KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema atafanya usajili itakapohitajika, lakini anaamini kikosi kilichopo ni bora kutokana na kumaliza nafasi ya tatu na kupata
Category: Michezo

SIKU moja tangu kuvuja kwa taarifa ya ripoti ya kocha wa Simba, Fadlu Davids kutaka asajiliwe majembe sita mapya ili kuunda kikosi bora cha msimu

VIONGOZI wa Mashujaa FC wako katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City, Mudathir Said baada ya nyota huyo aliyeirejesha timu hiyo

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kukamilika Juni 25, mwaka huu, timu zimeanza mipango ya kuimarisha vikosi kwa ajili ya msimu ujao ikiwemo kusajili

INAELEZWA kwamba hesabu za Mbeya City sasa ziko kwa Dickson Ambundo, nyota mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji ambapo msimu wa 2024-2025 aliitumikia Fountain Gate.

MABOSI wa Simba katikati ya wiki walikutana kujadili mambo mbalimbali ikiwamo kupitia ripoti ya kocha Fadlu Davids ili kusuka kikosi cha msimu ujao huku wakiafikiana

MUDA mchache baada ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameahidi kufanya makubwa ndani ya kikosi hicho akifurahia kupata nafasi ya uwakilishi

Baada ya bao la tatu la Fountain Gate lililofungwa dakika ya 82 na Mudrick Gonda katika mechi ya play off ya kwanza, mashabiki wa Stand

MWANASPOTI limejiridhisha kwamba Kocha maarufu raia wa DR Congo, Florent Ibenge yupo Dar es Salaam. Kocha huyo mwenye mafanikio kwenye soka la Afrika, amewasili Dar

Fountain Gate imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kubaki Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United kwenye mchezo