Winga Mtanzania nje wiki moja Thailand

WINGA Mtanzania anayeichezea Hua Hin City FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Thailand, John Mgong’os amesema atakuwa nje ya uwanja kwa wiki akiuguza jeraha la paja. Nyota huyo alicheza kwa dakika zote 90 dhidi ya Hua Hin Maraleina ambapo timu yake ilifungwa bao 1-0 Septemba 08 ikiwa ni raundi za awali za michuano hiyo maarufu…

Read More

Tabasamu la matumaini limerejea usoni mwa Mdamu

NYOTA wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu tabasamu la matumaini limerejea usoni mwake baada ya juzi Ijumaa kufanyiwa upasuaji na kushukuru kwa kila aliyechangia kufanikisha matibabu hayo kwa kusema ‘Ahsanteni sana’. Mdamu ametoa kauli hiyo akiwa bado amelazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisubiri kutengemaa kwa afya yake ili kurudi kwenye shughuli zake…

Read More

Novatus Miroshi achekelea namba Uturuki

BAADA ya kumaliza majukumu ya timu ya taifa, Taifa Stars, mchezaji kiraka wa Goztepe ya Uturuki Mtanzania Novatus Miroshi amerejea kujiandaa na Ligi nchini humo akichekelea kupata namba kwenye kikosi cha kwanza. Miroshi alitambulishwa na klabu hiyo Julai 23 mwaka huu akitokea Shakhtar Donetsk ya Ukraine ambako alifanikiwa kucheza michuano ya UEFA Champions League. Akizungumza…

Read More

Straika wampa kicheko Mayanga | Mwanaspoti

MABAO matano waliyofunga katika mechi mbili za kirafiki, yameipa jeuri Mbeya City, huku kocha mkuu wa timu huyo, Salum Mayanga akieleza kasi hiyo ndiyo anaitaka watakapoianza Championship. Mbeya City inatarajiwa kufungua pazia ya ligi hiyo Ijumaa ya wiki hii, Septemba 20 kuwakaribisha Big Man (zamani Mwadui) iliyoweka makazi yake mkoani Lindi, mechi ikipigwa Sokoine jijini…

Read More

9 Bara bado hakijaeleweka | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu ikichezwa mechi tatu kwa baadhi ya timu, hali imeonekana kuwa tete kwa miamba tisa kutoonja ladha ya ushindi wala bao na nyingine zikiambulia vichapo. Singida Black Stars iliyocheza mechi tatu hadi sasa ndio wameonekana kuwa imara wakishinda zote na kuongoza msimamo kwa pointi tisa na wastani mzuri wa mabao (manne) ya kufunga…

Read More

HADITHI: Bomu mkononi – Sehemu ya kwanza

SIJUI niseme ulikuwa uhuni au ni tamaa ya maisha au ulikuwa ni ujinga, sijui. Tukio hilo nililifanya miaka michache iliyopita wakati huo nikiwa bado msichana mwenye matumaini ya maisha. Kielimu sikuwa nimesoma zaidi ya ile elimu ya kufuta ujinga, yaani kujua kusoma na kuandika. Niliishia darasa la saba tu. Na nilikomea darasa hilo kutokana na…

Read More

Tanzania yakaza msuli Kombe la Dunia T20

MIKUMI imeishinda tena Ngorongoro kwa mikimbio 11 katika mechi ya mwisho ya majaribio kwa nyota wa timu ya taifa wanaonolewa kwa ajili ya michuano ya kufuzu kombe la dunia inayoanza jijini wiki hii. Dar es Salaam imeandaa michuano hiyo inayoshirikisha timu kutoka mataifa sita ya kiafrika kwa ajili ya kutafuta kucheza fainali za kombe la…

Read More

Tanzania, China waliamsha Tenisi ya Meza

NYOTA watano wa timu ya taifa ya mpira wa Meza (Table Tennis) ni miongoni mwa waliochuana katika msimu mpya wa mashindano ya mchezo huo ya Kombe la Urafiki kati ya China na Tanzania. Mashindano hayo yaliyofunguliwa na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian na Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema…

Read More

Simba mkao wa kula leo Afrika

Dar es Salaam. Dakika 90 za mchezo wa ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli leo kwenye Uwanja wa Juni 11, Tripoli, Libya zinapaswa kutumiwa vyema na Simba ili ijiweke katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu. Kupata ushindi au hata sare katika mechi hiyo itakayoanza saa 2:00…

Read More

Simba sasa ndo mtaijua | Mwanaspoti

SIMBA inacheza mechi ya kwanza katika michuano Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu ikiwa ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli leo na hakika sasa ndio mtawajua Wekundu wa Msimbazi. Al Ahli ni klabu ya pili kwa mafanikio katika historia ya soka la Libya nyuma ya Al-Ittihad, ikishinda mataji 13 ya Ligi Kuu ya Libya, mataji…

Read More