Kipa Singida BS atuma ujumbe baada ya kufutiwa tuhuma za upangaji matokeo
MUDA mfupi baada ya Singida Black Stars kutangaza kumuondolea adhabu ya kumsimamisha kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na tuhuma za upangaji matokeo kipa wa kikosi hicho, Amas Obasogie, mwenyewe ameibuka na kutoa shukrani zake kufuatia kutokutwa na hatia. Mapema leo Machi 7, 2026, Singida Black Stars ilitangaza kumuondolea Obasogie adhabu ya kumsimamisha kwa kipindi…