Waandishi, wadau wa habari wamlilia Sharon, wamtaja mwalimu aliyeondoka

Dodoma. Mwandishi mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia. Sharon amekutwa na umauti alfajiri leo Agosti 19, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu. Kifo chake kimepokewa kwa mshtuko na wanahabari wenzake na wadau wa habari, ambao wamemweleza kama mtu aliyekuwa mwalimu na kiongozi wa kipekee katika…

Read More

RT kuwabana waandaaji mbio | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limepanga kuweka sheria mpya itakayowalazimisha waandaaji wa mashindano ya mchezo huo kuhakikisha wanajumuisha pia mbio za watoto katika kila tukio litakaloandaliwa. Hatua hiyo inalenga kujenga msingi imara wa vipaji na kuwekeza mapema kwenye maendeleo ya riadha nchini. Rais mpya wa RT, Rogath John Stephen Akhwari alisema mpango huo utahusisha kuandaa…

Read More

Namungo inaendelea kujifua Dodoma | Mwanaspoti

NAMUNGO FC inaendelea kujifua katika kambi iliyopiga jijini Dodoma kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, huku ikiwa na matarajio ya kucheza mechi mbalimbali za kirafiki. Katibu wa Namungo, Ally Seleman alisema timu ilianza mazoezi Jumatatu wiki hii chini ya kocha msaidizi Ngawina Ngawina, kisha baada ya siku tatu wataanza kucheza mechi za kirafiki….

Read More

Sababu Wazir Jr kurudi Bongo

MSHAMBULIAJI Wazir Junior Shentembo ameweka wazi sababu ya kurejea Dodoma Jiji, anataka kumaliza mkataba wake wa mwaka mmoja kisha atimke nje. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga na KMC, msimu uliopita kabla ya kutimkia Al Minaa ya Iraq alipocheza kwa mkopo wa miezi sita, alikuwa akiitumikia Dodoma Jiji. Akizungumza na Mwanaspoti, Waziri Jr alisema kwenye…

Read More

Prisons, Mbeya City zakimbia Jiji, tambo zatawala

WAKATI presha ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Bara ikipamba moto, Mbeya City na Tanzania Prisons zimetimka jijini Mbeya kwa ajili ya maandalizi yao, huku matumaini ya kufanya vizuri kwa pande zote yakiwa makubwa. Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26 inatarajiwa kuanza Septemba 16 mwaka huu na mkoani Mbeya timu mbili zinatarajiwa kuwakilisha kwenye…

Read More

Algeria yachekelea kucheza robo Zanzibar 

KOCHA wa timu ya taifa ya wachezaji wa ndani wa Algeria, Madjid Bougherra, amesema safari za mashindano ya CHAN yanayoandaliwa kwa mara ya kwanza na Tanzania, Kenya na Uganda hayajawa changamoto kwao, bali yamekuwa fursa kwa wachezaji. Baada ya kupata sare tasa dhidi ya Niger katika Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi, matokeo yaliyowapeleka robo fainali,…

Read More

Afrika Kusini yatoa visingizio CHAN

KOCHA wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Molefi Ntseki ametoa ufafanuzi wa mambo yaliyoikwamisha Bafana Bafana kushindwa kufuzu robo fainali ya mashindano ya CHAN baada ya sare ya mabao 3-3 dhidi ya Uganda katika mechi ya kundi C. Afrika Kusini ilikuwa katika nafasi nzuri ya kutinga hatua hiyo hadi dakika ya 83, ikiwa ikiongoza…

Read More

Staa Morocco afichua jambo kuwahusu

MSHAMBULIAJI wa Morocco, Oussama Lamlioui, amesema mshikamano wa timu ndiyo msingi wa mafanikio ya Simba wa Milima ya Atlas kufuzu hatua ya robo fainali katika mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024. Lamlioui alikuwa shujaa wa Morocco mjini Nairobi baada ya kuonyesha kiwango bora katika eneo la kiungo na kutwaa tuzo…

Read More

Tanzania, Kenya, Uganda zaandika rekodi CHAN 2024

TIMU za taifa za Tanzania, Kenya na Uganda zimeandika rekodi mpya katika soka la Afrika baada ya zote kwa pamoja kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 huku wakiongoza makundi yao. Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa mashindano hayo, Tanzania, Kenya na Uganda zimepenya hatua…

Read More