Simchimba, Raizin kuna kitu Mtibwa Sugar

NYOTA wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake, Andrew Simchimba ni jambo nzuri litakaloisaidia kikosi hicho kufanya vizuri zaidi kwa msimu wa 2025-2026 kutokana na kile walichokifanya msimu ulipita. Kauli ya Raizin inajiri baada ya Simchimba aliyejiunga na Singida Black Stars katika dirisha kubwa la usajili akitokea Geita Gold kutolewa…

Read More

Zubery Katwila ala kiapo Geita Gold

KOCHA wa Geita Gold, Zubery Katwila, amesema kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha anaipambania timu hiyo kurejea tena Ligi Kuu, baada ya kushindwa kutimiza malengo hayo msimu uliopita, licha ya kucheza pia mechi za mtoano ‘Play-Off’. Katwila aliyetamba na timu mbalimbali zikiwemo, Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars na Mtibwa Sugar, amejiunga na…

Read More

Moussa Camara amshtua kocha Yanga

KIWANGO bora alichoonyesha kipa wa Simba, Moussa Camara ‘Spiderman’ katika pambano la Dabi ya Kariakoo, kimemshtua kocha Mfaransa anayeinoa Yanga na kusema kama sio umahiri wa kipa huyo raia wa Guinea, huenda mambo yangekuwaharibikia Wanamsimbazi. Katika pambabo hilo la Ngao ya Jamii lililochezwa Jumanne ya wiki hii, Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0, huku Camara…

Read More

Simba yaibeba tena Yanga, yaipa mamilioni

YANGA imeshatua Angola tayari kwa kukutana na Waliete FC, ya huko lakini kabla ya mastaa wa timu hiyo hawajashuka kwenye ‘pipa’ kuna mamilioni wameingiziwa ambayo yanatokana na Simba. Yanga itakuwa uwanjani kesho, kupambana na Waliete ukiwa ni mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na baada ya wiki…

Read More

Saliboko aanza mbwembwe Ligi Kuu Bara

DARUWESH Saliboko wa KMC amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kufunga bao katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026 alipoiwezesha timu hiyo kuibuka washindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ameanza mbwembwe mapemaa. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Polisi Tanzania na Lipuli, alisema ushindi iliyopata KMC ikiwa nyumbani ulikuwa ni mpango wa timu na…

Read More

Gwiji Simba ampa ujanja Yakoub Suleiman

ENDAPO kama kipa wa Simba, Yakoub Suleiman atazingatia ushauri wa mkongwe katika nafasi hiyo, kocha Idd Pazi ‘Father’ basi huenda akairejesha Tanzania One baada ya Aishi Manula kusajiliwa Azam FC. Pazi aliwahi kuwa kipa Tanzania One enzi akiwa Simba alisema, kipa huyo mpya wa Simba aliyetua kutoka JKT Tanzania anatakiwa kuzingatia mazoezi ya timu na …

Read More

Chukwu: Simba, Yanga zinaficha ukubwa wa Singida

KIUNGO wa Singida Black Stars, Morice Chukwu amesema licha ya ushindani kuwa mkubwa, lakini Singida Black Stars ni timu kubwa katika Ligi Kuu Bara, ila makali yake hayaonekani kwa sababu ya Simba na Yanga. Chukwu ambaye alitua Bongo kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi cha Rivers United ya Nigeria katika michuano ya Kombe la…

Read More

Mataji yampa nguvu Rehema tenisi walemavu

MATAJI aliyoyapata Rehema Said katika mashindano ya kimataifa ya tenisi kwa walemavu 2025 (International Tennis Federation Wheelchair Tournament), yamempa nguvu mwanadada huyo katika kufanya makubwa zaidi katika michuano mingine ijayo. Mashindano hayo ya mwaka huu yalifanyikia jijini Nairobi, Kenya na Regema alishinda mataji matatu, moja ya binafsi na mengine mawili ya kushindana dhidi ya wachezaji…

Read More

Singida Black Srats itakula sana raha za Chama

SINGIDA Black Stars ilianza kwa kusuasua sana mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika Jumatatu wiki hii kwa fainali baina yao na Al Hilal ya Sudan. Na sio kama ilikuwa inacheza vibaya bali pale mbele haikuwa na mtu wa kulainisha. Pupa zilikuwa nyingi sana ilipokuwa inashambulia. Ilionekana wazi Mwamba wa Lusaka ambaye alisajiliwa lakini akachelewa kujiunga…

Read More

Mbeya City yarejea Bara kwa ushindi

BAO la Habib Kyombo dakika ya 56, limetosha kuipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Kyombo alifunga bao hilo kwa penalti baada ya Riphat Khamis kuchezewa faulo ndani ya eneo la hatari na Mudrick Abdi wa…

Read More