Kelvin John aweka chuma mbili Denmark

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Kelvin John anayekipiga Aalborg, amefunga mabao mawili jioni ya leo kufuatia ushindi wa 4-0 dhidi ya Middelfart Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Denmark. Mabao ya John aliyefunga dakika ya 72 na 82, yameisogeza timu hiyo hadi nafasi ya nane kutoka tisa kwenye msimamo wa ligi hiyo maarufu Danish…

Read More

JKT yatinga fainali ya CECEFA

JKT Queens imetinga fainali ya michuano ya Afrika Mashariki na Kati kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuishinda Kenya Police Bullets kwa mikwaju ya penalti 4-2 kufuatia sare ya bao 1-1. Mechi hiyo imepigwa katika Uwanja wa Moi Kasarani, Naironi Kenya, ambako yanafayika mashindano hayo yaliyoanza Septemba 4 na fainali itapigwa keshokutwa…

Read More

Maandalizi duni yaiangusha JKU | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha msaidizi wa JKU Princess, Noah Kanyanga amesema maandalizi hafifu yamechangia timu hiyo kutofanya vizuri kwenye mashindano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika. Baada ya JKU kuondolewa kwenye mashindano, rasmi sasa Kanyanga anarudi kwenye majukumu yake ya kocha mkuu Fountain Gate Princess. Mabingwa hao wa Zanzibar walimuazima ili aongeze nguvu. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Macho yote kwa Vicky michuano ya NCBA

VIWANJA vya Gofu vya Muthaiga vilivyopo jijini Nairobi, Kenya ndivyo vitaamua nani anastahili kuutwaa ubingwa wa Afrika Mashariki wa NCBA baada ya kutamatika kwa mashimo 18 majuma machache yajayo. Tanzania, tayari imeshapata washiriki wakiongozwa na Malkia wa Swing, Vicky Elias kutoka jijini Dar es Salaam. Vicky pamoja na Madina Idd na Neema Olomi wa Arusha…

Read More

Kocha Minziro aibukia Bigman | Mwanaspoti

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Bigman, Fredy Felix ‘Minziro’, amerejea tena kukifundisha kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026, wa Ligi ya Championship, akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Zubery Katwila aliyejiunga na Geita Gold. Minziro aliyewahi kuzifundisha Geita Gold na Tanzania Prisons, aliifundisha Bigman msimu wa 2024-2025, ingawa aliondoka Oktoba 17, 2024 na kujiunga…

Read More

Kocha CBE asepa na somo CECAFA

KOCHA wa CBE, Birhanu Gizaw amesema msimu huu haukuwa mzuri kwa upande wao wakikutana na ushindani mkubwa kwenye mashindano ya CECAFA ya kuwania kufuzu ushiriki wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake. Mabingwa hao watetezi wa CECAFA waliishia katika hatua ya makundi baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Kundi B, wakianza kwa kupoteza…

Read More

Opah tumaini jipya Hispania | Mwanaspoti

SD Eibar ya Ligi ya Wanawake Hispania imeboresha eneo la ushambuliaji kwa ajili ya msimu huu ikimsajili nyota wa Kitanzania, Opah Clement ambaye ana rekodi nzuri Ulaya. Opah kabla ya kujiunga na timu hiyo msimu uliopita aliichezea FC Juarez ya Mexico lakini hakuwa na msimu mzuri alicheza mechi sita bila kufunga bao wala asisti. Lakini…

Read More

Mgaya Ally atimkia Oman | Mwanaspoti

BAADA ya kuitumikia Coastal Union kwa msimu mmoja, straika wa Kitanzania, Mgaya Ally amesema ni muda wa kuendelea kutafuta changamoto sehemu nyingine akitimkia Salalah SC ya Oman  kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo alijiunga na Wagosi wa Kaya wakati wa dirisha dogo la usajili akitokea FleetWoods Falme za Uarabu, UAE alikocheza kwa misimu miwili….

Read More