
JKT Queens kamili kwenda kuliamsha CECAFA
KIKOSI cha wachezaji 26 wa JKT Queens sambamba na benchi la ufundi na viongozi wengine 23 kinatarajia kuondoka nchini leo Jumatatu, Septemba Mosi, 2025, kwenda Nairobi, Kenya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Safari hiyo itaanzia Moshi, Kilimanjaro ilipokuwa kambi ya timu hiyo tangu Agosti 9, 2025,…