Mpole apewa kazi ya kuimaliza Singida Black Stars

KOCHA wa Pamba Jiji, Goran Kopunovic ameonyesha kuwa na matumaini na safu ya ushambuliaji inayongozwa na George Mpole licha ya kutofunga katika michezo mitatu iliyopita ya Ligi Kuu Bara. Mserbia huyo anaamini safu hiyo inaweza kuonyesha makucha leo Jumanne kwenye uwanja wa nyumbani wa CCM Kirumba, Mwanza itakapoikaribisha Singida Black Stars inayoongoza msimamo wa Ligi…

Read More

Fei Toto amtaka tena Aziz Ki

KIUNGO Mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema anatamani bato yake na Stephane Aziz Ki liendelee tena msimu huu kwani inamuongezea ubora kutokana na kumfuatilia mpinzani wake kwa kujifunza vitu. Wawili hao msimu uliopita walikuwa wanawania kiatu cha ufungaji bora hadi mechi ya mwisho ya msimu ambapo Aziz Ki aliibuka mfungaji bora baada…

Read More

Fadlu afichua mipango ya wapinzani, amtaja Ateba

SIMBA imewashtukia Waarabu kutokana na kuizuia kupata bao lolote, kisha wenyewe kuzipiga uwanjani na kocha wa Wekundu hao, Fadlu Davids akasisitiza anataka ushindi wa kishindo nyumbani. Hiyo ilikuwa juzi katika mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa nchini Libya ambapo ulipomalizika vurugu kubwa zilizuka za mashabiki huku wachezaji wakimzonga mwamuzi. Jumapili, wiki hii,…

Read More

Malindi haishikiki Zenji, Kibadeni apiga Hat Trick

MABINGWA wa zamani wa Zanzibar, Malindi imeendelea kuonyesha dhamira ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu, baada ya jana kuwanyooshaa wageni wa ligi hiyo, Inter Zanzibar kwa mabao 4-0 katika mechi kali iliyopigwa Uwanja wa Annex B, mjini Unguja. Ushindi huo ni wa pili mfululizo kwa Malindi na kuifanya ikwee kileleni mwa…

Read More

Wangoni na siri ya kutumia majina ya  wanyama

Wangoni hawaishiwi na mambo. Kabila hilo wenyeji wa Mkoa wa Ruvuma, achilia mbali umaarufu wao wa ushujaa vitani, wana simulizi ya kuvutia. Ni simulizi ya asili ya majina ya jadi ya kabila hilo linalotajwa kuingia Ruvuma miaka ya mwishoni mwa 1930 likitokea kwenye chimbuko la Wanguni na Wazulu nchini Afrika Kusini. Kwa Wangoni, sio jambo…

Read More

Vipigo mfululizo vyawashtua Namungo | Mwanaspoti

VIPIGO vitatu mfululizo ambavyo imepokea Namungo msimu huu katika Ligi Kuu Bara, vimewafanya wachezaji wa timu hiyo kukaa chini na kutafakari jambo. Namungo ambayo haina pointi katika mechi tatu ilizocheza kutokana na kupoteza zote huku ikifunga bao moja na kuruhusu matano, leo Jumanne itakuwa na kazi ya kujiuliza mbele ya Coastal Union. Mchezo huo wa…

Read More