Aussems bado hajaridhika Singida Black Stars

PAMOJA na Singida Blac Stars kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa sasa ikiwa pia ni moja ya timu yenye mabao mengi kwa sasa, lakini kocha wa timu hiyo, Patrick Aussems ameonyesha kutoridhika kabisa na kuwataka washambuliaji kubadilika na kutumia nafasi wanazopata watakapovaana na Pamba Jiji. Singida inatarajiwa kuvaana na Pamba kesho Jumanne kuanzia saa…

Read More

Fadlu aliamsha Simba, arudia jambo lile lile

KIKOSI cha Simba jana usiku kilikuwa jijini Tripoli, Libya kumalizana na Al Ahli Tripoli katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids ameliamsha mapema kwa kutoa tamko ambalo mabosi na mashabiki wao wakisikia watachekelea. Simba iliyoanzisha hatua hiyo, ilivaana na Al…

Read More

Kisa CBE, Gamondi ageuka mbogo

YANGA imerejea jana mchana ikitokea Ethiopia ilikokwenda kuvunja mwiko wa kupata ushindi wa kwanza ndani ya ardhi ya nchi hiyo kwa kuichapa CBE SA kwa bao 1-0 katika mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa, lakini matokeo hayo sio kitu Kocha Miguel Gamondi amegeuka mbogo. Kocha Gamondi amewawakia wachezaji…

Read More

Manula apigwa na polisi baada ya mechi Libya

  GOLIKIPA wa klabu ya Simba ya Tanzania, Aishi Manula, alipigwa na polisi baada ya kumalizika kwa mchezo mgumu wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF uliochezwa jana Jumapili nchini Libya. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa DW … (endelea). Afisa mmoja ambaye hakutaka kutambulishwa alisema aliona Manula akishambuliwa bila ya…

Read More

Mbinu zaibeba Simba ugenini | Mwanaspoti

SIMBA imemaliza salama dakika 90 za kwanza za mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho, huku shukrani zikienda kwa mbinu alizozitumia kocha Fadlu Davids za timu hiyo kufunguka mwanzo mwisho ziliipa sare isiyo na mabao mbele ya wenyeji wao, Al Ahli Tripoli ya Libya. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kimataifa wa…

Read More

Aziz KI: Bado dk 90 za Zanzibar

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Stephanie Aziz KI amesema bado hawajamaliza kuna dakika 90 nyingine pale New Amaan visiwani Zanzibar. Yanga imewasili jijini Dar es Salaam ikitokea Ethiopia, ambapo walicheza mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE jana Jumamosi, Septemba 14. Katika mchezo huo uliopigwa Uwanja wa…

Read More

Goran ambeba Yona, alili bao Chamazi

PAMBA Jiji bado inaendelea kujitafuta baada ya kurejea Ligi Kuu ikiwa imepita miaka 23 tangu iliposhuka daraja, lakini kocha wa timu hiyo, Goran Kopunovic akimtaja kipa Yona Amos kama mchezaji aliyesaidia timu hiyo kuwa imara hadi sasa katika ligi hiyo, licha ya kutopata ushindi wowote. Timu hiyo hadi sasa haijafunga bao lolote wala kuruhusu wavu…

Read More

Taoussi ashusha presha Azam FC

KOCHA mpya wa Azam FC, Rachid Taoussi ameanza na suluhu katika Ligi Kuu Bara akiiongoza kwa mara ya kwanza dhidi ya Pamba Jiji, huku akisema hana presha na matokeo hayo na mambo mazuri yatakuja haraka. Azam ilicheza mechi ya pili jana usiku ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi shukrani zikienda kwa mwamuzi Tatu…

Read More

Bikoko asimamishwa, arejesha tena Tabora Utd

KOCHA wa Tabora United, Mkenya Francis Kimanzi hataki utani baada ya kudaiwa kumsimamisha kwa kosa la utovu wa nidhamu beki wa timu hiyo, Andy Bikoko kabla ya kumsamehe na kumrejesha tena kikosini. Kocha huyo ambaye ni muumini wa kusimamia nidhamu hasa kwa wachezaji wanaojaribu kutoka nje ya mstari, wanakumbana na adhabu zake na Bikoko ambaye…

Read More

Lunyamila aletewa mtu Mexico | Mwanaspoti

KLABU ya Mazaltan FC inayoshiriki Ligi ya wanawake nchini Mexico, imemtambulisha mshambuliaji raia wa Congo mwenye asili ya Canada, Olga Massombo. Mshambuliaji huyo amesajiliwa akitokea Gdansk W ya Poland ambako alicheza mechi 21 na kufunga mabao matano. Inaelezwa Massombo amesajiliwa kuja kuleta ushindani eneo la ushambuliaji ambalo anacheza Mtanzania Enekia Lunyamila aliyetambulishwa hivi karibuni kikosini…

Read More