Kwa Mashaka ni kazi tu msimu huu

MSHAMBULIAJI mpya wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema anajipanga kuhakikisha huduma yake inaifaa timu hiyo kwa msimu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17. JKT Tz itaanza mechi yake ya kwanza ugenini dhidi ya Mashujaa itakayopigwa Septemba 18, jambo ambalo Mashaka alisema anatamani kuanza na mguu wa neema wa kufunga bao, ili ndoto zake kuwa na…

Read More

Ligi Bara yambeba kipa Mkongomani

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka, amesema Ligi Kuu Bara imempa fursa ya kuonekana zaidi baada ya nyota huyo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na kikosi cha Bandari ya Kenya kwa ajili ya kukitumikia msimu wa 2025-2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Ngeleka alisema kucheza kwa muda mrefu katika Ligi Kuu Bara kumechangia kupata nafasi hiyo…

Read More

Wagosi wa kaya wapo tayari Bara

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Ally Ameir amesema kikosi hicho kipo tayari kukabiliana na Tanzania Prisons katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kupigwa Septemba 17, kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Pambano hilo la Wagosi wa Kaya waliowahi kuwa mabingwa wa Ligi Kuu (enzi za Ligi Daraja la Kwanza) mwaka 1988, ni…

Read More

Aucho apiga hesabu kali, aitaja Yanga

SINGIDA Black Stars jana ilibeba ubingwa wa kwanza wa Kombe la Kagame kwa kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1, katika mechi ya fainali ya Kombe la Kagame 2025, huku nahodha wa timu hiyo, Khalid Aucho amefichua siri iliyomfanya atue kwa wauza alizeti hao akisisitiza mashabiki wajiandae kupata furaha msimu huu. …

Read More

Joshua Ibrahim ajipanga upyaa Fountain

MSHAMBULIAJI mpya wa Fountain Gate, Joshua Ibrahim amesema baada ya kukamilisha uhamisho wa kujiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja, atahakikisha anapambana kwa lengo la kuhakikisha anaendelea pia kuaminika na benchi la ufundi. Akizungumza na Mwanaspoti, Joshua alisema licha ya ofa nyingi alizokuwa nazo ila amefikia uamuzi wa kujiunga na Fountain Gate, baada…

Read More

Simbu afunguka, ataja  kilichompa ujasiri Tokyo

Bingwa wa dunia wa marathoni, Alphonce Simbu amefunguka kilichombeba katika mashindano hayo alfajiri ya kuamkia leo Septemba 15, 2025 jijini Tokyo Japan. Simbu ametwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya 25 ya dunia nchini humo akitumia saa 2:09:48, muda sawa na aliotumia mshindi wa pili, Amanal Petros wa Ujerumani wakitofautiana na Simbu sekunde 0.03, huku…

Read More

Singida Black Stars mabingwa wapya Kagame 

SINGIDA Black Stars imeweka historia kwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame kwa mara ya kwanza baada ya kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1 katika mechi ya fainali iliyopigwa leo Septemba 15, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Ni Clatous Chama ambaye ameifanya Singida Black…

Read More