Ni Sudan, Madagascar nusu fainali CHAN Kwa Mkwapa

BAADA ya kushindwa kupata mshindi ndani ya dakika 120, Sudan na Algeria zimelazimika kwenda katika changamoto ya mikwaju ya penalti ili kuamua mshindi wa mechi na hatimaye Sudan kuibuka kwa penalti 3-2. Katika mchezo huo wa robo fainali ya CHAN uliopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar dakika 90 zimemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu…

Read More

Mastaa Stars waondoka CHAN kibosi

TANZANIA ikiwa mwenyeji wa CHAN 2024 ikishirikiana na Kenya na Uganda, imeaga mashindano baada ya kuondolewa na Morocco katika hatua ya robo finali lakini mastaa wa timu hiyo wamendoka na mkwanja wa maana usipime. Stars ya awamu hii ilikuwa na mvuto wa aina yake kuanzia namna inavyocheza na zaidi ikaweka rekodi ya kucheza robo fainali…

Read More

 Wanafunzi 292 washindwa kuripoti shule kwa hofu ya wanyama

Simanjiro. Umbali mrefu wa makazi ya wananchi na uwepo wa wanyama wakali katika maeneo hayo vimetajwa kusababisha wanafunzi 292 kushindwa kuripoti kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2024/25 katika Shule ya Sekondari ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. Kutokana na changamoto hiyo, Mkuu wa shule hiyo, Aziza Msengesi, leo Agosti 23, 2025 ameiomba Serikali…

Read More

Uganda nayo yazifuata Kenya, Tanzania

TIMU ya Taifa ya Uganda maarufu ‘The Cranes’, imetupwa nje katika michuano CHAN 2024, baada ya kuchapwa bao 1-0 na bingwa mtetezi Senegal kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Uganda, leo Agosti 23, 2025. Katika mechi hiyo ya hatua ya robo fainali, Senegal ilipata bao hilo dakika ya 62 kupitia kwa Oumar Ba aliyepokea pasi ya…

Read More

Mwaterema arejea Kagera | Mwanaspoti

KAGERA Sugar inajiimarisha kuelekea msimu ujao inapokwenda kushiriki Ligi ya Championship baada ya kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wao, Hassan Mwaterema kutoka Dodoma Jiji. Mshambuliaji huyo amerejea Kagera Sugar akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Dodoma Jiji. Mwanaspoti limepenyezewa taarifa za ndani kutoka kwa mmoja wa viongozi wa timu hiyo kuwa wapo kwenye hatua…

Read More

TMA FC yaanza na straika

KIKOSI cha TMA cha Arusha kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Bigman, Arafat Adam baada ya mkataba wake na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Champioship kufikia ukomo msimu uliopita.chukua nafasi ya aliyekuwa nyota wa timu hiyo, Ramadhan Kapera ambaye amekamilisha uhamisho wa kurejea Polisi Tanzania.

Read More

Straika akoleza vita Namungo | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa timu ya vijana ya Simba, Rashid Mchelenga amekamilisha dili la kujiunga na Namungo FC kwa mkataba wa miaka miwili, akikoleza vita mpya ya eneo hilo ndani ya kikosi hicho. Mchelenga anaungana na washambuliaji wengine wapya na kuongeza vita mpya katika eneo hilo ambao ni Andrew Chamungu aliyetokea Songea United na mfungaji bora…

Read More

Morocco: Haikuwa rahisi, lakini tulipambana!

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, amesema udhaifu katika kutumia vizuri nafasi walizotengeneza ndiyo sababu ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco. Hata hivyo, kocha huyo anajivunia namna wachezaji walivyopambana hadi kufikia hatua ya robo fainali ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya hivyo kwenye michuano inayosimamiwa…

Read More