Lusajo: Safari hii, hatutawaangusha | Mwanaspoti

NAHODHA wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda amesema wanajua wana kazi kubwa ya kufanya msimu huu kuhakikisha wanafikia malengo, huku akimtaja kocha Florent Ibenge ni wa viwango na hawapaswi kumuangusha. Mwaikenda aliyemaliza msimu uliopita na mabao saba na asisti tatu, aliliambia Mwanaspoti, wachezaji wapo tayari kwa ushindani na kila mmoja anajua kazi kubwa iliyopo mbele yao….

Read More

Waarabu wafichua kilichozuia dili la Mukwala

STEVEN Mukwala ni mmoja ya nyota 30 wa kikosi kipya cha Simba kwa msimu wa 2025-2026, licha ya awali kuelezwa alikuwa tayari yupo hatua ya mwisho kupigwa bei Uarabuni kabla ya dili hilo kufa kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili la Tanzania usiku wa Septemba 7. Hata hivyo, vigogo wa klabu hiyo ya Uarabuni…

Read More

Dakika 62 tamu za Mbosso ‘Simba Day’

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

Mfaransa atamba, Yanga, aitaja Simba

Kocha mkuu wa Yanga, Romain Folz amesema wachezaji wà timu wapo tayari kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kesho dhidi ya Bandari Kenya, aliosema utakuwa na mvuto wa aina yake, huku akiitaja Simba. Yanga inatarajiwa kuhitimisha kilele cha Wiki ya Mwananchi kesho kwa kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Bandari Kenya. Hilo…

Read More

Bado Watatu – 25 | Mwanaspoti

NIKAYAKATISHA yale mazungumzo yetu.“Sasa shoga subiri nikupeleke kwa gari.”“Itakuwa vyema shoga. Kila saa kukodi bodaboda, hizo hela ziko wapi? Wanaume wenyewe ndio hao wanaokimbia wake zao,” Raisa alisema kisha akacheka.Nikaingia chumbani na kuvaa nguo za kutokea. Nilichukua funguo ya gari. Nikazunguka kwa mlango wa nyuma na kulitoa gari langu ambalo huwa naliweka kwenye banda.Raisa pia…

Read More

Tausi Royals, Dar City zakoleza ushindani BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikifikia hatua ya nusu fainali, inaonyesha timu ya Tausi Royals na Dar City ndizo zilizofanya ushindani wa ligi hiyo uongezeke. Ushindani huo umetokana na usajili mzuri uliofanywa na timu hizo na kufanya timu nyingine ziongeze jitihada zaidi. Hata hivyo, licha ya timu ya Tausi Royals…

Read More

Kazi ipo nusu fainali ligi ya Kikapu Dar

UTAMU wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) umehamia katika nusu fainali ya ligi hiyo. Inaonyesha kila mchezo utakaochezwa utakuwa ni kama fainali. Hiyo imetokana na uwezo mkubwa ulioonyeshwa na timu hizo katika ligi hiyo, na ugumu wa nusu fainali utakaotokea ni kutokana na kila timu kuhitaji kushinda ili iweze kucheza fainali….

Read More

CECAFA Kagame Cup 2025 utamu uko hapa

MICHUANO ya Kombe la Cecafa Kagame imeendelea kunoga huku baadhi ya wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi wakifunguka kuhusu ugumu wa michuano hiyo ambayo imefika hatua ya nusu fainali, itakayoanza kuchezwa kesho, Ijumaa. APR ya Rwanda, Singida BS na KMC za Tanzania ndizo timu za kwanza kutinga hatua hiyo kabla ya mechi za…

Read More

Mwanamnyeto awaita mashabiki Kwa Mkapa

Nahodha wa Yanga, Bakari Mwamnyeto amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia mbinu bora za kocha Romain Folz na ubora wa nyota wapya. Mwamnyeto amefunguka hayo mbele ya wanahabari akisisitiza, wapo tayari kutoa burudani kwa mashabiki ambao watajitokeza Uwanja wa Mkapa, huku akiweka wazi tayari wameingia katika mfumo wa kocha huyo. “Licha ya kwamba kocha ni…

Read More