Mgombea nafasi ya ujumbe Kanda ya Tatu akiwakilisha Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe, Ally Msigwa amerudisha fomu huku akilia kama wagombea wengine wa nafasi mbalimbali
Category: Michezo

Mgombea urais kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Shija Richard amesema licha ya kurudisha fomu, lakini kinachomliza ni changamoto ya kukosa uidhinishwaji (endorsement).

Mgombea mwingine wa nafasi ya urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay amerudisha fomu ya kugombea. Mayay amerudisha fomu hiyo mchana huu katika

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amesema ushindi dhidi ya Uganda jana wa mabao 2-0 umewapa maswali magumu ya kujiuliza kuelekea mechi

Mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unaendelea ambapo mpaka sasa wagombea wawili wa nafasi ya urais wamerudisha fomu. Taarifa kutoka ndani ya

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia Agosti

Dar City inaongoza kwa kufunga pointi 756, katika Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Dar City imefunga pointi hizo, kutokana na michezo nane,

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo

Katibu mkuu wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Kigoma Anasi Kibonajoro ameishauri mikoa iwe inatumia wachezaji wake katika mashindano ya Taifa Cup. Kibonajoro aliyasema