Fadlu: Kijili anachangamoto inayohitaji muda kuisha

IKIWA imesalia saa chache kabla ya Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu Davids amemtaja Kelvin Kijili akisema ni mmoja wa mabeki wa kulia wenye uwezo mkubwa, huku beki huyo akifunguka kwa Mwanaspoti. Simba ipo ugenini kuanzia saa 2:00 usiku kucheza…

Read More

Fadlu: Kijili anachangamoto ionayohitaji muda kuisha

IKIWA imesalia saa chache kabla ya Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu Davids amemtaja Kelvin Kijili akisema ni mmoja wa mabeki wa kulia wenye uwezo mkubwa, huku beki huyo akifunguka kwa Mwanaspoti. Simba ipo ugenini kuanzia saa 2:00 usiku kucheza…

Read More

Tabora Utd, yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

WENYEJI Tabira United imeshindwa kuendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu Bara baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na Tanzania Prisons ambayo haijaonja kabisa ushindi msimu huu. Tabora iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita kupitia mechi za play-off dhidi ya Biashara United ya Ligi ya Championship, ilianza msimu kwa kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Simba…

Read More

Dube atupia Yanga ikivunja mwiko Ethiopia

BAO moja lililofungwa na Prince Dube dakika 45 kipindi cha kwanza dhidi ya CBE SA ya Ethiopia limetosha kuitanguliza Yanga mguu mmoja mbele katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikivunja mwiko wa kutiopata ushindi katika ardhi ya nchi hiyo katika michuano ya CAF. Ikicheza kwenye Uwanja wa Abebe Bikila, jijini Addis Ababa,…

Read More

KenGold bado haijakata tamaa | Mwanaspoti

LICHA ya kudondosha pointi sita katika mechi mbili za mwanzo za Ligi Kuu Bara inayoicheza kwa mara ya kwanza, kocha mkuu wa KenGold, Fikiri Elias amesema bado ana imani ya timu hiyo kufanya vizuri kadri inavyozidi kuizoea ligi. Wageni hao wa Ligi Kuu kutoka jijini Mbeya, kesho Jumatatu watavaana na KMC na kocha Elias alisema…

Read More

Dabi ya Dodoma ardhi ya ugenini

UMESHAWAHI kushuhudia mchezo wa dabi ukipigwa katika ardhi ya ugenini? Basi leo ndiyo itatokea hivyo pale Dimba la Tanzanite Kwaraa lililopo Manyara pindi Fountain Gate inayonolewa na kocha Mohamed Muya ikiikaribisha Dodoma Jiji ya Mecky Maxime. Kama inavyofahamika mchezo wa dabi huwa baina ya timu zinazotokea eneo moja la mji, hivyo mchezo huu wa leo…

Read More

Bao lampa mzuka Ngushi Mashujaa

NYOTA wa zamani wa Yanga na Coastal Union, anayekipiga kwa sasa Mashujaa, Crispin Ngushi juzi alifunga bao pekee lililoizamisha Coastal Union nyumbani na kuipa timu hiyo ushindi wa pili kitu alichodai kimempa mzuka akisisitiza kwa msimu huu kila mechi kwake ni fainali ili atimize lengo kurudi timu kubwa. Ngushi, aliyesajiliwa na Mashujaa katika dirisha lililopita,…

Read More

MaguRi, Makapu kuliamsha upya Biashara United

NYOTA wa zamani wa Simba na Yanga, Elias Maguri na Said Juma ‘Makapu’ ni miongoni mwa wachezaji wapya walioongeza mzuka ndani ya kikosi cha Biashara United kilichopo Ligi ya Championship inayoanza mwishoni mwa mwezi huu. Nyota hao msimu uliopita walicheza katika timu za Ligi Kuu, Maguri akiwa Geita Gold iliyoshuka daraja, wakati Makapu alikuwa Mashujaa…

Read More

KMKM yazindukia Mwembe Makumbi | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani wa Zanzibar, KMKM juzi jioni walizinduka katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu visiwani humo (ZPL) baada ya kuifumua Mwembe Makumbi City kwa mabao 2-1 baada ya awali kuanza ligi hiyo kwa kipigo kutoka kwa Mafunzo. KMKM ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, mjini Unguja na kuifanya ifikishe pointi…

Read More