Maximo, Gamondi hapatoshi Kagame | Mwanaspoti

NUSU fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame inachezwa leo baada ya kupigwa dochi kwa siku moja kupisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, kwa kupigwa mechi mbili kwenye Uwanja wa KMC, huku macho yakitupiwa pambano la KMC na Singida Black Stars. Mechi hiyo inawakutanisha makocha wenye heshima kubwa nchini, Marcio Maximo na Miguel Gamondi…

Read More

Ibrahim Ajibu aanza tambo mapema

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Ajibu ameweka wazi atakuwa na msimu bora katika kikosi hicho akipewa nguvu na ubora wa usajili uliofanywa na uongozi wa timu. Ajibu msimu 2025/26 ataitumikia KMC baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na amejiunga na timu hiyo akitokea Dodoma Jiji. Pia amewahi kucheza klabu kadhaa hapa nchini zikiwemo Simba,…

Read More

Fountain Princess yabeba kiungo Iringa

FOUNTAIN Gate Princess iko kambini Dodoma ikijiandaa na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake, lakini kuna sura mpya zimeonekana kambini. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya saba na katika mechi 18 ilishinda mechi sita sare mbili na kupoteza 10 ikikusanya pointi 20. Miongoni mwa sura mpya ni pamoja na kiungo mshambuliaji…

Read More

Valentino atabiriwa makubwa JKT Tanzania

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Valentino Mashaka ni mmoja wa wachezaji ambao taifa litajivunia hivi karibuni kutokana na kipaji chake, huku akimtabiria kufanya makubwa msimu huu kama atatuliza akili na kupiga soka. Ally alisema katika kikosi hicho ana nafasi ya kucheza na kuonyesha kiwango chake, lakini anachotakiwa Mashaka ni…

Read More

Wiki ya Wananchi, kishindo cha vaibu

KILELE cha wiki ya Mwananchi kimehitimishwa kwa kishindo, huku kila shabiki akitoka meno nje akitamba mambo freshi na msimu mpya uanze. Yanga ilifanya tamasha hilo leo ambapo kilele chake kilikuwa palepale Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na mashabiki wa klabu hiyo kufurika kwa wingi. *Vinywaji kibao*Mapema tu ilikuwa mashabiki wakiwa wanaingia uwanjani,…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More

Pacome wa mwisho akifungwa kamba na Manara

NI zamu ya Pacome Zouzoua kufungwa kamba ya viatu na Haji Manara katika utambulisho wa wachezaji msimu huu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Msimu uliopita Manara alifanya hivyo kwa Stephane Aziz Ki, na pia aliwahi kufanya hivyo kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ wakati huo akiwa Yanga…

Read More