TFF Yatangaza Viingilio Ngao ya Jamii Simba vs Yanga – Global Publishers
Last updated Sep 14, 2025 Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, Septemba 16, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa…