
Wawili wanawasikilizia simu Simba | Mwanaspoti
SIMBA inaendelea kujifua kambini jijini Cairo, Misri chini ya kocha Fadlu Davids, lakini kuna mashine mbili mpya zinasubiriwa huko ili kuungana na wenzao walitangulia mapema. Awali Simba ilipiga kambi ya mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya katika mji wa Ismailia, kisha ikahamia Cairo…