Hamdani Said kuandika historia Kombe la Dunia

Mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania, Hamdani Said ameteuliwa ni miongoni mwa marefa 12 wa Afrika walioteuliwa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia za Vijana chini ya umri wa miaka 17 mwezi Novemba huko Qatar. Kwa kuteuliwa huko, Hamdani anakuwa mwamuzi wa kwanza wa Tanzania katika historia kuteuliwa kuchezesha fainali za Kombe la Dunia kuanzia…

Read More

Ni robo fainali ya kisasi Ligi ya Kikapu Dar

Ni vita ya kisasi    robo fainali ya Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) itakayoanza kesho (Jumamosi) kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga. Kila timu inasaka ushindi kwa kulipa kisasi baada ya kufungwa katika hatua ya kwanza ya ligi hiyo na JKT Stars itakutana na Vijana Queens, huku Jeshi Stars itamenyana na  Pazi Queens. Kwa upande…

Read More

Mayanga kazi anayo usajili Mashujaa

WAKATI vigogo vya soka vikiendelea kutambiana kwa sajili zao, kuna watu wanaitwa Mashujaa wanafanya usajili mzuri sana wa wachezaji wazawa. Ndiyo tunakumbuka hapa kijiweni Mashujaa inamilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania na kama ilivyozoeleka timu za majeshi huwa kwa asilimia kubwa zinatoa fursa kwa watoto wa nyumbani kwa maana ya wachezaji wazawa. Sasa kama husajili…

Read More

Straika Mzambia atua Singida Black Stars

TIMU ya Singida Black Stars inaendelea na maandalizi ya msimu jijini Arusha chini ya kocha Miguel Gamondi, huku uongozi wa kikosi hicho ukifikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji, Andrew Phiri kutoka Maestro United ya Zambia. Nyota huyo raia wa Zambia, alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichotolewa katika michuano ya CHAN 2024, ambapo mabosi wa…

Read More

Tuungane pamoja tuimalize Morocco | Mwanaspoti

LEO ndiyo leo na asemaye kesho muongo, maana timu yetu ya taifa ‘Taifa Stars’ inaweza kuandika historia ya kibabe kwenye mashindano ya CHAN au safari yake ikaishia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa itakapokabiliana na Morocco. Na kwa vile ni robo fainali, maana yake timu itakayopoteza itaaga rasmi mashindano hayo yanayoshirikisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani…

Read More

Frank Assinki asaini mwaka mmoja Yanga

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua jijini Dar es Salaam, huku kambi ikipokea ujio wa beki mpya kutoka Ghana, ambaye amepewa mkataba wa mwaka mmoja na tayari ameanza kufanya mambo chini ya kocha Romain Folz. Yanga inajiandaa na mechi za msimu mpya wa 2025-26 ikiwania kutetea mataji matatu kwa mpigo, Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara…

Read More

Taifa Stars twen’zetu nusu fainali CHAN 2024

LEO Ijumaa, timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina mchezo muhimu katika michuano ya CHAN 2024 itakapoikaribisha Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mazingira ya timu hiyo kufanya vizuri yakiwekwa sawa. Mchezo huo uliopangwa kuanza saa 2:00 usiku, Taifa Stars ni mara ya kwanza inacheza hatua ya robo fainali, wakati…

Read More