Siku 637 za Manula, Simba, Yanga zaguswa Bara

KIPA Aishi Manula amerejea uwanjani akiea na jezi ya Azam. Kwa mara ya kwanza kocha Florent Ibenge alimtumia katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Desemba 3, 2025 dhidi ya Singida Black Stars na jamaa akatoka na clean sheet baada ya timu hizo kushindwa kufungana. Sasa kama hujui ni kwamba mechi hiyo ilihitimisha siku 637…

Read More

Wakazi Dar na kilio cha ulinzi shirikishi

Dar es Salaam. Wakati Serikali za mitaa zikisisitiza ushiriki wa wananchi katika kulinda makazi yao, baadhi ya wananchi wanalalamikia mfumo wa ulinzi shirikishi, wakidai umepoteza mwelekeo. Wamesema mpango wa ulinzi shirikishi umegeuka kutoka kuwa msingi wa usalama wa raia na mali zao na kusababisha mpasuko katika jamii. Miongoni mwa mambo yanayolalamikiwa ni kutozwa fedha za…

Read More

Dube aing’arisha Yanga ikisogelea kileleni

BAADA ya kuanza kwa kusuasua katika Ligi Kuu Bara msimu huu, sasa Prince Dube amefunga mfululuzo baada ya leo Desemba 7, 2025 kuweka kambani bao moja lililoipa Yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union. Dube amefunga bao hilo pekee dakika ya 87 kwa kichwa akiunganisha krosi ya Duke Abuya. Hiyo ilikuwa ni mechi ya…

Read More

Azam FC yaifumua Simba kwa Mkapa

Mechi bora ya Ligi Kuu Bara imepigwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam na Azam kumaliza ubabe wa Simba kwa kuichapa mabao 2-0. Huu ulikuwa mchezo muhimu kwa timu zote kuhakikisha zinajiweka kwenye mazingira mazuri kwenye Ligi Kuu lakini pamoja na kosakosa za kila mara bado timu zote zilishindwa kutikisa nyavu  katika…

Read More

Nsajigwa atoboa siri Transit Camp

KOCHA Mkuu wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa amesema kucheza mechi tano ugenini msimu huu bila ya kupoteza ni ishara ya ukomavu kwa wachezaji wa timu hiyo, licha ya ushindani mkubwa wanaoupata kutoka kwa wapinzani mbalimbali. Akizungumza na Mwanaspoti, nyota huyo wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Taifa Stars, amesema sio rahisi kucheza…

Read More

Chama la Mtanzania hali tete Oman

CHAMA la mshambuliaji wa Mtanzania Mgaya Ally (Salalah SC), linaloshiriki Ligi Daraja la Kwanza Oman liko kwenye hali mbaya katika msimamo wa ligi. Mgaya alijiunga msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Coastal Union ya Tanga ambako nako alitumikia nusu msimu. Hadi sasa ligi hiyo imepigwa mechi 26 na Salalah iko mkiani mwa msimamo…

Read More

Zuwena Zizou abaini haya Sierra Leone

KIUNGO wa Mogbwemo Queens, Mtanzania Zuwena Aziz ‘Zizou’ amesema amebaini vitu tofauti tangu alipojiunga na chama hilo linaloshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone. Kiungo huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Tausi (zamani ikiitwa Ukerewe Queens) ambako alidumu msimu mmoja akiipandisha katika Ligi Kuu ya Wanawake Bara. Akizungumza na Mwanaspoti, Zizou amesema amepokelewa vizuri na…

Read More

Mabula ataja sababu ya kutoanza vizuri Azerbaijan

KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula ameeleza sababu za timu hiyo kutoanza vizuri katika Ligi Kuu Azerbaijan msimu huu, akitaja ugumu wa ligi hiyo na ushindani uliopandishwa na timu zinazoshiriki mashindano ya Ulaya. Shamakhi imecheza mechi 13, ikishinda tatu, kutoka sare tano na kupoteza tano, rekodi ambayo imekuwa ikiwatia presha mashabiki. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula…

Read More