Ligi Kuu Zanzibar kuanza Septemba 20

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limetangaza kwamba, Ligi Kuu Soka Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026 inatarajiwa kuanza Septemba 20, 2025. Ligi hiyo inayoshirikisha timu 16 ambapo 12 za Unguja na 4 kutoka Pemba huku bingwa mtetezi ikiwa Mlandege FC, inatarajiwa kufikia tamati Mei 31, 2026. Wakati ligi ikianza Septemba 20, mchezo wa Ngao…

Read More

Mkenya anukia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

MABOSI wa Tanzania Prisons wanaendelea kukisuka kimyakimya kikosi hicho kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao na kwa sasa inafanya mazungumzo na aliyekuwa kiungo mkabaji wa KCB ya Kenya, Mkenya Michael Mutinda. Mutinda aliyezaliwa Desemba 27, 1995, ni miongoni mwa mapendekezo ya kocha mpya wa timu hiyo Mkenya mwenzake, Zedekiah ‘Zico’ Otieno, aliyetambulishwa kukiongoza kikosi…

Read More

Majogoro aibuka mazoezi ya KMC, uongozi wafunguka

MUDA mfupi baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa aliyekuwa kiungo mkabaji wa Chippa United ya Afrika ya Kusini, Baraka Majogoro kuhitajiwa na KMC nyota huyo ameibukia mazoezi ya timu hiyo. Majogoro kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Chippa na tayari baadhi ya timu zimeonyesha nia ya kumhitaji ikiwemo KMC. Timu hiyo ikiwa…

Read More

Mabula aendelea alipoishia Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema ligi ya nchi hiyo imeanza kwa kasi na mechi ya kwanza walitoka sare ya 1-1. Mabula ambaye alijiunga na Shamakhi kwa nusu msimu akitokea FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu Serbia alikocheza kwa misimu miwili, alisema tofauti na msimu uliopita, msimu huu karibu…

Read More

Kader aibukia Fountain Gate | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa JKT Tanzania, Ismail Aziz Kader, hivyo kuzipiku timu za Mbeya City, Tanzania Prisons na Pamba Jiji ambazo zote zilionyesha kumuhitaji. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho, zimeliambia Mwanaspoti, Kader amekubaliana maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa miaka miwili wa…

Read More

Majogoro aziingiza vitani KMC, Namungo

BAADA ya kiungo mkabaji, Baraka Majogoro kuachana na Chippa United ya Afrika ya Kusini, mabosi wa Namungo na KMC aliyowahi kuichezea zimeonyesha nia ya kumhitaji, huku ikielezwa miamba hiyo inachuana kwa ajili ya kuipata saini yake. Taarifa ambazo Mwanaspoti ilizozipata, zinaeleza KMC na Namungo zote kwa pamoja zimeonyesha nia ya kumhitaji na jambo kubwa linaloendelea…

Read More

Pamba Jiji yamkomalia beki Azam FC

BAADA ya beki wa kati wa matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, Abdallah Kheri ‘Sebo’, kukitumikia kikosi cha Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita msimu wa 2024-25, mabosi wa timu hiyo wanafanya mazungumzo ya kumsajili moja kwa moja. Awali, uongozi wa Azam ulimtoa nyota huyo kwa mkopo kwenda Fountain Gate katika…

Read More

Mmemsikia aliyeivuruga Stars kwa Mkapa

KIUNGO wa Morocco, Mohamed Rabie Hrimat ameweka wazi dhamira ya timu hiyo katika mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 ni kutwaa ubingwa kwa mara ya tatu. Mara baada ya kuizamisha Tanzania kwa bao 1-0 katika mechi ya robo fainali kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Hrimat alisema mechi hiyo haikuwa rahisi…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Algeria vita ilikuwa kati

WANAUME 22 kutoka Sudan na Algeria, walizimwagilia vizuri nyasi za Uwanja wa Amaan Complex, visiwani Zanzibar katika mchezo wa robo fainali wa michuano ya CHAN uliopigwa juzi. Katika mchezo huo ambao dakika 120 zilimalizika kwa timu zote kutoshana nguvu ya kufungana bao 1-1, vita kubwa ilionekana eneo la kati ambalo kwa kiasi kikubwa liliamua mechi…

Read More