kuwaza hivyo niliinuka nikaenda pale kando ya meza na kuzitazama zile bilauri bila kuzigusa. Nikahisi kwamba alama zao zilikuwepo. Nikatoa kitambaa kutoka mfukoni mwangu na kumwambia mwenyeji wangu anipatie mfuko ili nitie zile…

Read More

CHAN 2024: Appiah anavyowapa tabasamu Wasudani

KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, James Kwesi Appiah ambaye kesho, Jumanne ataongoza kikosi hicho kucheza mechi ya nusu fainali ya mashindano ya CHAN dhidi ya Madagascar, ameweka historia kwenye ramani ya soka la Afrika. Wakati nchi hiyo ikiendelea kukumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyosababisha mamilioni kukimbia makazi yao, Appiah ameibadilisha Sudan…

Read More

Bado Watatu – 3 | Mwanaspoti

““HUMU ndani asiingie mtu yeyote. Tutarudi tena. Sawa?” “Humu ndani mnaishi watu wangapi?” “Ukiacha marehemu ambaye hakuwa na mke wala watoto, tuko familia tatu.” “Mwenye nyumba anaishi hapa hapa?” “Mwenye nyumba hakai hapa.” Nikatoka katika kile chumba pamoja na yule mtu. Polisi walikuwa wametangulia kutoka. Nikamuamrisha yule mtu afunge ule mlango. “Hakikisha hakuna mtu anayeingia…

Read More

Mbeya City, Pamba zasaka beki Zenji 

WAKATI Mbeya City ikiendelea na mazungumzo na uongozi wa klabu ya KVZ ili kuondoka na beki wa kikosi hicho, Juma  Hassan Shaaban ‘James’, timu ya Pamba Jiji nayo imetupa kete yake kuitaka saini hiyo. Taarifa ilizozipata Mwanaspoti zinaeleza, Mbeya City ilikuwa ya kwanza kuzungumza na KVZ na kukwamia katika majadiliano ya dau, hivyo kuna uwezekano…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More

Bado Watatu – 1 | Mwanaspoti

UTANGULIZIHebu fikiria kuwa wewe ni mpelelezi, unafika katika tukio la mauaji. Kuna mtu amenyongwa na mtu asiyefahamika. Unamkuta mtu ananing’inia kwenye kitanzi akiwa tayari ameshakufa lakini unakuta mtu mwenyewe aliyenyongwa siku hiyo, ndiye yule ambaye alishanyongwa hadi akafa miaka miwili iliyopita kwa hukumu ya mahakama kutokana na kosa la kuua!Uchunguzi wa polisi unaonyesha kuwa mtu…

Read More

Simba kuwaaga Bocco, Mkude Simba Day

SIMBA imefichua kuwa nahodha wake wa zamani, John Bocco ‘Adebayor’ amestaafu rasmi kucheza soka la ushindani na itamuaga katika siku ya kilele cha Tamasha la Simba Day, Septemba 10, 2025. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kuwa wanamuaga Bocco kwa heshima kwa vile ni mchezaji aliyeifanyia makubwa klabu yao. Amesema kuwa mbali na…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi (Mwisho) | Mwanaspoti

“SASA nitapata wapi huduma hizi?” Musa aliponiuliza hivyo nikanyamaza kimya. Baada ya muda kidogo nikamwambia: “Ungekuwa na ndugu yako mwanaume angekusaidia. Mimi mwanamke inakuwa ni taabu kuwa kwenye wodi hii ya wanaume.” Musa alitoa pesa kutoka kwenye begi lake alilokuwa ameliweka mchangoni mwa kitanda chake. “Hizi pesa utatumia,” akaniambia. Nilitaka nimuachie lakini nikaona nizichukue, angeweza…

Read More