Sichone aanza kufunga UAE | Mwanaspoti

WINGA Mbongo Morice Sichone anayeitumikia Gulf FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili ya Falme za Kiarabu ameanza vizuri akifunga mabao mawili licha ya hali ya taharuki inayosababishwa na machafuko ya vita yanayoendelea katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati. Nyota huyo alijiunga na Gulf akitokea Trident FC ya Zambia alipocheza mechi 18 akifunga mabao…

Read More

Twiga Stars kurejea leo | Mwanaspoti

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Twiga Stars, kinarejea leo kutokea Falme za Kiarabu kilipokita kambi kwa ajili ya kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026. Twiga Stars ilikuwa UAE ikishiriki mashindano ya kujipima nguvu ya Pink Ladies Cup ambayo yalikuwa ni maandalizi ya WAFCON 2026 yaliyotarajiwa kuanza…

Read More

Said anaandika rekodi zake Malaysia

MSHAMBULIAJI Said Hamis Said Jr anayekipiga Imigresen, anaendelea kuonyesha makali yake katika Ligi Kuu ya Malaysia baada ya kuwa miongoni mwa wachezaji wanaoibeba timu hiyo. Said Jr amekuwa na msimu bora na tayari amecheza mechi 21 za ligi akifunga mabao 16 na kutoa asisti nne, takwimu zinazoonyesha mchango wake mkubwa katika kikosi hicho. Mabao hayo…

Read More

Yanga Yalalamika Kuhusu Adhabu na Makosa ya Waamuzi Ligi Kuu

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments Klabu ya Yanga  Machi 3, 2026 imetoa malalamiko makali dhidi ya Kamati ya Saa 72 na Bodi ya Ligi ikihusisha adhabu, makosa ya waamuzi katika mechi mbalimbali za Ligi Tanzania Bara. Tofauti za Adhabu kwa Wachezaji:Yanga imeitaka Bodi ya Ligi kutoa ufafanuzi kuhusu adhabu iliyotolewa kwa mchezaji Selemani Mwalimu….

Read More

Josiah afichua ishu ya Ally Salim

LICHA ya kipa namba moja wa Dodoma Jiji, Ally Salim kukosekana uwanjani kutokana na majeraha ya bega, lakini kocha Amani Josiah amesema hatakuwa na haraka ya kumtumia, kwani lengo ni kumuona akiwa fiti zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah amesema kipa huyo anaendelea na programu maalumu ya madaktari wa kikosi hicho, ingawa muda si mrefu mashabiki…

Read More

Msuva anausoma mchezo Coastal Union

WINGA wa Coastal Union, James Msuva amesema bado anahitaji muda kuzoea mazingira ya timu mpya akieleza kuwa kujiunga na kikosi hicho katikati ya msimu kimempa shida kidogo. James alijiunga na Wana Mangushi kufuatia kuachana na KenGold mwishoni mwa msimu uliopita na baadae kutambulishwa Coastal kipindi cha dirisha dogo la usajili lililofunguliwa Januari 1, 2026 na…

Read More

Ujumbe wa TAMWA kwa wanahabari wanawake 

WAKATI kesho Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani, waasisi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), wamekutana na kukumbushia safari ya mafanikio ya chama hicho na kuhamasisha kizazi kipya cha wanahabari wanawake kuendelea kupambana. Waasisi hao walikutana katika tukio maalum la futari lililofanyika jana Ijumaa Machi 6, 2026 kwenye ukumbi wa TAMWA…

Read More