
Tuzo yampa nguvu staa Mashujaa
ABDULRAHMAN Mussa ambaye anatumika kama beki wa kulia ndani ya kikosi cha Mashujaa, amesema tuzo aliyoipata katika mchezo dhidi ya Coastal Union imempa nguvu mpya ya kuendelea kupambana. Mussa ambaye pia ana uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji, juzi Ijumaa alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union iliyochezwa kwenye…