LICHA ya kuwa na mechi ya kufungia msimu inayopigwa kesho dhidi ya Tanzania Prisons, benchi la ufundi la Singida Black Stars limesema litawekeza nguvu na
Category: Michezo

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yacouba Songne amesema amepeleka malalamiko Fifa, baada ya kutolipwa mshahara wa miezi minne na kutomaliziwa

NDOTO ya mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah kumaliza msimu akifunga mabao yasiyopungua 10 imetimia, na akasema ni kitu ambacho kimemuongezea thamani kwenye wasifu kucheza

KIKOSI cha Simba kinaendelea na maandalizi ya mwisho ya kuvaana na Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu ya kutimiza raundi ya 30, kisha kujipanga

MABOSI wa kikosi cha Yanga wajanja sana, kwani wakati timu hiyo ikijiandaa na mechi mbili z kufungia msimu za Ligi Kuu Bara na moja ya

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace

WAKATI harakati za uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikipama moto, Chama cha Soka Mkoa wa Kilimanjaro (KRFA), kimempa baraka mgombea urais Wallace

Mgombea nafasi ya ujumbe Kanda ya Tatu akiwakilisha Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe, Ally Msigwa amerudisha fomu huku akilia kama wagombea wengine wa nafasi mbalimbali

Mgombea urais kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Shija Richard amesema licha ya kurudisha fomu, lakini kinachomliza ni changamoto ya kukosa uidhinishwaji (endorsement).

Mgombea mwingine wa nafasi ya urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay amerudisha fomu ya kugombea. Mayay amerudisha fomu hiyo mchana huu katika