Nyasebwa: Ushindani mwanza ni mkubwa

Kocha wa mchezo wa Kikapu Mkoa wa Mwanza, Benson Nyasebwa amesema ushindani wa ligi hiyo mkoani humo ni mkubwa. Nyasebwa aliliambia Mwanaspoti, ushindani huo unatokana na viwango vikubwa vinavyoonyeshwa na timu zote zinazoshiriki ligi hiyo. Wakati huo huo, Planet iliifunga Crossover kwa pointi 59-49 katika mchezo wa ligi ya mkoa wa Mwanza katika Uwanja wa…

Read More

Mambo hadharani, kilichomuondoa Kocha KenGold

KUSHINDWA kwa mabosi wa KenGold kutoa mkwanja wa maana dirisha lililopita la usajili inaelezwa kuwa ni miongoni mwa mambo yaliyomuangusha aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Fikiri Elias ambaye  ameamua kukaa pembeni kutokana na mwenendo wa chama hilo. Jana Jumatatu Fikiri alifanya uamuzi huo sambamba na msaidizi wake, Luhaga Makunja mara baada ya KenGold ya Mbeya…

Read More

Mwamwaja awashika mkono kikapu Pwani

CHAMA cha Mpira wa Kikapu, Mkoa wa Pwani kimepokea vifaa vya michezo kwa ajili ya ligi ya mkoa huo kutoka kwa mdau Charles Mwamwaja. Makabidhiano ya vifaa hivyo ni mipira na pampu yalifanyika katika Uwanja wa Tumbi na kushuhudiwa na viongozi wa Serikali za mitaa kata ya Tumbi. Baada ya kutoa mipira hiyo, Mwamwaja aliahidi…

Read More

Chan 24 kupigwa Tanzania Februari mwakani

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) jana limezihakikishia Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa fainali za Chan 2024 huku likitaja tarehe ambayo mashindano hayo yataanza. Akizungumza muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati ya utendaji cha Caf jijini Nairobi, Kenya, Rais wa shirikisho hilo, Patrice Motsepe alisema Chan itafanyika Februari Mosi hadi 28…

Read More

Kocha Kagera Sugar afichua kinachowafelisha

KITENDO cha Kagera Sugar kushindwa kupata hata bao moja katika dakika 360 ambazo ni sawa na mechi nne za Ligi Kuu Bara, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Paul Nkata kutaja mambo manne yaliyopo nyuma yake. Kagera Sugar ambayo imecheza mechi nne msimu huu, bado inasaka angalau kufunga bao la kwanza kwani haijafanikiwa kutikisa nyavu za…

Read More

Lipiki aendesha mafunzo kwa watoto

WATOTO 30 wameshiriki katika mafunzo ya Min Basketball katika Uwanja wa Ukonga, Magereza yaliyoendeshwa na Kocha wa timu ya Taifa ya wasichana wenye umri chini ya miaka 16, Denis Lipiki. Mafunzo hayo ambayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka tangu 2014, yalihusisha watoto wa umri miaka sita hadi 14 na kwa mujibu wa kocha Lipiki, lengo lilikuwa…

Read More

Srelio yaiweka Pabaya Crows | Mwanaspoti

SRELIO imeichapa Crows pointi 74-72 katika Ligi ya Mpira wa kikapu Dar es Salaam (BDL), kwenye uwanja wa Donbosco, Upanga na kuiweka katika nafasi mbaya ya kushuka daraja msimu huu. Hata hivyo licha ya kupoteza mchezo huo, Crows ilionyesha kiwango kizuri katika robo zote nne na iliongoza robo ya kwanza kwa pointi 19-13, huku robo…

Read More

Jesca afunika DBL | Mwanaspoti

Katika michezo, suala la kucheza rafu ‘madhambi’ ni kawaida na ndiyo maana kumewekwa sheria na adhabu zitolewazo kutokana na mchezaji kufanya vitendo visivyokubalika. Kwenye soka, mifano ipo mingi kwa nyota wake ambao kuna waliocheza kwa miaka mingi na hadi wanastaafu hawajui kadi. Licha ya kutumikia nafasi ngumu uwanjani ambayo wanaoitumikia hukumbana na kucheza rafu lakini…

Read More