Konde Boy kucheza Ligi Kuu Misri

KINDA wa Azam FC, Arafat Masoud ‘Konde Boy’ (18), amejiunga na ENNPI ya Ligi Kuu Misri kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kudumu kwa miaka minane Chamazi. Kinda huyo alijiunga na Azam mwaka 2017 akicheza timu za vijana za U-17 na U-20 kabla ya kupandishwa kikosi cha wakubwa na msimu uliopita aliichezea Fountain Gate…

Read More

Ateba ndio basi Simba, apewa miwili Iraq

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Leonel Ateba sasa ni rasmi hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao, baada ya kutua klabu ya Al – Shorta ya Iraq iliyompa mkataba wa miaka miwili akitokea Simba na anatarajia kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Ateba aliyeitukikia Simba kwa mkataba wa mwaka mmoja na kuifungia mabao 13 msimu…

Read More

Simba Misri pamoto! | Mwanaspoti

KUNA mambo flani yanasonga pale Msimbazi yalipo makao makuu ya Klabu ya Simba, ambapo vigogo wanapambana kuweka mambo sawa, kwani kuna mastaa ambao zipo kila dalili kwamba wanapaswa kusepa huku wengine ambao hawajaripoti wakitakiwa kutua kikosini. Kumbuka wanaotakiwa kusepa ni baadhi ya wale…

Read More

Ni Sudan, Madagascar nusu fainali CHAN Kwa Mkwapa

BAADA ya kushindwa kupata mshindi ndani ya dakika 120, Sudan na Algeria zimelazimika kwenda katika changamoto ya mikwaju ya penalti ili kuamua mshindi wa mechi na hatimaye Sudan kuibuka kwa penalti 3-2. Katika mchezo huo wa robo fainali ya CHAN uliopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar dakika 90 zimemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu…

Read More

Mastaa Stars waondoka CHAN kibosi

TANZANIA ikiwa mwenyeji wa CHAN 2024 ikishirikiana na Kenya na Uganda, imeaga mashindano baada ya kuondolewa na Morocco katika hatua ya robo finali lakini mastaa wa timu hiyo wamendoka na mkwanja wa maana usipime. Stars ya awamu hii ilikuwa na mvuto wa aina yake kuanzia namna inavyocheza na zaidi ikaweka rekodi ya kucheza robo fainali…

Read More

 Wanafunzi 292 washindwa kuripoti shule kwa hofu ya wanyama

Simanjiro. Umbali mrefu wa makazi ya wananchi na uwepo wa wanyama wakali katika maeneo hayo vimetajwa kusababisha wanafunzi 292 kushindwa kuripoti kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2024/25 katika Shule ya Sekondari ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. Kutokana na changamoto hiyo, Mkuu wa shule hiyo, Aziza Msengesi, leo Agosti 23, 2025 ameiomba Serikali…

Read More

Uganda nayo yazifuata Kenya, Tanzania

TIMU ya Taifa ya Uganda maarufu ‘The Cranes’, imetupwa nje katika michuano CHAN 2024, baada ya kuchapwa bao 1-0 na bingwa mtetezi Senegal kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Uganda, leo Agosti 23, 2025. Katika mechi hiyo ya hatua ya robo fainali, Senegal ilipata bao hilo dakika ya 62 kupitia kwa Oumar Ba aliyepokea pasi ya…

Read More