Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 4
Michezo

Ibenge awatega mastaa Azam, afichua usajili atakaoufanya

July 5, 2025 Admin

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema atafanya usajili itakapohitajika,  lakini anaamini kikosi kilichopo ni bora kutokana na kumaliza nafasi ya tatu na kupata

Read More
Michezo

Beki JKT mbioni kuibukia Msimbazi

July 5, 2025 Admin

SIKU moja tangu kuvuja kwa taarifa ya ripoti ya kocha wa Simba, Fadlu Davids kutaka asajiliwe majembe sita mapya ili kuunda kikosi bora cha msimu

Read More
Michezo

Straika Mbeya City anukia Mashujaa

July 5, 2025 Admin

VIONGOZI wa Mashujaa FC wako katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City, Mudathir Said baada ya nyota huyo aliyeirejesha timu hiyo

Read More
Michezo

Manyasi azigonganisha Singida BS, Mtibwa Sugar

July 5, 2025 Admin

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kukamilika Juni 25, mwaka huu, timu zimeanza mipango ya kuimarisha vikosi kwa ajili ya msimu ujao ikiwemo kusajili

Read More
Michezo

Ambundo suala la muda Mbeya City

July 5, 2025 Admin

INAELEZWA kwamba hesabu za Mbeya City sasa ziko kwa Dickson Ambundo, nyota mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji ambapo msimu wa 2024-2025 aliitumikia Fountain Gate.

Read More
Michezo

Simba kuanza na hawa usajili wa 2025/26

July 5, 2025 Admin

MABOSI wa Simba katikati ya wiki walikutana kujadili mambo mbalimbali ikiwamo kupitia ripoti ya kocha Fadlu Davids ili kusuka kikosi cha msimu ujao huku wakiafikiana

Read More
Michezo

Ibenge apiga mkwara, akizitaja Simba, Yanga

July 5, 2025 Admin

MUDA mchache baada ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameahidi kufanya makubwa ndani ya kikosi hicho akifurahia kupata nafasi ya uwakilishi

Read More
Michezo

Vurugu mchezo wa Stand, Fountain DC Mtatiro aingilia kati

July 4, 2025 Admin

Baada ya bao la tatu la Fountain Gate lililofungwa dakika ya 82 na Mudrick Gonda katika mechi ya play off ya kwanza, mashabiki wa Stand

Read More
Michezo

Ibenge rasmi Azam, afichwa hotelini

July 4, 2025 Admin

MWANASPOTI limejiridhisha kwamba Kocha maarufu raia wa DR Congo, Florent Ibenge yupo Dar es Salaam. Kocha huyo mwenye mafanikio kwenye soka la Afrika, amewasili Dar

Read More
Michezo

Fountain Gate yaizima Stand United kwao

July 4, 2025 Admin

Fountain Gate imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kubaki Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United kwenye mchezo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 638 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.