Mboni Masimba amrudisha jukwaani Bi Mwanahawa Ally 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Chocolate Princess,Mboni Masimba, amemrudisha jukwaani mkongwe wa Taarabu nchini, Mwanahawa Ally aliyetangaza kustaafu kuimba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mboni amesema,  anatarajia kufanya tamasha la mkesha wa muziki wa taarabu litakalohusisha wakali wasanii wa muziki huo nchini akiwemo Mwanahawa Ally, Agosti 28 kwenye Viwanja vya…

Read More

Mandonga atamba na ngumi kusanyakusanya Tabora

BONDIA machachari wa ngumi za kulipwa nchini  Kareem Mandonga  sambamba na wenzao wamepimwa uzito leo kwa ajili ya mapambano yatakayofanyika kesho Jumamosi, huku bondia huyo akitamba na ngumi mpya iitwayo ‘Kusanyakusanya’. Mandonga na wenzao wanatarajia kupigana kesho usiku katika  ‘Usiku wa Mabingwa wa Tabora’ ambapo Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Upendo Belti Wella kwa niaba…

Read More

Beki Mkongo ashusha presha Tanzania Prisons

BEKI mpya wa Tanzania Prisons, Heritier Lulihoshi, raia wa DR Congo amesema ni jambo la furaha kwake kuendelea kukiwasha katika Ligi Kuu Tanzania Bara, huku akiwashusha presha maafande hao kwa kusema anaamini mambo yatakuwa mazuri msimu mpya kuliko uliopita. Lulihoshi amesaini mwaka mmoja ndani ya maafande hao baada ya kuachana na Dodoma Jiji aliyojiunga nayo…

Read More

Jimmyson Mwanuke kurejea Mtibwa Sugar

MTIBWA Sugar iliyopanda Ligi Kuu msimu huu imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Singida Black Stars, Jimmyson Mwanuke. Kama nyota huyo atakamilisha dili hilo itakuwa mara ya pili kuichezea Mtibwa msimu wa 2023/24 kwa mkopo akitokea Simba ambako hakupata nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza. Chanzo kililiambia Mwanaspoti kuwa viongozi wa timu hiyo…

Read More

Hamdani Said kuandika historia Kombe la Dunia

Mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania, Hamdani Said ameteuliwa ni miongoni mwa marefa 12 wa Afrika walioteuliwa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia za Vijana chini ya umri wa miaka 17 mwezi Novemba huko Qatar. Kwa kuteuliwa huko, Hamdani anakuwa mwamuzi wa kwanza wa Tanzania katika historia kuteuliwa kuchezesha fainali za Kombe la Dunia kuanzia…

Read More

Ni robo fainali ya kisasi Ligi ya Kikapu Dar

Ni vita ya kisasi    robo fainali ya Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) itakayoanza kesho (Jumamosi) kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga. Kila timu inasaka ushindi kwa kulipa kisasi baada ya kufungwa katika hatua ya kwanza ya ligi hiyo na JKT Stars itakutana na Vijana Queens, huku Jeshi Stars itamenyana na  Pazi Queens. Kwa upande…

Read More

Mayanga kazi anayo usajili Mashujaa

WAKATI vigogo vya soka vikiendelea kutambiana kwa sajili zao, kuna watu wanaitwa Mashujaa wanafanya usajili mzuri sana wa wachezaji wazawa. Ndiyo tunakumbuka hapa kijiweni Mashujaa inamilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania na kama ilivyozoeleka timu za majeshi huwa kwa asilimia kubwa zinatoa fursa kwa watoto wa nyumbani kwa maana ya wachezaji wazawa. Sasa kama husajili…

Read More