Manara aibua shangwe kwa Mkapa 

KAMA kawaida ya Haji Manara awamu hii ameingia na warembo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salamaa panakpofanyika tamasha la Wiki ya Mwananchi. Hilo ni tamasha la saba kwa Yanga tangu lilipoanzishwa 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Dk Mshindo Msolla. Manara amevalia nguo za kijani, ambapo baada ya mashabiki kumuona walishangilia…

Read More

Shoo ya D Voice bab’kubwa

MSANII wa singeli kutoka lebo ya WCB, alimaarufu D Voice baada ya kupanda jukwaani kutumbuiza katika tamasha la Wiki ya Mwananchi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, ameamsha shangwe la mashabiki ambao wameonekana kupenda anachofanya. D Voice alikuwa anaimba wimbo huku akitumia staili ya kuwagandisha mashabiki kisha wanaanza kucheza tena. Utumbuizaji wake umeamsha shangwe…

Read More

Yanga, Mashujaa hakuna mbabe | Mwanaspoti

Wenyeji wa mchezo Yanga Princess wameshindwa kutambiana na Mashujaa Princess kwenye mchezo wa ufunguzi wa kilele cha tamasha la Wiki ya Wananchi baada ya suluhu katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Mchezo huo umechezwa kwa dakika 40 ikiwa ni 20 kila kipindi na hakuna timu iliyotikisa nyavu, huku Yanga ambayo imeanza kwa utambulisho wa…

Read More

Kwa Mkapa ‘full house’ | Mwanaspoti

Baada ya kusuasua kuingia uwanjani mashabiki wa Yanga hadi saa 10:45 Uwanja wa Mkapa ulikuwa umejaa (full house), kutokana na mafuriko ya mashabiki. Licha ya burudani kuanza mapema uwanja ulikuwa na mapengo, lakini hadi kufikia muda huo mashabiki walikuwa wamejaa na kuendelea kuburudika na burudani. Pamoja na uwanja kuonekana kujaa mashabiki wa Yanga wanaonekana kuendelea…

Read More

Dogo Paten aibua shangwe kwa Mkapa

Msanii wa Singeli maarufu kama Dogo Paten ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kupata nafasi ya kutumbuiza saa chache baada ya mchezo wa kwanza wa ufunguzi ambapo Yanga Orincess imecheza na Mashujaa Queens. Wimbo Paten wa Afande umeibua hisia kubwa na kupokewa kwa swangwe na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwa Mkwapa katika tamasha la Wiki…

Read More

Burudani zamiminika kwa Mkapa | Mwanaspoti

BURUDANI mbalimbali za muziki ukiwemo wa Bongofleva zimeendelea kuteka hisia za mashabiki wa soka waliojitokeza katika kilele cha Wiki ya Mwananchi kinachofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ndani ya uwanja huo mashabiki waliojitokeza wamekuwa wakiburudishwa na nyimbo mbalimbali huku wakiwa katika furaha wakati tamasha hilo likiendelea kushika kasi. Wakati hali ya…

Read More

Bado Watatu – 26 | Mwanaspoti

NILIPOWAZA hivyo, nilipunguza mwendo zaidi, nikawa natupa macho huku na huku. Nikaona kulikuwa na pikipiki nyuma yangu. Niliona jamaa amempakiza mwenzake. Aliyempakia mwenzake alikuwa mwanaume, lakini sikuweza kuona aliyepakiwa alikuwa mwanaume au mwanamke. Nilitaka ile pikipiki inipite lakini ilikuwa ikienda mwendo wa taratibu. Nikakata kushoto ambako kulikuwa na barabara ya mchanga. Sasa makaburi yalikuwa kulia…

Read More

Nje ya uwanja nyomi | Mwanaspoti

NJE ya Uwanja wa Benjamin Mkapa mambo yameanza kunoga kwa mashabiki wa Yanga kuonekana kwa wingi wakiwa wanashuka kutoka kwenye mabasi na usafiri mwingine ili kuingia kushuhudia tamasha la kilele cha wiki ya Mwananchi. Tamasha hilo ambalo ni la saba kwa Yanga tangu lianzishwe mwaka 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Dr Mshindo…

Read More