Gwalala kutimkia Mbeya City | Mwanaspoti

KIUNGO wa zamani wa Coastal Union, Greyson Gwalala yupo katika hatua ya mwisho kumalizana na Mbeya City iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao 2025-2026. Gwalala anaungana na Ame Ally aliyetua Mbeya City akitokea Mashujaa, Yahya Mbegu (Singida Black Stars), Habib Kyombo aliyekuwa akiitumikia Pamba Jiji kwa mkopo akitokea Singida Black Stars kama ilivyokuwa…

Read More

Beki Mtanzania anukia Kenya | Mwanaspoti

Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20, ameondoka ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake kuisha, huku ikidaiwa aliomba kutoongeza mwingine kwa lengo la kutafuta changamoto sehemu nyingine mpya. Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20,…

Read More

Yanga yacheza dakika 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Yanga yacheza dakika120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Yanga yapiga 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Mukrim Miranda kutimkia Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imejiondoa katika dili la beki wa TMA, Vedastus Masinde baada ya kuanza mazungumzo na Mukrim Miranda wa Dodoma Jiji. Iko hivi. Singida ilikuwa ya kwanza kumfuata Miranda, lakini baadae wakasitisha mazungumzo naye baada ya Pamba Jiji kuingilia dili hilo. Inadaiwa pia Pamba Jiji imesitisha mazungumzo na Miranda na sasa Singida imemrudia tena…

Read More

McCarthy: Kesho yetu ni bora zaidi

IKISHIRIKI kwa mara ya kwanza michuano ya CHAN 2024, timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars imeishia hatua ya robo fainali huku kocha wa kikosi hicho, Benni McCarthy akisema anaona mambo mazuri zaidi siku zijazo. Kenya iliyokuwa mwenyeji wa michuano hiyo kwa kushirikiana na Tanzania na Uganda, imepoteza mchezo wa robo fainali juzi Ijumaa kwa…

Read More

Toldo ameibeba Madagascar mabegani | Mwanaspoti

KIPA mkongwe wa Madagascar, Ramandimbisoa Lalain’arijaka Michel ‘Toldo’, amekuwa sehemu ya mafanikio ya taifa hilo baada ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024. Toldo, mwenye umri wa miaka 39 na anayekipiga klabu ya Elgeco Plus, mabingwa wa Ligi Kuu ya Madagascar na Kombe la…

Read More

Chan 2024 kazi ipo huku sasa

MECHI mbili za robo fainali za michuano ya CHAN 2024 zimepigwa jana Ijumaa na leo zinapigwa nyingine za mwisho ili kujua timu zitakazoumana katika nusu fainali, lakini kuna kazi inaendelea kwenye michuano hiyo wakati wachezaji wa timu shiriki wakipambana kuwania tuzo za msimu huu. Kabla ya mechi za jana tayari mabao 74 kutoka kwa wachezaji…

Read More

Kwa hili… Taifa Stars hatuwadai

ACHANA na matokeo ya pambano la usiku wa jana Ijumaa la robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 wakati Tanzania ilipokabiliana na Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, kilichofanywa na Taifa Stars katika fainali hizo ni wazi ‘haidaiwi kitu’. Tanzania iliyoshiriki fainali hizo za nane ikiwa ni mara ya tatu, safari…

Read More