Mrithi wa Mligo Namungo afunguka

BAADA ya Namungo FC kuinasa saini ya beki wa kushoto wa KVZ, Ally Saleh Machupa kuziba nafasi iliyoachwa na Anthony Mligo, beki huyo mpya amefunguka matarajio aliyonayo katika maisha mapya Ligi Kuu Bara. Machupa anakuwa mchezaji wa pili kutoka KVZ kutua Namungo kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa baada ya hivi karibuni kipa tegemeo Suleiman Abraham…

Read More

Benchikha alivyopita na beki kisiki Simba

WAKATI Simba ikimnasa nyota kiraka Naby Camara kutoka Guinea na wakali wengine wakiendelea kujifua huko Cairo, Misri, Mwanaspoti limedondoshewa faili la siri namna beki kitasa wa Wekundu hao alivyopitiwa na aliyekuwa kocha mkuu wa zamani wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha. Benchikha aliwahi kuinoa Simba kwa kipindi kifupi misimu miwili iliyopita kabla ya kuondoka mara baada…

Read More

Mambo yameiva Dabi K’koo… Simba mtiti, Yanga mtiti

HUKO mtaani na katika mitandao ya kijamii kuna kelele nyingi za mashabiki wa soka wakitamani siku ziende haraka ili washuhudie Dabi ya Kariakoo ya kwanza kwa msimu wa 2025-2026. Ndiyo, Simba iliyomaliza nafasi ya pili Ligi Kuu Bara, italazimika kuvaana na Yanga iliyobeba mataji yote msimu uliopita kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu hadi Kombe…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo CHAN 2024

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

Simba, kipa mpya ngoma imeiva!

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri, lakini inaelezwa mabosi wa klabu hiyo wanapambana kumalizia dili na kipa mmoja kabla ya dirisha la usajili halijafungwa, na kinachoelezwa ni kwamba kuna sapraizi flani inaandaliwa ya kufungia. Mastaa wa kikosi hicho wanaendelea kujifua huko Misri ikiwa ni siku chache baada ya kuondoka Ismailia walikotumia zaidi ya…

Read More

Beki la kazi kuifuata Simba Misri

SIMBA inapambana kuweka mambo sawa katika maeneo mbalimbali ya uwanjani ikiwa kambini nchini Misri, ambapo ikiwa huko imeshambulisha vichwa kadhaa vya maana tu katika kikosi chake vinavyosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Msimbazi. Taarifa mpya ni kwamba timu hiyo inapambana kumalizana na beki mmoja wa kati ili akaungane na kikosi hicho kilichopo Cairo, kikijifua kwa…

Read More

Omary wa Fountain Gate kukaa nje wiki mbili

KIUNGO mshambuliaji wa Fountain Gate, Hashim Omary amejikuta akianza maandalizi ya msimu ujao kwa kupata jeraha la bega akiwa katika kambi ambayo timu hiyo imepiga mkoani Morogoro. Omary ameliambia Mwanaspoti kuhusiana na jeraha hilo alilolipata akiwa katika mazoezi na daktari akamwambia atatakiwa kukaa nje kwa takriban wiki mbili ili kujiuguza kisha ataambiwa kipi cha kufanya….

Read More

CHAN 2024: Wamorocco waingiwa ubaridi

KOCHA wa timu ya taifa ya Morocco kwa wachezaji wa ndani, Tarek Sektioui amekiri hajawa na muda wa kuangalia kwa undani mechi za Taifa Stars ambao watakabiliana nao, Jumamosi ya Agosti 22 kwenye mechi ya robo fainali mashindano ya CHAN 2024. Morocco ambayo ilimaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi A ikiwa na pointi…

Read More