JKT Queens kamili kwenda kuliamsha  CECAFA

KIKOSI cha wachezaji 26 wa JKT Queens sambamba na benchi la ufundi na viongozi wengine 23 kinatarajia kuondoka nchini leo Jumatatu, Septemba Mosi, 2025, kwenda Nairobi, Kenya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Safari hiyo itaanzia Moshi, Kilimanjaro ilipokuwa kambi ya timu hiyo tangu Agosti 9, 2025,…

Read More

Wacolombia Azam FC wajiandaa kutua KMC

MABOSI wa KMC FC wako katika mazungumzo ya kukamilisha usajili wa nyota wawili wa Azam FC Wacolombia, kiungo, Ever Meza na mshambuliaji wa timu hiyo, Jhonier Blanco ambao wamekuwa pia hawana wakati mzuri tangu walipojiunga na kikosi hicho. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Azam inaweza kuwatoa nyota hao kutokana na kuwa na nafasi finyu ya…

Read More

Ajibu ajifunga mwaka mmoja KMC

KIKOSI cha KMC kinachonolewa kwa sasa na kocha wa zamani wa Taifa Stars na Yanga, Marcio Maximo, kimezidi kuimarishwa katika eneo la ushambuliaji baada ya kumsajili kwa mkataba wa mwaka mmoja, Ibrahim Ajibu aliyekuwa akiitumikia Dododma Jiji. Kiungo mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba, Yanga, Azam na Singida Big Stars kwa msimu uliopita akiwa na…

Read More

Wabrazili wakoleza mzuka Mlandege | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Mlandege inayojiandaa na mechi za Kombe la Kagame 2025 na ile ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Hassan Ramadhan Hamis amesema amefurahia kutua kwa nyota wanne wa kigeni kutoka nchi tofauti wakiwemo Wabrazili wawili, huku akiahidi kufanya vizuri kimataifa. Mlandege imewanasa beki wa kati Davi Nasciimento na kiungo mkabaji Vitor De Souza raia…

Read More

Bado Watatu – 15 | Mwanaspoti

“Nani ameleta taarifa hizo?”“Ni mwenyekiti wa mtaa huo.”“Polisi wameshakwenda?”“Wanajiandaa kuondoka.”“Kwaminchi ni kubwa, hilo tukio limetokea sehemu gani?”“Ametupa jina la mtaa na namba ya nyumba.”“Ni mtaa gani?” Polisi huyo alikuwa na kipande cha karatasi mkononi, akanisomea jina la mtaa huo na namba ya nyumba.“Hebu nipe hicho kikaratasi.” Polisi huyo akanipa kipande hicho cha karatasi. Baada ya…

Read More

Tanzania Prisons yamnyatia Chilunda | Mwanaspoti

WAKATI KMC ikielezwa huenda ikaachana na aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Shaaban Idd Chilunda, uongozi wa Tanzania Prisons upo katika mazungumzo na kambi ya mchezaji huyo, ili kuipata saini yake kwa msimu ujao wa 2025-26. Chilunda ni miongoni mwa nyota wanaotajwa huenda wakaachana na KMC kutokana na kutofikia makubaliano ya kusaini dili jipya, jambo linaloziingiza…

Read More

Morocco: Tatizo sio mastraika, ni umaliziaji tu

“KILIO kikubwa kwenye kikosi cha Taifa Stars ni wachezaji kushindwa kutumia nafasi, hii ni kuanzia mwanzo wa mashindano ya CHAN hadi tumefikia tamati,” ndivyo anavyosema kocha wa timu hiyo ya taifa ya Tanzania, Hemed Suleiman ‘Morocco’ alipozungumza na Mwanaspoti. Anasema: “Timu inajaribu kutengeneza nafasi lakini haiwezi kuzitumia, lakini mpira ni mchakato sio kitu cha kukifanyia…

Read More

Dube afichua siri ya kambi, amtaja Folz

KAMBI ya Yanga inayojiandaa na msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26, imezidi kunoga kwa kocha Romain Folz kuendelea kuwapika mastaa wa timu hiyo, huku akikomalia mechi za kirafiki kujenga utimamu wa wachezaji wake, lakini nyota wa kikosi hicho Prince Dube amevunja ukimya na kuzungumzia vita ya namba kutokana na ongezeko la wachezaji wapya. Dube…

Read More

Simba ni mchaka mchaka, hakuna kulala!

KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na kucheza mechi nne za kirafiki za kimataifa za kujipima nguvu. Simba ilianza kambi ya muda mfupi jijini Dar es Salaam kisha Julai 30 ikasafiri…

Read More

Ile ishu ya uwanja Yanga, kazi inaanza upya

KAMA ulidhani Yanga inapiga porojo katika ujenzi wa Uwanja pale Jangwani, tulia kwanza, kwani kuna mambo mazito yameshaanza na habari mpya ni rasmi mchakato wa kuongezewa eneo unakamilika leo Septemba Mosi. Kuanzia kesho Jumanne (Septemba 2), Yanga itakuwa inamiliki eneo la mita za mraba 37,500 pale Jangwani ikiwa ni baada ya kukamilisha eneo ambalo waliliomba…

Read More