Kocha Ken Gold: Nakwenda kujitathimini 

Wakati Ken Gold ikipokea kipigo Cha tatu kwa kupoteza bao 1-0, kocha wa timu hiyo, Fikiri Elias anafikiria kuachia ngazi kuifundisha. Fikiri ametangaza hilo leo baada ya mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC kumalizika, huku timu yake ikiendelea kusotea ushindi wa kwanza. Kocha huyo aliyasema hayo wakati akihojiwa na Azam TV,…

Read More

Nasredine Nabi atoa ushauri wa bure Azam FC

KOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasredine Nabi amewatuliza mashabiki na mabosi wa Azam kwa kuwaambia wampe muda kocha mpya kwani ana kitu atawafikisha mbali. Nabi ameyasema hayo baada ya kocha mpya wa Azam, Rachid Taoussi kuanza na suluhu katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji uliochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa…

Read More

Chomelo aisikilizia Konya | Mwanaspoti

MCHEZAJI wa timu ya Konya Amputee ya Uturuki na timu ya taifa ya walemavu ya Tanzania ‘Tembo Warriors’, Ramadhan Chomelo amesema sio muda mzuri wa kuzungumzia mkataba wake na klabu hiyo kwani bado ligi haijaanza. Chomelo alisaini mkataba wa miaka miwili mwaka 2022 uliotamatika msimu huu. Akizungumzia juu ya hatma yake kikosini hapo, Chomelo alisema…

Read More

Mdamu: Sasa nina Amani moyoni

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu wa kulia Ijumaa iliyopita huku akibainisha kwamba sasa ana amani ya moyo. Julai 9,2021, Mdamu alipata ajali ya kuvunjika miguu yote miwili wakati wanatoka mazoezini na basi la timu ya Polisi Tanzania katika Uwanja…

Read More

WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA MATAWI YA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA TARIME KUHAMASISHA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI

Na WMJJWM-TARIME MARA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua matawi ya mashabiki wa timu za Mpira wa miguu za Simba na Yanga ikiwa na lengo la kuhamasisha jamii kupambana na vitendo vya ukatili na kujiletea maendeleo. Akizungumza mara baada ya kuzindua matawi hayo Septemba 16, 2024…

Read More

Mtanzania matumaini kibao Misri | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga TUT FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Hasnath Ubamba amesema anaamini utakuwa msimu bora kwake licha ya kwamba ni mara ya kwanza kucheza nje ya mipaka ya Tanzania. Mshambuliaji huyo alisajiliwa msimu huu kwa mkopo wa mwaka mmoja na mabingwa hao wa Misri akitokea Fountain Gate Princess inayoshiriki…

Read More

Gofu Wanawake yaibeba nchi kimataifa

MCHEZO wa Gofu Tanzania umepiga hatua kubwa sana katika ngazi ya kimataifa huku  gofu ya ridhaa kwa wanawake ikitajwa kuwa na mafanikio zaidi ya ile ya  wanaume, ripoti ya Chama cha Gofu ya Wanawake nchini imethibitisha. Akizungumza katika viwanja vya Arusha Gymkhana ambako michuano ya wazi ya Tanzania  iliingia siku yake ya  pili, Rais wa…

Read More

Siri ya Lina PG Tour kupigwa Moshi yatajwa

RAUNDI ya nne ya Lina PG Tour ambayo itachezwa mwishoni  mwa mwezi katika viwanja vya Moshi Gymkhana, Kilimanjaro  ni mahsusi kwa ajili ya kuenzi chimbuko  la mlezi wa  gofu ya wanawake  nchini, Lina Nkya ambaye alianzia gofu katika viwanja hivyo. Haya yalielezwa jana na Mkurugenzi wa mashindano haya, Yasmin Challi  ambaye alisema raundi ya nne…

Read More

Mambo 5 ushindi wa Yanga Ethiopia

Unaweza kusema Kocha Miguel Gamondi amekuja Yanga kwa ajili ya kufanya yasiyowezekana yawezekane kwani hadi sasa ameifanya timu hiyo kuwa tishio katika michuano ya ndani na ile ya kimataifa. Tangu msimu uliopita alipoanza kuifundisha Yanga akichukua mikoba ya Nasreddine Nabi, hadi sasa Wanayanga wanafurahia kile kinachofanywa na kocha huyo raia wa Argentina. Msimu uliopita, Gamondi…

Read More

Ivo: Tulieni, tunaenda Ligi Kuu

KOCHA wa Songea United, Ivo Mapunda amesema licha ya muda mfupi waliokaa kambini kwa maandalizi ya msimu huu, lakini vijana wake wako tayari kwa Championship na Mbeya Kwanza watarajie kipigo, kwani kiu waliyonayo ni kuona mkoa wa Ruvuma unakuwa na timu ya Ligi Kuu Bara msimu ujao. Songea United inajiandaa na Championship kwa msimu wao…

Read More