Mbongo amkuna kocha Rayon Sports

KOCHA wa Rayon Sports, Fleury Rudasingwa amemtaja kipa wa Kitanzania, Husna Mpaja, kama moja ya vipaji ambavyo wamebahatika kuwa navyo kwenye kikosi hicho. Mpaja alisajiliwa na mabingwa hao wa Ligi ya Wanawake Rwanda akitokea Geita Queens ya mkoani Geita ambako alicheza na kuonyesha kiwango bora. Aliongeza kuwa bado hajampa nafasi kutokana na ugeni wa michuano…

Read More

Nahodha Kampala anaitaka rekodi tu

NAHODHA wa Kampala Queens, Shakirah Nankwanga amesema mashindano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika ni fursa kwa wachezaji, akitamani kuacha rekodi. Nankwanga mwenye umri wa miaka 23, alijiunga na Kampala Queens akitokea Kawempe Muslim Ladies FC mwaka 2024 na akisaini mkataba wa miaka mitatu. Katika msimu wake wa kwanza, alikuwa mchezaji muhimu akiisaidia timu…

Read More

Beki Simba apewa mmoja Zambia

ALIYEKUWA beki timu ya vijana ya Simba, Alon Okechi Nyembe amesajiliwa na Zanaco inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo alicheza Simba U-20 misimu miwili kisha kupandishwa timu kubwa, ingawa aliishia benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Nyembe alisema kusajiliwa na Zanaco ni fursa kwake ya kuonyesha uwezo wake baada ya kuaminiwa na…

Read More

Mtanzania aanza na Al Ahly

JANA Chama la Mtanzania, Arafat Masoud ‘Konde Boy’ anayekipiga ENPPI lilikuwa kibaruani kwenye muendelezo wa Ligi Kuu Misri dhidi ya Al Ahly na nyota huyo alitarajiwa kuwepo kikosini kwa mara ya kwanza tangu alipotambulishwa hivi karibuni. Kinda huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Azam FC aliyoitumikia kwa misimu minane tangu ajiunge mwaka 2017 akicheza timu…

Read More

Straika Pamba alalamikiwa TFF | Mwanaspoti

BAADA ya Pamba Jiji kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Kagera Sugar, Peter Lwasa, raia wa Uganda taarifa mpya ni nyota huyo atafunguliwa mashtaka Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji (TFF), kwa sababu ya kupinga agizo la waajiri wake. Iko hivi. Kager iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu na kwenda Ligi ya Championship, ilifikia…

Read More

Gamondi analitaka Kombe la CECAFA Kagame

FAINALI ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame itapigwa leo Jumatatu na Singida Black Stars itavaana na Al Hilal Omdurman ya Sudan kwenye Uwanja wa KMC, jijini Dar es Salaam mara baada ya mechi ya mshindi wa tatu kati ya APR ya Rwanda na KMC inayopigwa saa 6:00 mchana. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa…

Read More

Simba, Yanga zajitega Kwa Mkapa

MASHABIKI wa soka hususan wale wa Simba na Yanga kwa sasa wanahesabu saa tu kabla ya kuzishuhudia timu hizo zikishuka Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuvaana katika mechi ya Ngao ya Jamii kuzindua msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-2026. Zimesalia saa 24 tu…

Read More