Vita ya vigogo robo fainali BDL

LIGI ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imefikia patamu baada ya timu vigogo nane kutinga robo fainali inayotarajia kuanza Agosti 23, mwaka huu katika Uwanja wa Donbosco, Upanga. Vigogo hao ni Dar City iliyomaliza ikiwa na pointi 30, Pazi (27), JKT (26), Stein Warriors (26), UDSM Outsiders (25), Savio (24), ABC (24) na…

Read More

Mwandishi Mwananchi, Sharon Sauwa afariki dunia

Mwanahabari mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumanne Agosti 19, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Baba mzazi wa Sharon, Steven Lamlembe amesema mazishi yatafanyika Agosti 21, 2025 katika makaburi ya Pugu Mwakenga nyuma ya Shule ya Sekondari ya Pugu jijini Dar es…

Read More

Mwanahabari Sharon Sauwa afariki dunia

Mwanahabari mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumanne Agosti 19, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Baba mzazi wa Sharon, Steven Lamlembe amesema mazishi yatafanyika Agosti 21, 2025 katika makaburi ya Pugu Mwakenga nyuma ya Shule ya Sekondari ya Pugu jijini Dar es…

Read More

KMKM yaanza mikwara, yawatisha Wadjibouti mapema

KIKOSI cha KMKM kinaendelea kujifua hapa visiwani Zanzibar kujiandaa na mechi ya raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho dhidi ya As Port ya Djibouti, huku kocha mkuu wa timu huyo  Ame Msimu akipiga mkwara mzito. Kocha huyo amesema hana presha kwenda kuivaa AS Port kwa vile walishawahi kuvaana nao, hivyo wanajua namna ya kuwasulubu…

Read More

Mwandishi Mwananchi Sharon Sauwa afariki dunia

Dar es Salaam. Mwanahabari mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumanne Agosti 19, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Baba mzazi wa Sharon, Steven Lamlembe amesema mazishi yatafanyika Agosti 21, 2025 katika makaburi ya Pugu Mwakenga nyuma ya Shule ya Sekondari ya Pugu…

Read More

Mwansishi Mwananchi Sharon Sauwa afariki dunia

Dar es Salaam. Mwanahabari mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumanne Agosti 19, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Baba mzazi wa Sharon, Steven Lamlembe amesema mazishi yatafanyika Agosti 21, 2025 katika makaburi ya Pugu Mwakenga nyuma ya Shule ya Sekondari ya Pugu…

Read More

CAF yaandaa mdahalo wa kiufundi, Mirambo ndani 

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza litakuwa na mdahalo wa kiufundi juu ya mashindano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 yanayoendelea Afrika Mashariki, kitakachofanyika jijini Nairobi, Kenya, kesho Jumatano. Kikao hicho kitahusisha  wanachama maalum wa Technical Study Group (TSG) wa CAF, ambao watajadili kwa kina mwenendo wa kiufundi wa…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Senegal kazi ipo Amaan Complex

HATUA ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 inafikia tamati usiku wa leo Jumanne kwenye viwanja viwili tofauti, jijini Dar es Salaam na visiwani hapa wakati timu nne za Kundi D zitapepetana kusaka nafasi mbili za mwisho za kutinga robo fainali. Jijini Dar es Salaam, Nigeria iliyoaga mapema michuano hiyo kwa kupoteza mechi mbili za…

Read More