Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 35
Michezo

Uchaguzi TFF: Msigwa kilio kilekile

June 20, 2025 Admin

Mgombea nafasi ya ujumbe Kanda ya Tatu akiwakilisha Njombe, Iringa, Mbeya na Songwe, Ally Msigwa amerudisha fomu huku akilia kama wagombea wengine wa nafasi mbalimbali

Read More
Michezo

Shija arudisha fomu, alia ‘endorsement’

June 20, 2025 Admin

Mgombea urais kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Shija Richard amesema licha ya kurudisha fomu, lakini kinachomliza ni changamoto ya kukosa uidhinishwaji (endorsement).

Read More
Michezo

Mayay arudisha fomu urais TFF, afunguka

June 20, 2025 Admin

Mgombea mwingine wa nafasi ya urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay amerudisha fomu ya kugombea. Mayay amerudisha fomu hiyo mchana huu katika

Read More
Michezo

Shime: Uganda imetupa maswali magumu

June 20, 2025 Admin

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amesema ushindi dhidi ya Uganda jana wa mabao 2-0 umewapa maswali magumu ya kujiuliza kuelekea mechi

Read More
Michezo

Karia, Dk Msolla warudisha fomu TFF

June 20, 2025 Admin

Mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unaendelea ambapo mpaka sasa wagombea wawili wa nafasi ya urais wamerudisha fomu. Taarifa kutoka ndani ya

Read More
Michezo

Ufunguzi CHAN kufanyika Kwa Mkapa, fainali kupigwa Kenya

June 20, 2025 Admin

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia Agosti

Read More
Michezo

Dar City wanatupia tu BDL

June 20, 2025 Admin

Dar City inaongoza  kwa kufunga pointi 756, katika Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Dar City imefunga pointi hizo, kutokana na michezo nane,

Read More
Michezo

Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa TPLB

June 20, 2025 Admin

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo

Read More
Michezo

Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa kwa muda TPLB

June 20, 2025 Admin

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo

Read More
Michezo

Makocha wapewa akili Taifa Cup

June 20, 2025 Admin

Katibu mkuu wa  chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Kigoma Anasi Kibonajoro ameishauri mikoa iwe  inatumia wachezaji wake katika mashindano ya Taifa Cup. Kibonajoro aliyasema

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 34 35 36 … 648 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.