WAKATI Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ikimpitisha Wallace Karia kuwa mgombea pekee wa urais wa shirikisho hilo, mmoja wa wagombea waliofyekwa,
Category: Michezo

NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta pamoja na mastaa zaidi ya 18 wa Simba, Yanga na timu nyingine za Ligi Kuu Bara

BAADA ya kufanikiwa kubaki Ligi Kuu msimu ujao, benchi la ufundi la Tanzania Prisons limesema halitakurupuka kupangua kikosi, badala yake litachambua mchezaji mmoja mmoja kuhakikisha

MENEJA wa Uwanja wa Sokoine, Modestus Mwaluka amesema licha ya rekodi aliyoweka ya kutofungwa kwa uwanja huo, ataendelea kuwa mkali kwa timu zinazotumia uwanja huo

Beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba, Che Malone BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba, Che Malone mambo ni

BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo

Kamati ya Uchaguzi ya TFF Imewang’oa wagombea watano wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kubaki na jina moja la Wallace

WALIOSHAURI na kupitisha kanuni ya kuwepo mechi za mchujo inawezekana walikuwa na nia nzuri lakini baada ya kijiwe kufanya tathmini ya misimu kadhaa ambayo kanuni

UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza kumpigia hesabu mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali, akitajwa ni mbadala sahihi

BAADA ya kukosa kuangalia utamu wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kwa wiki mbili, ligi hiyo itaendelea tena Julai 10, kwenye