
Job asimulia mazito Ivory Coast
BEKI wa Taifa Stars, Dickson Job amesimulia mazito juu ya majeraha yake wakati alipotolewa kwenye mchezo wa timu hiyo dhidi ya Guinea, huku akiwatoa hofu mashabiki wa Yanga anayoitumikia. Job aliumia dakika ya tisa ya mchezo huo baada ya kugongana na kiungo wa Guinea na kulazimika kutolewa dakika ya 11 nafasi yake ikichukuliwa na Bakari…