Nyuki wa Tabora wamepania kung’ata zaidi msimu huu

TAYARI Tabora United inafahamu ladha tamu na chungu za Ligi Kuu Bara kutokana na kushiriki michuano hiyo kwa misimu miwili na sasa inakwenda wa tatu. Katika msimu wa kwanza 2023-24, timu hiyo iliponea chupuchupu kushuka daraja baada ya kushinda michezo ya mtoano kufuatia kumaliza katika nafasi ya 14 kati ya timu 16, hilo likawafanya viongozi…

Read More

Madereva mkao wa kula mbio za Magari Afrika, Kabudi mgeni rasmi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamaganda Kabudi ndiye atazindua Mbio za Magari za Ubingwa wa Afrika 2025 ‘Mkwawa Rally of Tanzania’ keshokutwa Ijumaa, Septemba 19, 2025 mkoani Morogoro. Ofisa Habari wa Mashindano ya Magari Tanzania, Michael Maluwe amesema kuwa maandalizi yote muhimu kwa tukio hilo la uzinduzi yameshakamilika. “Madereva wameanza kuwasili Morogoro kwa…

Read More

Polisi, Uhamiaji kufungua dimba Ligi Kuu Zanzibar

TIMU za Polisi na Uhamiaji, zitafungua dimba la Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 baada ya ratiba kutangazwa rasmi. Ratiba hiyo iliyotangazwa na Bodi ya Ligi Zanzibar, inaonesha mechi zitaanza kuchezwa Septemba 20, mwaka huu ambapo Polisi itakuwa mwenyeji wa Uhamiaji kwenye Uwanja wa Uwanja Mao A uliopo Unguja, saa 10:15 jioni. Katika ratiba hiyo,…

Read More

Fadlu anadaiwa makombe Simba | Mwanaspoti

“SIMBA msimu uliopita tulitengeneza msingi lakini msimu huu ni wa kushinda makombe, dirisha la usajili limeshafungwa, nawaamini sana wachezaji wangu wote na nimefurahishwa na kikosi changu. Kama kocha nitapambana na kikosi hiki kutengeneza timu yenye ushindani msimu huu.” Hayo ni maneno ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadluraghman “Fadlu” Davids aliyoyasema mbele ya waandishi wa habari,…

Read More

Prisons ya kishua, ramani ya Ligi Kuu iko hivi

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakisubiri kwa hamu kuanza kwa msimu wa Ligi Kuu 2025/26, Tanzania Prisons imesema inakuja tofauti kupambania nafasi Top 4, huku ikiahidi ‘kibunda’ kwa mastaa wake. Ligi Kuu Bara imeanza jana Septemba 17, ambapo Wajelajela hao watashuka uwanjani siku hiyo wakianzia ugenini dhidi ya Coastal Union, mchezo ukipigwa kwenye…

Read More

Namungo inavyoanza msimu mpya 2025/26 na malengo makubwa

WAUAJI wa Kusini, Namungo walikuwa na kambi ya wiki mbili jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, ambapo Mwanaspoti lilitinga kujionea namna nyota wa kikosi hicho wanavyojifua. Lakini, unaambiwa kazi haikuishia mazoezini tu, bali kuna mipango na mikakati mizito inasukwa kwa ajili ya kujenga upya ubora katika kupambania nembo ya…

Read More

Auawa kisa ushabiki wa dabi ya Simba, Yanga Songwe

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati wakiangalia mpira wa Simba na Yanga. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Septemba 17,2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Sura mpya Fountain Gate ikipambana upya Bara

MSIMU uliopita ilibaki kidogo Fountain Gate ishuke daraja, lakini ikanusurika baada ya kuichapa Stand United katika mechi za mtoano. Timu hiyo ilimaliza ligi katika nafasi ya 14, ikacheza mtoano wa kwanza dhidi ya Tanzania Prisons iliyomaliza ya 13, ikapoteza kwa jumla ya mabao 4-2 kwani nyumbani ilitoka 1-1, ugenini ikafungwa 3-1. Ilipoenda kukabiliana na Stand…

Read More