
Ramadhan Kapera, Polisi Tanzania kuna jambo
POLISI Tanzania imeanza mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho, Ramadhan Kapera baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na TMA ya Arusha, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mpya. Mchezaji huyo aliyetamba na timu za Mbeya Kwanza, Geita Gold, KMC na Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars inaelezwa ni pendekezo la…