Fadlu ni kazi tu huko Misri

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amesema mazoezi anayoendelea kuyatoa katika kambi iliyopo nchini Misri yatampa picha ya wachezaji atakaoendelea kusalia nao na wale ambao watapewa mkono wa kwaheri. Fadlu ameliambia Mwanaspoti kwamba, bado hawajafunga usajili na endapo kukitokea mahitaji ya kutaka wachezaji wengine watafanya hivyo na kuachana na wale ambao hawaoni umuhimu wa kuendelea nao…

Read More

Ali Kamwe amjaza upepo Kagoma kuwatuliza Wamorocco

OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema katika jezi yake ataandika jina la kiungo wa Taifa Stars, Yusuph Kagoma ili kumhamasisha afanye vizuri mechi ya robo fainali dhidi ya Morocco kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Agosti 22 mwaka huu, Taifa Stars itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar kumenyana…

Read More

CHAN 2024: Benni McCarthy aipiga kijembe Taifa Stars

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy ametoa kauli inayoonekana kama ni kijembe kwa Taifa Stars ya Tanzania, huku akisisitiza wanapaswa kujipanga kikamilifu kwa mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 dhidi ya Morocco ambayo wao waliifunga katika makundi. Kenya iliibuka kinara wa Kundi A lililojulikana kama ‘kundi la kifo’ ambalo pia lilihusisha Morocco na…

Read More

CHAN 2024: Mechi 32 mabao 66, Mmoroco akimbiza

KABLA ya mechi mbili za jana za Kundi C, rekodi zilikuwa zikionyesha jumla ya mabao 66 yametinga wavuni kupitia mechi 32, huku mshambuliaji Oussama Lamlioui akiongoza orodha ya wafungaji akiwaburuza wachezaji wa timu nyingine 18 zinazoshiriki CHAN 2024. Michuano hiyo ya CHAN ilianza rasmi Agosti 2 na inatarajiwa kufikia tamati Agosti 30 na bingwa atafahamika,…

Read More

Mlandege yamnasa straika kutoka Ghana

KATIKA kuhakikisha inakuwa na timu ya ushindani kimataifa, mabosi wao Mlandege  wamemshusha  mshambuliaji, Ishmael Robino kutoka Ghana. Robino amejiunga na timu hiyo akiwa mchezaji huru na tayari ameungana na wenzake katika kambi ya mazoezi ya kujiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa Mlandege, Hassan Ramadhan Hamis alisema mshambuliaji huyo…

Read More

Pogba aichomolea Tabora United, kuendelea kukipiga Mlandege

LICHA ya kusaini mkataba wa miaka miwili ili aitumikie Tabora United, kiungo mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ ameendelea kuitumikia timu hiyo iliyopo kambini. Ipo hivi. Pogba aliyekuwa akihusishwa na Simba kabla ya mpango kufa baada ya Wekundu hao kumnasa Daud Semfuko kutoka Coastal Union, aliibukia  Tabora na kufanikiwa kusaini mkataba kabisa. Hata hivyo, mapema…

Read More

Maandalizi ya CAF, KMKM yabeba kocha mpya

WAWAKILISHI wa Zanzibar katika Kombe la Shirikisho Afrika, KMKM imemnyakua kocha mpya kutoka Dar ili kujiweka tayari kwa pambano dhidi ya As Port ya Djibouti. Mabingwa hao wa Kombe la ZFF, imemuongeza kikosini kocha wa kituo cha JK Park cha jijini Dar es Salaam, Hababuu Ali kulisaidia benchi la ufundi la timu hiyo. KMKM imepata…

Read More

Aisha Masaka kutimkia Hispania | Mwanaspoti

Mshambuliaji wa Brighton, Aisha Masaka huenda akatolewa kwa mkopo au kuuzwa moja kwa moja katika moja ya timu za Ligi Kuu ya Wanawake Hispania msimu ujao kama watafikia makubaliano ya ofa. Mwanaspoti inafahamu mshambuliaji huyo wa timu ya taifa, Twiga Stars, amebakiza mkataba wa mwaka mmoja England kati ya miwili na utamalizika mwishoni mwa msimu…

Read More