Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 37
Michezo

Makambo asepa zake kimyakimya | Mwanaspoti

June 20, 2025 Admin

KUNA taarifa zinaeleza mshambuliaji wa Tabora United, Heritier Makambo ametimka kambini, sababu ikitajwa ni kudai mshahara, hivyo akaona hakuja haja ya kuendelea kusalia katika timu

Read More
Michezo

Dabi ya Juni… Yanga 5 Simba 2

June 20, 2025 Admin

LICHA ya kwamba keshokutwa kuna mechi za kukamilishia raundi ya 30 ya Ligi Kuu Bara ambako vinara Yanga wataivaa Dodoma Jiji na Simba itapepetana na

Read More
Michezo

Yanga yasaka saini ya kiungo wa Gor Mahia

June 20, 2025 Admin

YANGA imesharejea jijini Dar es Salaam na ilikuwa ikijiandaa kwenda Zanzibar kwa ajili mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kabla ya kuweka

Read More
Michezo

Ahoua, Ateba katika vita mpya

June 20, 2025 Admin

LIGI Kuu Bara imesaliwa na mechi tisa tu kabla ya kufungwa kwa msimu wa 2024-25, huku Simba na Yanga zikichuana kileleni kuwania ubingwa, lakini kuna

Read More
Michezo

Sopu ameanza kujipata Azam FC

June 19, 2025 Admin

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Abdul Suleiman ‘Sopu’ ameanza kujipata ndani ya kikosi hicho baada ya kutokuwa na msimu mzuri, jambo linalompa matumaini kocha wa

Read More
Michezo

Ripoti ya jeraha la Dube yashtua

June 19, 2025 Admin

MASHABIKI wa soka kwa sasa wanahesabu siku kabla ya kushuhudia pambano la Dabi ya Kariakoo lililopangwa kupigwa Juni 25 baada ya kuahirishwa mara mbili Machi

Read More
Michezo

Kocha Tabora United akubali yaishe

June 19, 2025 Admin

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Mzambia Simonda Kaunda amesema msimu huu kwao umeisha na hawana cha kupoteza tena, baada ya kikosi hicho juzi kukumbana na

Read More
Michezo

29 wa kigeni wakoleza utamu BDL

June 19, 2025 Admin

USHINDANI na uwepo wa nyota wa kigeni katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), umeifanya izidi kuimarika na kuwa moja ya zinazoongoza

Read More
Michezo

Simba wacheze tu Kariakoo Dabi

June 19, 2025 Admin

HAPA kijiweni tuna imani Simba itacheza mechi yake ya marudiano ya Ligi Kuu Bara msimu huu dhidi ya mtani wake, Yanga ambayo imezoeleka kwa jina

Read More
Michezo

Mkali wa Black Panther kuja kufundisha kuogelea

June 19, 2025 Admin

KOCHA maarufu wa mchezo wa kuogelea duniani, Atiba Hasim-Nii Wade kutoka Marekani anatarajiwa kutua nchini ili kuendesha mafunzo ya mchezo huo kuanzia Juni 27 hadi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 36 37 38 … 648 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.