Bado Watatu – 32 | Mwanaspoti

NIKAMJIBU: “Sikutaka nikupe mshituko. Nilikuwa nakungoja urudi.”“Mimi nimepata habari hii leo wakati narudi.”“Ni nani aliyekupa habari hiyo?”“Ni mke wake. Alinipigia simu akanijulisha hivyo. Nikashituka sana kwa sababu juzi juzi tu nilikuwa naye. Kwa hiyo nilipofika stendi nikaona niende huko kwanza nikampe pole.”“Hata mimi nilishituka, yaani mpaka hivi sasa picha yake inanijia akilini mwangu!”“Kushituka ni lazima….

Read More

Ibenge kuifikisha Azam nchi ya ahadi?

TANGU msimu wa 2013-14 ambao Azam FC ilibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mara ya kwanza kwao, wamepita makocha mbalimbali kuifukuzia rekodi hiyo, wameshindwa. Mzigo huo sasa umeangukia kwa Florent Ibenge, kocha mwenye rekodi kubwa katika soka la Afrika kutokana na kushinda mataji yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Ibenge…

Read More

Kinapigwa leo Dabi ya Wanajeshi Lgi Kuu Bara

LIGI Kuu Bara inaendelea leo kwa michezo mitatu kupigwa, huku mechi ya mapema ikiwa ni saa 8:00 mchana kati ya Fountain Gate itakayoikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, lakini pia kuna Dabi ya Wanajeshi, Mashujaa dhidi ya JKT Tanzania. Fountain Gate inaingia katika mchezo huo ikiwa ni timu ambayo…

Read More

Mambo 10 Dabi ya Kariakoo, tatizo ni Diara!

DABI ya kwanza ya Kariakoo msimu huu imemalizika kibabe baada ya Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba, juzi Jumanne. Ushindi huo umeifanya Yanga, kuendeleza ubabe mbele ya Simba, ikishinda mchezo wa sita mfululizo dhidi ya watani wao hao, rekodi ambayo itaendelea kuwafanya Wekundu kuumizwa na maumivu mithili ya kidonda kisichopona. Hata…

Read More

FIFA yaweka mamilioni Simba, Yanga

SIMBA, Yanga, Azam na klabu nyingine chache za Ligi Kuu Tanzania Bara, zitakuwa miongoni wa wanufaika wa kupata fidia ya fedha kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) kwa kuruhusu wachezaji wao kuzitumikia timu mbalimbali za Taifa katika mechi za kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026. Mgawo huo wa fedha ni…

Read More

Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More

Idadi ya vyoo bora yaongezeka Shinyanga

Shinyanga. Idadi ya vyoo bora imeongezeka mkoani Shinyanga kutoka asilimia 56 hadi 78 katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2020 hadi 2024. Ongezeko la vyoo hivyo limetokana na mradi wa lipa kwa matokeo, hali iliyochangia kupungua kwa mlipuko wa magonjwa ya kuhara. Akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya lishe na usafi wa mazingira leo…

Read More