Mbongo amkuna kocha Rayon Sports
KOCHA wa Rayon Sports, Fleury Rudasingwa amemtaja kipa wa Kitanzania, Husna Mpaja, kama moja ya vipaji ambavyo wamebahatika kuwa navyo kwenye kikosi hicho. Mpaja alisajiliwa na mabingwa hao wa Ligi ya Wanawake Rwanda akitokea Geita Queens ya mkoani Geita ambako alicheza na kuonyesha kiwango bora. Aliongeza kuwa bado hajampa nafasi kutokana na ugeni wa michuano…