Manara aibua shangwe kwa Mkapa
KAMA kawaida ya Haji Manara awamu hii ameingia na warembo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salamaa panakpofanyika tamasha la Wiki ya Mwananchi. Hilo ni tamasha la saba kwa Yanga tangu lilipoanzishwa 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Dk Mshindo Msolla. Manara amevalia nguo za kijani, ambapo baada ya mashabiki kumuona walishangilia…