Ramadhan Kapera, Polisi Tanzania kuna jambo

POLISI Tanzania imeanza mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho, Ramadhan Kapera baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na TMA ya Arusha, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mpya. Mchezaji huyo aliyetamba na timu za Mbeya Kwanza, Geita Gold, KMC na Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars inaelezwa ni pendekezo la…

Read More

Kilimanjaro ya Sweden yatwaa ubingwa wa bonanza Ubelgiji

TIMU ya soka ya Watanzania, Kilimanjaro iliyopo Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa Kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika kati ya Agosti 15-16 jijini Antwerp, Ubelgiji. Kilimanjaro ilitetea ubingwa huo baada ya kuifunga timu nyingine ya Watanzania kutoka Uingereza iitwayo Leeds Swahili kwa mabao 2-1 katika mchezo mkali wa…

Read More

CHAN 2024: Burkina Faso hawana wa kumlaumu

KOCHA wa Burkina Faso, Issa Balbone amesema hawana wa kumlaumu kupoteza mechi ya mwisho ya kundi dhidi ya Madagascar kwa vile timu hiyo ilikuwa na kila sababu ya kushinda kutokana na nafasi nyingi za kufunga walizopata, lakini umakini mdogo wa wachezaji ndani ya 18 uliwaangusha. Burkina Faso iliyoanga michuano hiyo kwa kukusanya pointi tatu tu…

Read More

CHAN 2024: Kipa Madagascar achekelea robo fainali

BAADA ya kuisaidia timu yake kutinga hatua ya robo fainali Michuano ya CHAN na akiibuka mchezaji bora, kipa wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa ametaja siri ya timu yake kutinga hatua hiyo ni kumsoma mpinzani na kujiandaa vyema. Madagascar imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga Burkina Faso mabao 2-1, huku Ramandimbozwa akiitwaa tuzo ya pili ya nyota…

Read More

Mastaa waliovuja jasho zaidi Taifa Stars

KATIKA mechi nne za hatua ya makundi ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo yanaendelea ukanda wa Afrika Mashariki, ni wachezaji wanne tu wa Taifa Stars ambao wamevuja jasho zaidi kwa kucheza kila dakika ya mechi hizo. Wachezaji hao ambao ni kipa, Yakoub Suleiman, mabeki wa kati, Dickson Job, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ na kiungo, Feisal Salum…

Read More

Morocco kujifungia na washambuliaji Stars

KOCHA wa Taifa Stars,  Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema mechi ya jana usiku dhidi ya Afrika ya Kati ilikuwa ni kama darasa kwa wachezaji wa kikosi hicho, akibainisha wamepata somo ambalo anaamini litawasaidia katika maandalizi ya mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024. Taifa Stars ilimaliza mechi za makundi kwa suluhu dhidi ya Afrika…

Read More

Kocha Maximo kutesti mitambo kwa Mabaharia wa KMKM

BAADA ya kambi ya wiki moja kisiwani Zanzibar,  kikosi cha KMC chini ya kocha Mbrazili, Marcio Maximo jioni ya leo Jumapili kinatarajia kujipima nguvu na mabingwa wa Kombe la Shirikisho (ZFF), KMKM kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja. KMC ipo Zanzibar kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano ya 2025-2026…

Read More

Kocha Sudan awastua nyota wake

BAADA ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Nigeria, timu ya taifa ya Sudan imeonekana kuingia kwenye hali ya kujiamini, lakini kocha Kwesi Appiah ametoa onyo kwa wachezaji wake. Sudan ipo nafasi ya kwanza katika Gundi D ikiwa na pointi nne, sawa na Senegal iliyopo nafasi ya pili. Kocha Appiah amesema kuwa tofauti ndogo inaweza…

Read More

Feisal anaziokota tu CHAN 2024

KIUNGO mshambuliaji wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameendelea kuonyesha ubora  alionao katika mashindano ya CHAN 2024 baada ya jana usiku kubeba tuzo ya pili ya mchezaji bora wa mechi dhidi ya Afrika ya Kati ikiwa ni mechi ya mwisho ya Kundi B iliyopigwa Kwa Mkapa. Katika mechi hiyo ambayo ilimalizika kwa suluhu, Fei…

Read More

Chipukizi yafyeka 10 Ligi Kuu Zanzibar 

KIKOSI cha Chipukizi United kinachoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, kimefyeka wachezaji 10, huku ikiendelea kujisuka upya kwa kunasa saini za nyota watano na kutupia jicho michuano ya CHAN ili kujenga kikosi hatari kwa lengo la kupambania kutwaa mataji yote ya ndani. Chipukizi iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita ikimaliza nafasi ya tisa kati ya timu 16 zinazoshiriki…

Read More