ARFA yajitosa Mbuni, TMA Stars

WAKATI Ligi ya Championship ikitazamiwa kuanza mwishoni kwa mwezi huu, Chama cha Soka Mkoa wa Arusha (ARFA) kimeweka wazi kimejipanga kutoa sapoti ya kutosha kwa timu za Mbuni na TMA Stars ili zifanye vyema na kupanda daraja. Mara ya mwisho kwa Arusha kuwa na timu ya Ligi Kuu ilikuwa ni mwaka 2014, miaka 10 iliyopita,…

Read More

Planet yaitambia Profile | Mwanaspoti

PLANET imeendeleza moto katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza kwa kuifunga timu ya Profile kwa pointi 49-45 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mirongo, jijini humo. Katika mchezo huo, John Pastory aliongoza kwa kufunga pointi 26, aliongoza pia kwa kutoa asisti mara 7 na upande wa udakaji (rebounds) alidaka mara 7. Katika mchezo mwingine…

Read More

Ukonga Academy yaing’arisha BDL | Mwanaspoti

Wakati timu za kikapu za wanawake zikiendelea kuchuana vikali katika Ligi ya Likapu Mkoa wa Dar es Salaam (BD), imeonyesha wachezaji wanaotokea katika kituo cha Ukonga Academy ndiyo wanaotawala ligi hiyo. Licha ya timu nyingine kuwakilishwa na wachezaji wenye viwango vya juu, imeonekana wengi wa wachezaji hao wanatokea katika kituo hicho. Baadhi ya wachezaji waliotokea…

Read More

Ninja awakosa Waangola CAF | Mwanaspoti

BEKI wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa katika timu ya FC Lupopo ya DR Congo, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ameshindwa kuondoka na kikosi hicho kwenda Angola kuvaana na wababe wa Coastal Union, AS Bravos katika mechi ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku timu hiyo akianika kinachombeba ugenini. Ninja aliliambia Mwanaspoti kuwa,…

Read More

Singida BS ikishinda inaishusha Simba kileleni

Utamu wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa michezo miwili, huku macho ya mashabiki yakiwa kwenye Uwanja wa Liti, mjini Singida wakati wenyeji Singida Black Stars watakapovaana na KMC, huku kocha Patrick Aussems akitamba kutaka kuendeleza ubabe ili kuvuna pointi zaidi katika ligi hiyo. Singida ilianza msimu kwa kishindo kwa kupata ushindi wa mechi…

Read More

Kipenye, Mkomola wapagawisha Songea Utd

SONGEA United imeendelea kujifua kujiweka fiti, huku baadhi ya mastaa wakitoa matumaini kwa mashabiki kuhakikisha Mkoa wa Ruvuma unarejesha heshima kwa kupata timu ya Ligi Kuu. Timu hiyo ambayo ilifahamika kama FGA Talents, kwa sasa imeweka maskani mjini Songea na inatarajiwa kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao itakayoanza mwishoni mwa mwezi huu kusaka kutinga Ligi…

Read More

Sare yaipeleka KVZ kileleni ZPL

MAAFANDE wa KVZ juzi jioni walilazimishwa suluhu na wageni wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), Tekeleza FC ya kisiwani hapa na kukwea hadi kileleni mwa msimamo ikiwaengua watetezi, JKU. Tekeleza iliyopanda daraja msimu huu sambamba na Junguni pia ya Pemba na Muembe Makundi na Inter Zanzibar za visiwani Unguja, pointi moja iliyovuna katika mchezo huo uliopigwa…

Read More

Mke asimulia dakika za mwisho za Gidabuday

“NILIPIGIWA simu na mtu ambaye aligoma kujitambulisha ni nani, na hadi leo sijamfahamu akaniambia mume wangu amegongwa na gari amefariki,” anaanza kusimulia Eva Baltazar, mke wa katibu mkuu mstaafu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Wilhelim Gidabuday. Gidabuday alifariki alfajiri ya kuamkia Septemba 10, baada ya kugongwa na gari eneo la Maji ya Chai, Arusha…

Read More

Fadlu kuisapraizi Al Ahli Tripoli

WAKATI Simba ikiwa njiani kwenda Libya kuvaana na Al Ahli Tripoli, kocha wa Wekundu hao, Fadlu Davids amefunguka jinsi alivyopangwa kuwasapraizi wenyeji wao katika mechi hiyo ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mbinu atakazowapa mastaa wa kikosi hicho. Simba iliyoapangwa kuanzia raundi hiyo ya pili itakuwa wageni…

Read More