Kiungo Sudan bado haamini kilichotokea CHAN 2024

BAADA ya kufanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mchezo dhidi ya Senegal, kiungo mkabaji wa Sudan, Salah Eldin Adil Ahmed Al Hassan amesema haikuwa rahisi kuwazuia mabingwa watetezi, ila juhudi na kufuata maelekezo ndio siri ya kuambulia suluhu. Salah alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwa sehemu ya ukuta imara wa Sudan ambao ulifanikiwa wa…

Read More

Kocha Nigeria avimbia kiwango akiaga CHAN

NIGERIA imehitimisha safari yake kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Congo katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, lakini matokeo hayo hayakuzuia kufungasha virago vyao. Kocha wa Nigeria, Eric Chelle, alisema ingawa timu yake imetolewa mapema, kiwango walichoonyesha…

Read More

Cherubin Basse-Zokana aiunga mkono Stars

NAHODHA wa timu ya taifa ya Afrika ya Kati, Cherubin Basse-Zokana ameipongeza Taifa Stars kwa kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 na kutabiri kuwa inaweza kuing’oa  Morocco na kutinga nusu fainali. Basse-Zokana, ambaye alikuwa mhimili wa kikosi cha Afrika ya Kati katika mechi zote…

Read More

Maema aiwahi Simba Misri | Mwanaspoti

KIUNGO mpya wa Simba, Neo Maema ataungana na kikosi cha timu hiyo kambini jijini Cairo nchini Misri leo tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya. Maema alikuwa miongoni mwa wachezaji waliokuwa na kikosi cha timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ kilichokuwa kinashiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN)…

Read More

Mkenya aipa ushindi Stars kwa Morocco

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, Mkenya David Ouma ameipa nafasi kubwa Taifa Stars kushinda dhidi ya Morocco katika robo fainali ya michuano ya CHAN. Taifa Stars imetinga hatua hiyo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo 2009, baada ya mara mbili zilizopita 2009 na 2020 kushindwa kuvuka hatua ya makundi. Safari hii…

Read More

Aucho kimeeleweka Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo wa Yanga, Khalid Aucho ikimpa mkataba wa miaka miwili. Mwanaspoti lilisharipoti uwepo wa mazungumzo ya Singida Black Stars kumnasa kiungo huyo raia wa Uganda na sasa ni rasmi amemwaga wino huku muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa rasmi tayari kwa maandalizi ya msimu wa 2025/26. Chanzo cha kuaminika…

Read More

Saba waifumua Simba, Ahoua, Kibu wawekewa mtego

MZIKI wa Simba unaosukwa huko Misri, umeibua jambo jipya kutokana na nyota saba kuonekana kufumua kikosi cha kwanza ambacho awali kilikuwa kinampa jeuri Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Fadlu ambaye anaingia msimu wa pili kuinoa Simba, alikuwa na wakati mzuri 2024-2025 kwani licha ya kutotwaa taji lolote, lakini kuna mabadiliko makubwa yametokea hasa kwenye ushindani katika…

Read More

Romain Folz aja na testi mpya ya Pacome, Ecua

KOCHA wa Yanga, Romain Folz bado anaendelea kukijenga kikosi cha timu hiyo mdogomdogo na jana asubuhi kilikuwa pale Fukwe za Coco, jijini Dar es Salaam. Yanga ilikuwa hapo kwa takribani saa mbili ikiwa na mastaa wake wote wakiwemo viungo Moussa Bala Conte, Pacome Zouzoua na Ecua Celestine, lengo likiwa ni kufanya mazoezi ya ufukweni kuongeza…

Read More

Suluhu yazipeleka Sudan, Senegal robo fainali CHAN

SULUHU kati ya Sudan na Senegal imezivusha timu hizo kutinga robo fainali ya CHAN baada ya Congo kukubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Nigeria kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Sudan na Senegal zimetinga hatua hiyo baada ya zote kufikisha pointi tano tofauti ikiwa ni mabao ya kufunga na kufungwa, hivyo timu hizo…

Read More