Baresi avunja ukimya, apanga mkakati Mlandege

SIKU moja baada ya kutua Mlandege, kocha wa Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema wana kazi kubwa ya kufanya kuipambania timu hiyo kufanya vizuri kimataifa. Baresi amejiunga na timu hiyo akiwa kocha huru baada ya kuachana na Mashujaa inayoshiriki Ligi Kuu Bara, akizungumza na Mwanaspoti alisema anayo furaha kujiunga na timu hiyo, lakini ana kazi kubwa ya…

Read More

Mudrick Mohamed ajipanga upya Uturuki

BEKI wa Mersin inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Mudrick Mohamed amesema malengo makubwa ya timu hiyo msimu huu ni kunyakua ubingwa utakaowawezesha kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nyota huyo alicheza ligi ya Uturuki baada ya timu hiyo kumtazama katika mashindano ya Kombe la Dunia yaliyofanyika nchini humo na kufanya vizuri. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Daruweshi achekelea kambi ya visiwani

MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruwesh Saliboko ameshindwa kujizuia na kufunguka namna alivyofurahia kambi ya maandalizi ya msimu mpya kwa timu hiyo iliyokuwa visiwani Zanzibar, anaamini imewajenga vyema kwa kuanza msimu mpya kivingine. KMC ilikuwa imejichimbia Zanzibar tangu wiki iliyopita kabla ya jana kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa FA wa visiwani hivyo, KMKM na…

Read More

Taifa Stars ilistahili robo, ikikomaa inatioboa

KIKOSI cha Taifa Stars kimeandika historia mpya katika michuano ya CHAN 2024, baada ya kumaliza kileleni mwa kundi B kikiwa na pointi 10 kati ya 12, sawa na asilimia 83.33 ya pointi zote. Suluhu dhidi ya Afrika ya Kati ilitosha kwa vijana hao wa Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuweka rekodi hiyo ya kibabe kwa mara ya…

Read More

CHAN 2024: Uganda, Sauzi mmoja anatoka

BAADA ya makundi A na B kumaliza kazi na kutoa timu nne za kucheza hatua ya robo fainali, leo Jumatatu ni zamu ya Kundi C, huku wenyeji Uganda wakiwa na kibarua kizito mbele ya Afrika Kusini, kwani timu mojawapo ikizembea baada ya dakika 90 itaiaga michuano hiyo. Uganda na Afrika Kusini zinatarajiwa kuvaana katika mechi…

Read More

Kisa straika wa mabao, MO Dewji awavimbia Waarabu

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri, lakini unaambiwa tangu juzi mabosi wa klabu hiyo wamekuwa katika hesabu kubwa za mwisho ya kushusha mashine nyingine mpya ili kuimarisha kikosi hicho. Inadaiwa kuwa, mabosi wa Simba walivutiwa waya na Kocha Fadlu Davids akitaka aongezee mashine nyingine mpya ya kucheka na nyavu na fasta kupitia bilionea…

Read More

Maximo atumia dakika 120 kuwabana maafande

DAKIKA 120 zimetosha kwa kocha mpya wa KMC, Mbrazili Marcio Maximo kupima kikosi chake baada ya mazoezi ya wiki mbili kwa kulazimishwa sare ya 1-1 na maafande wa KMKM,  lakini akiwa na kazi kubwa ya kufanya kwa safu ya ushambuliaji ya timu hiyo. Timu hizo imecheza dakika 120 zote zikibadili wachezaji kwa ajili ya kutoa…

Read More

Azam kutesti mitambo ya CAF mapemaa

KIKOSI cha Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC kipo Kigali, Rwanda kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026 na kuanzia Jumanne ijayo itakuwa na kazi moja ya kutesti mitambo kwa ajili ya mechi za kimataifa. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu Bara 2013-2014, ilianza…

Read More

Fahmar Santos nje miezi tisa

Kinda wa Kitanzania anayekipiga Ceu Ciutat Meridiana ya Hispania, Fahmar Santos amesema ripoti ya daktari inaeleza atakaa nje ya uwanja kwa takribani miezi tisa sawa na msimu mzima, baada ya kufanyiwa operesheni ya goti la mguu wa kulia. Mwishoni mwa msimu huu, kinda huyo (21) alipata jeraha la goti na Jumamosi, Agosti 8 mwaka huu,…

Read More

Morocco yaifuata Taifa Stars Kwa Mkapa

USHINDI wa mabao 3-1 iliyopata Morocco mbele ya DR Congo, imewafanya mabingwa hao mara mbili wa michuano ya CHAN kufunga safari kuifuata Tanzania katika mechi ya robo fainali ya michuano ya msimu huu inayofanyika katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Wenyeji wa Kundi A, Kenya yenyewe imesalia jijini Nairobi baada ya kuongoza msimamo kutokana…

Read More