Miaka 90 Yanga si mchezo

TANGU mwaka 2019, ambapo Mwenyekiti wa Yanga wakati huo Dkt. Mshindo Msolla alitekeleza Wiki ya Mwananchi kwa mara ya kwanza na kuwa na kilele chake kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa kwa burudani na mechi ya kirafiki, tayari imepita miaka sita na miezi minane. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa tamasha la kwanza la Yanga lilianza kwa sare ya…

Read More

JKT Queens yatinga nusu fainali kibabe

JKT Queens jioni ya leo Alhamisi imetinga nusu fainali ya michuano ya CECAFA Wanawake ya kuwania Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuitandika Yei Joints ya Sudan mabao 2-0 kwenyw Uwanja wa Kasarani, Nairobi Kenya. JKT inaungana na Rayon Sports ya Rwanda, wenyeji Police Bullets ya Kenya na Kampala Queens ya Uganda zilizofuzu mapema, huku…

Read More

‘Simba Day’ Rushine, Naby bado hawaamini

SIMBA juzi ilihitimisha shangwe la Simba Day msimu wa 17 kwa kuwapa raha Wanamsimbazi kwa burundani ya wasanii mbalimbali pamoja na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, huku baadhi ya nyota wa timu hiyo wakiwa hawaamini walichokiona Kwa Mkapa. Katika tamasha hilo lililopambwa na burudani mbalimbali ikiwamo ya muziki na mechi…

Read More

Mligo asahau ya nyuma ajikite na mpira Simba

ANTHONY Mligo ni miongoni mwa wachezaji waliofanya vizuri sana katika kilele cha Tamasha la Simba maarufu kama Simba Day, juzi Jumatano. Ni beki wa kushoto ambaye Simba imesajili kutokea Namungo FC baada ya kuondokewa na wachezaji wawili wa nafasi hiyo, Mohamed Hussein na Valentine Nouma. Mligo alipandisha vyema timu mbele na muda ambao alitakiwa kulinda…

Read More

Benni McCarthy asiitumie Tanzania kujitetea Kenya

MARA mbili tofauti, Benni McCarthy ameizungumzia timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ katika mazingira ambayo hata hakukuwa na sababu za kuitaja au kuizungumzia hadi kijiwe kikamshangaa. Ya kwanza ilikuwa ni baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi ya mashindano ya CHAN 2024 ambapo katika mazungumzo yake na waandishi wa habari akasema Tanzania iliyokuwa imeongoza…

Read More

Mwijage amkosha Maximo Kagame | Mwanaspoti

MIONGONI mwa wachezaji ambao kocha wa KMC, Marcio Máximo anavutiwa na uwezo wao kwenye kikosi hicho ni pamoja na Edson Erick Mwijage ambaye amepachika mabao mawili na kutoa asisti mbili katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame. Mwijage ambaye ni usajili mpya wa KMC akitokea Kagare Sugar ambayo ilishuka daraja msimu uliopita, amehusika katika mabao…

Read More

Upelelezi kuporomoka jengo Kariakoo wakamamilika

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, umekamilika. Kwa sasa upande wa Jamhuri upo katika hatua ya kuchapa nyaraka muhimu zilizopo katika jalada hilo ili washtakiwa hao wasomewa Maelezo ya mashahidi na vielelezo, kisha kesi hiyo…

Read More