Wataalamu wachambua utata bao la Pacome

BAO pekee lililofungwa na Pacome Zouzoua katika mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, limezua mjadala mzito. Katika mjadala huo, upande mmoja unasema kulikuwa na mazingira ya mfungaji kuwa eneo la kuotea ambaye pia alicheza faulo kwa kumzuia beki wa Simba, Rushine De…

Read More

Bajana aipa ujanja Azam FC

KIUNGO wa zamani Azam FC, Sospeter Bajana ameipa ujanja timu hiyo akisema kwa kikosi ilichonacho kama itazingatia mambo makubwa mawili kutoka kwa kocha Florent Ibenge, basi itafanya maajabu msimu huu. Bajana aliyeitumikia timu hiyo mfululizo kwa miaka 15, alisitishiwa mkataba wa mwaka mmoja uliosalia Azam wiki chache zilizopita na msimu unaoanza 2025/26 ataichezea JKT Tanzania….

Read More

Hizi zitapigwa sana na jua Ligi Kuu 2025/26

RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Mwanaspoti linakuletea timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa 8:00 mchana zikiwemo Mashujaa, Tanzabia Prisons, KMC, Mbeya City, Pamba Jiji, Tabora United, Namungo na…

Read More

Ligi Kuu Bara 2025/26 hawa kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Bado Watatu – 31 | Mwanaspoti

NIKAUFUNGA ule mlango wa stoo. Tukaenda kukaa sebuleni.“Sasa nataka nikwambie kitu cha mwisho,” baba akaniambia, na kuongeza: “Hatujui nini kitatokea, lakini endapo utakamatwa, usikubali kuwa marehemu alikuja kwako kabla ya kuuawa. Hilo jambo likatae kabisa. Na hata kama namba za gari lako zitatajwa, pia usikubali wewe ndiye uliyekwenda kuitupa maiti yake. Sema namba za gari…

Read More

Gamondi aanza kunogewa | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema kutwaa ubingwa wa kwanza na klabu hiyo ndani ya mwezi mmoja tangu kuteuliwa kuinoa ni jambo linalomfanya ajisikie furaha akijivunia mradi wa kujenga kikosi imara kitakachoshindana ndani na nje. Gamondi aliiongoza Singida juzi Jumatatu kutwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Kagame, taji ambalo ameliita kuwa mwanzo mzuri…

Read More

Ligi Kuu 2025/26: Mechi hizi sio za kuzikosa

MSIMU mpya wa 2025-2026 wa Ligi Kuu Bara unaanza leo Jumatano Septemba 17, 2025, huku ukitazamiwa kuongezeka kwa ushindani kutokana na timu 16 shiriki kusajili wachezaji bora wenye uzoefu katika vikosi hivyo. Wakati ratiba hiyo ikitoka kuashiria kwa msimu wa 2025-2026, Mwanaspoti linakuletea baadhi ya mechi kali na za kusisimua ambazo kama shabiki au mdau…

Read More

Ligi Kuu Bara: Hawa mbona kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Maema, Camara washindwa kujizuia | Mwanaspoti

NYOTA wapya wa Simba, Neo Maema na Naby Camara wameeleza vile walivyo na shauku ya kucheza Ligi Kuu Bara mara ya kwanza huku wakiwa na malengo ya kuisaidia timu hiyo kurejesha heshima. Kwa misimu minne mfululizo, Simba imekuwa ikishuhudia Yanga ikitwaa ubingwa wa ligi jambo ambalo wadai linawapa hamasa kupigania kurejesha makali ya Msimbazi. Maema,…

Read More