Kwa Mashaka ni kazi tu msimu huu
MSHAMBULIAJI mpya wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema anajipanga kuhakikisha huduma yake inaifaa timu hiyo kwa msimu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17. JKT Tz itaanza mechi yake ya kwanza ugenini dhidi ya Mashujaa itakayopigwa Septemba 18, jambo ambalo Mashaka alisema anatamani kuanza na mguu wa neema wa kufunga bao, ili ndoto zake kuwa na…