Kocha Mlandege afichua dili ya usajili wa Yakoub Msimbazi

WAKATI ikitajwa kuwa kipa namba moja wa JKT Tanzania na timu ya taifa,  Taifa Stars,  Yacoub Suleiman kuwa kamalizana na Simba kocha aliyemuibua nyota huyo, Hassan Ramadhan Hamis amekiri kuwepo kwa mazungumzo ya dili hilo. Hata hivyo, amesema kuwepo bado hajui kinachoendelea, ila kipa huyo amehakikishiwa nafasi na Fadlu Davids endapo mambo yataenda vizuri. Akizungumza…

Read More

Mohamed Rashid atajwa Fountain Gate

UONGOZI wa Fountain Gate (FG) uko katika mazungumzo kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Mohamed Rashid ‘Mo Rashid’ baada ya kukubaliana maslahi binafsi na kilichobaki kwa sasa ni kusaini kandarasi. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kwamba Mo Rashid amekubaliana maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa miaka miwili wa kukitumikia kikosi…

Read More

Kocha Mkongo: Huyo Kitambala mjipange

LILE straika la Azam FC, Japhet Kitambala limeendelea kutuma salamu kwa mbali likiwa kule Kenya, huku kocha Mkongomani akitoa tahadhari kwa timu za Ligi Kuu Bara kuwa zijipange kwelikweli kukabiliana na mshambuliaji huyo. Kitambala amesajiliwa na Azam dirisha hili la usajili akitokea Union Maniema ambayo awali ilimchukua akitokea TP Mazembe ambapo mara baada ya kumalizika…

Read More

Mlandege yatuma salamu kwa Wahabeshi, yambeba Baresi

KATIKA kuhakikisha inafanya vyema katika Ligi ya Mabingwa Afrika, mabosi wa Mlandege wamemuongeza kocha Abdallah Mohamed ‘Baresi’ katika benchi la ufundi la timu hiyo. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Zanzibar imekata tiketi ya michuano tangu 2021 ikipangwa kukutana na Ethiopia Insurance ya Ethiopia kati ya Septemba 19 wataanzia ugenini. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa Mlandege,…

Read More

Mkongomani awindwa Dodoma Jiji | Mwanaspoti

BAADA ya aliyekuwa beki wa kati wa Tabora United, Mkongomani Andy Bikoko Lobuka kumaliza mkataba na kikosi hicho, mabosi wa Dodoma Jiji wamefungua mazungumzo na nyota huyo ili kuitumikia msimu ujao. Mchezaji huyo aliyejiunga na Tabora United msimu wa 2023-2024 akitokea SM Sanga Balende ya kwao DR Congo amemaliza mkataba wa miaka miwili na kikosi…

Read More

Winga Mzenji kuibukia Tanzania Prisons

KIKOSI cha Tanzania Prisons kinaendelea na maandalizi ya msimu ujao, huku kikivuta pia mastaa wapya kimyakimya ambapo kwa sasa kipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa winga wa JKU ya Zanzibar, Neva Kaboma. Awali, mchezaji huyo ilidaiwa angejiunga na Coastal Union ambayo mwanzoni ilifanya mawasiliano na waajiri wake ingawa moja ya changamoto iliyojitokeza…

Read More

Morocco: Yeyote aje tu robo fainali

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amejivunia ubora wa kikosi huku akisema vijana wake wana uwezo wa kushindana na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya michuano CHAN. Stars ilitinga robo fainali ya michuano hiyo ikiwa na mechi moja mkononi iliyokamilishwa jana Jumamosi usiku dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya…

Read More

Morocco, DRC Congo biashara mapema!

LEO Agosti 17 kuna mtanange wa kukata na shoka kwenye Uwnaja wa Nyayo jijini Nairobi kati ya timu ya taifa ya Morocco na DRC Congo kwenye Kundi A ambazo zinatafuta nafasi ya kufuzu robo fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Kwenye kundi hilo Kenya inaongoza ikiwa na pointi saba…

Read More

Vita ya namba 10 Simba, Ateba akiaga

KWENYE kikosi cha Simba imezuka vita mpya hata kabla ya kiungo mshambuliaji Neo Maema hajatua kambini na mabosi wa timu hiyo sasa wanakuna kichwa. Maema juzi alikamilisha dili lake la kujiunga na Simba akitokea Mamelodi Sundowns ukiwa ni usajili wa pili Simba wanaufanya kutoka kwenye kikosi hicho ambacho msimu uliopita kilifika fainali ya Ligi ya…

Read More

Mfaransa atoa ‘code’ ya kiungo Yanga

MFARANSA Julien Chevalier amempa maujanja kocha wa Yanga Romain Folz, jinsi ya kumtumia Celestin Ecua, huku akiwatobolea Simba siri ya Djessan Privat. Julien alikuwa kocha wa Ecua katika timu ya Asec Mimosas akimfundisha kwa kipindi cha nusu msimu – akimpokea kutoka Zoman ya hukohuko Ivory Coast. Ecua ambaye ametua Yanga akijiandaa kukichezea kikosi hicho msimu…

Read More