
Hamdani Said kuandika historia Kombe la Dunia
Mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania, Hamdani Said ameteuliwa ni miongoni mwa marefa 12 wa Afrika walioteuliwa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia za Vijana chini ya umri wa miaka 17 mwezi Novemba huko Qatar. Kwa kuteuliwa huko, Hamdani anakuwa mwamuzi wa kwanza wa Tanzania katika historia kuteuliwa kuchezesha fainali za Kombe la Dunia kuanzia…