Kipa Singida BS afutiwa tuhuma za upangaji matokeo

ZIKIWA zimepita siku mbili baada ya Singida Black Stars kumfutia adhabu kiungo Khalid Aucho ya kumsimamisha kwa miezi mitatu kutokana na utovu wa nidhamu na utoro kazini, pia imefanya hivyo kwa kipa Amas Obasogie aliyekuwa akituhumiwa na ishu ya upangaji matokeo. Hatua hiyo inakuja baada ya Februari 27, 2026, taarifa ya Singida Black Stars iliyotolewa…

Read More

Kuna kombe linatafutwa | Mwanaspoti

BAADA ya mabingwa mara tatu wa Kombe la Shirikisho la FA, Simba kutoka suluhu (0-0), dhidi ya watani zao wa jadi, Yanga katika mechi ya Ligi Kuu, iliyopigwa Machi 1, 2026, kikosi hicho kinashuka tena uwanjani leo kuiwinda tiketi ya michuano ya CAF. Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwa mara ya kwanza…

Read More

Nsajigwa aanza hesabu za Yanga

BAADA ya kuanza na pointi moja dhidi ya Azam FC, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa amesema hesabu zinahamia kwa Yanga kabla ya mchezo wa Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya TMA inayocheza  Championship. Nsajigwa aliyejiunga na maafande hao hivi karibuni kurithi mikoba ya Zedekiah Otieno, juzi aliiongoza timu hiyo ilitoshana nguvu dhidi…

Read More

Mtanzania aula na makinda ya Barcelona 

MCHEZAJI kinda wa Kitanzania, Barka Seif, ameula katika kikosi bora cha vijana wenye umri chini ya miaka 12 kilichochaguliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la Catalonia (FCF). Kikosi hicho kinajumuisha wachezaji wenye vipaji kutoka klabu mbalimbali ndani ya Catalonia kama vile Barcelona, Espanyol RCD, Girona na Damm. Barka amechaguluwa katika kikosi hicho kufuatia kufunga mabao 18 katika…

Read More

SWAHILI: ICEA LION Yazindua Simba Wa Bima, Ikisisitiza Ulinzi Katika Kila Hatua ya Maisha

Mkurugenzi wa Matekelezo na Huduma za Uthaminishaji wa TIRA, Alex Rocky (mwenye skafu) aliyemuawakilisha Kamishna wa TIRA, Dk. Baghayo Saqware akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya bima ya ICEA Lion Group, James Ndegwa (kushoto) ikiwa ni  uzinduzi wa kampeni ya Simba Wa Bima inayolenga   kujua umuhimu wa   kulinda familia, kupanga maisha…

Read More

Dodoma Jiji, JKT TZ kuanza msako wa CAF

TIKETI ya kuisaka michuano ya kimataifa msimu ujao, inaanza leo Ijumaa kwa mechi za raundi ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku JKT Tanzania, Dodoma Jiji na TRA United zinazoshiriki Ligi Kuu Bara, zikishuka viwanja mbalimbali. JKT Tanzania iliyoichapa Pan African mabao 7-0, katika mechi ya raundi ya 64 bora, itakuwa kwenye…

Read More