
Kocha Ken Gold: Nakwenda kujitathimini
Wakati Ken Gold ikipokea kipigo Cha tatu kwa kupoteza bao 1-0, kocha wa timu hiyo, Fikiri Elias anafikiria kuachia ngazi kuifundisha. Fikiri ametangaza hilo leo baada ya mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC kumalizika, huku timu yake ikiendelea kusotea ushindi wa kwanza. Kocha huyo aliyasema hayo wakati akihojiwa na Azam TV,…