
Mhesa kurejesha majeshi Mtibwa | Mwanaspoti
KIUNGO mshambuliaji, Ismail Aidan Mhesa, yupo mbioni kurejea tena ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar, baada ya mkataba wa miezi sita na Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship kuisha, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine. Nyota huyo alijiunga na Geita Gold katika dirisha dogo la Januari 9, 2024, akitokea Mashujaa aliyoitumikia kwa miezi sita…