
Mkenya awatoa hofu Pamba, aahidi pointi 3 Azam
LICHA ya kutopata ushindi kwenye mechi tano na kufunga mabao mawili pekee, Nahodha wa Pamba Jiji, Christopher Oruchumu amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisisitiza ni kipindi cha mpito na kwamba itaanza kufanya vizuri kuanzia mchezo ujao dhidi ya Azam FC. Mechi tano za Pamba Jiji tangu Agosti, mwaka huu, chini ya Kocha Goran Kopunovic…