Hamu ya mashabiki Yanga kuwaona mastaa laivu

YANGA leo Septemba 12 inafanya tamasha la saba la Wiki ya Mwananchi tangu lilipoanzishwa 2019, huku shauku kubwa ya mashabiki ni kutaka kuwaona wachezaji wapya laivu na burudani mbalimbali zinazoendelea. Mwanaspoti limefanya mahojiano na baadhi ya mashabiki wa Yanga ambao wamezungumzia furaha ya na namna tamasha hilo linavyozidi kuwa bora kila mwaka huku pia linawakutanisha…

Read More

Usalama noma kwa Mkapa | Mwanaspoti

USALAMA umezingatiwa katika hitimisho la Wiki ya Mwananchi, huku askari wakionekana katika maeneo yote ya nje ya uwanja wa Benjamin Mkapa na biashara zikiendelea mdogomdogo. Hii yote ni kuhakikisha kwamba usalama wa mashabiki na mali zao unazingatiwa. Lakini, si hivyo tu yapo maeneo ambayo yamezungushiwa kamba za rangi nyekundu na nyeupe kama uzio ambayo ni…

Read More

Shabiki Simba amfuata Tshabalala | Mwanaspoti

Unayajua mahaba binafsi wewe? Soma hapa! Shabiki mmoja wa Simba ameshtua baada ya kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi akimfuata beki wake mmoja wa zamani. Shabiki huyo, Shakur Abubakar, ambaye amegoma asipigwe picha akihofia kuchukiwa na wenzake wa Simba, amesema bado haamini kama Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amehamia Yanga. Shakur amesema…

Read More

Simba nao wamo Mwananchi Day

LICHA ya mashabiki wa Yanga kuendelea kumiminika kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kushuhudia Kilele cha Wiki ya Mwananchi, lakini wale wa Simba nao wamo kujionea sherehe hizo za watani zao. Simba ambao tamasha lao lilifanyika juzi, Jumatano, lakini baadhi ya mashabiki wa timu hiyo wameonekana wakiingia uwanjani huku wakitaja msemo wao maarufu…

Read More

Mastaa Yanga wampa presha kocha Angola

WALE wapinzani wa Yanga, Waliete Benguela, wanaendelea kujipanga kabla ya kukutana na Yanga Septemba 19, lakini kocha mpya wa kikosi hicho amewataja mastaa wawili ambao wanampa presha. Yanga ikimaliza sherehe za kilele cha wiki ya Mwananchi, itakuwa na akili ya kujipanga kwenda kukutana na Simba, kwenye mchezo wa ngao ya jamii, utakaopigwa Septemba 16, 2025….

Read More

Kwa Yanga hii Folz anatamba nje, ndani

WANAYANGA wanaweza kutembea kifua mbele wakati msimu wa 2025-2026 ukikaribia kuanza kwani uongozi wa klabu hiyo umefanya uwekezaji mzuri katika kujenga kikosi imara. Ukiangalia katika usajili wa dirisha kubwa uliofungwa Septemba 7, 2025, kuna nyota wapya 11 wamesajiliwa na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na Ngao ya Jamii. Nyota hao…

Read More

Fadlu aamua kuja kivingine | Mwanaspoti

SIMBA juzi usiku ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika tamasha la Simba Day, lakini kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids amefunguka kuhusu maandalizi ya kikosi kwa ajili ya msimu mpya akiweka bayana mfumo mpya anaokuja nao anaoamini utawatesa wapinzani. Kocha huyo Msauzi anayeinoa Simba kwa msimu wa pili, juzi…

Read More

Hawa, Tamasha la Yanga Day liliwabeba

Leo Septemba 12 ndiyo kilele cha tamasha la saba la Yanga lijulikanalo kama ‘Wiki ya Mwananchi’ litakalofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika kila kilele cha Wiki ya Mwananchi, Yanga hucheza mechi ya kimataifa ya kirafiki na timu kutoka nje ya Tanzania na safari hii itakabiliana na Bandari FC ya Kenya. Yanga…

Read More