Mhesa kurejesha majeshi Mtibwa | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji, Ismail Aidan Mhesa, yupo mbioni kurejea tena ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar, baada ya mkataba wa miezi sita na Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship kuisha, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine. Nyota huyo alijiunga na Geita Gold katika dirisha dogo la Januari 9, 2024, akitokea Mashujaa aliyoitumikia kwa miezi sita…

Read More

Yanga, Simba zachomoa tena Kagame Cup 2025

WAKATI Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likitangaza timu 12 zitashiriki mashindano ya Kombe la Kagame 2025 zikiwemo Yanga na Simba, wakongwe hao wa soka la Tanzania wameamua kujiweka pembeni huku sababu za kufanya hivyo zikitajwa. Uamuzi wa timu hizo kujiweka pembeni umetajwa ni kutokana na ratiba kuwabana kufuatia…

Read More

Winga wa KenGold apewa mmoja Namungo

ALIYEKUWA winga wa KenGold, Herbert Lukindo amekamilisha usajili kujiunga Namungo kwa mkataba wa mwaka mmoja, huku nyota huyo akiitosa ofa ya maafande wa JKT Tanzania, ambao mwanzoni ndio iliyokuwa ya kwanza kufungua mazungumzo naye. Awali JKT Tanzania ilifungua mazungumzo na nyota huyo na kukubaliana mkataba wa miaka miwili, ingawa baada ya kuchelewa kuingiza fedha walizokubaliana,…

Read More

Sowah apishana na Yanga Dar

MABADILIKO ya kalenda ya kuwania Ngao ya Jamii yameipa pigo Simba, ambayo sasa itakutana  na Yanga bila ya mshambuliaji mpya wa kikosi hicho, Jonathan Sowah aliyesajiliwa kutoka Singida BS. Simba na Yanga zinatarajiwa kuzindua msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-2026 kwa kuvaana katika mechi ya Ngao ya Jamii iliyopangwa kupigwa Septemba 16 kwenye Uwanja…

Read More

Nondo 7 za Stars kuiondosha Morocco CHAN 2024

KUFUATIA Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kufuzu kwa mara ya kwanza hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, mjadala umeibuka kuhusu kikosi hicho kinakwenda kuikabili vipi Morocco ili kutinga nusu fainali. Mjadala uliofanyika leo Agosti 20, 2025 kwenye Mwananchi X Space wenye mada isemayo; ‘CHAN 2024 ipo robo fainali, nini kifanyike…

Read More

Sowah kuikosa Dabi ya Kariakoo Ngao ya Jamii

Mshambuliaji mpya wa Simba, Jonathan Sowah, ataikosa mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga itakayopigwa Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Hii ni baada ya kufungiwa kufuatia kadi nyekundu aliyoonyeshwa kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB msimu uliopita wakati akiwa na Singida Black Stars. Kwa…

Read More

Watatu kutimkia Fountain Gate Princess

SIKU chache baada ya Bunda Queens kuachana na wachezaji watatu, inaelezwa wapo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Fountain Gate Princess. Hadi sasa, Bunda imeachana na wachezaji tisa muhimu akiwemo Ester Maseke aliyejiunga na JKT Queens, huku wengine wakiwa ni Mkenya Nelly Kache, Florida Osundwa, Nasra Selemani, Saida Steven, Esther Nyanda, Melkia William, Marry Joseph…

Read More

Kwesi Appiah awapa tano mastaa

BAADA ya kufuzu hatua ya robo fainali timu ya taifa ya Sudan imeonekana kuingia kwenye hali ya kujiamini, kutokana na kocha Kwesi Appiah kuwapongeza wachezaji wake akidai kwamba wamekuwa wakibadilika mechi hadi mechi kuonyesha ubora. Sudan imefuzu hatua hiyo baada ya suluhu dhidi ya mabingwa wa michuano ya CHAN, Senegal na kufanikiwa kuongoza kundi D…

Read More

Kocha Senegal ajishtukia CHAN 2024

KOCHA Mkuu wa Senegal, Souleymane Diallo amelia na kikosi chake kushindwana kutegua mtego dhidi ya Sudan akisisitiza kuwa ana kazi kubwa ya kufanya katika hatua ya robo fainali akihofia kukamiwa zaidi. Souleymane alisema hayo baada ya timu yake kuambulia suluhu dhidi ya Sudan akikiri kupata mchezo mgumu ambao uliifanya timu yake ishindwe kupata matokeo kucha…

Read More