Maximo, Gamondi hapatoshi Kagame | Mwanaspoti
NUSU fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame inachezwa leo baada ya kupigwa dochi kwa siku moja kupisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, kwa kupigwa mechi mbili kwenye Uwanja wa KMC, huku macho yakitupiwa pambano la KMC na Singida Black Stars. Mechi hiyo inawakutanisha makocha wenye heshima kubwa nchini, Marcio Maximo na Miguel Gamondi…