Kagoma Simba, Lawi Coastal mchongo mzima upo hivi!

BADO mjadala mdomoni kwa mashabiki wa Soka hususani wale Simba, Yanga na Coastal ni hatma ya wachezaji wawili tu. Yusuf Kagoma na Lameck Lawi. Lakini Mwanaspoti limepata habari za uhakika kabisa kutoka ndani kwamba muda wowote kuanzia sasa zinaweza kutoka habari za kushtua kwa pande zote tatu na kuna ambaye anaweza kupoteza Mwanaspoti limejiridhisha kutoka…

Read More

Dk 90 Stars mikononi mwa Mzize, Wazir Jr

WASHAMBULIAJI Wazir Junior, Clement Mzize na Cyprian Kachwele wana jukumu kubwa la kuiongoza safu ya ushambuliaji ya Taifa Stars katika mchezo wa leo dhidi ya Guinea utakaochezwa Uwanja wa Charles Konan Banny uliopo Yamoussoukro nchini Ivory Coast. Guinea ambayo imeamua kutumia uwanja huo kwa mechi zake za nyumbani baada ya nchini kwao kukosa kiwanja chenye…

Read More

Fountain, KenGold mechi ya kihistoria

KESHO, Jumatano, historia inaandikwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo mjini Babati, mkoani Manyara, wakati Fountain Gate FC ikiikaribisha KenGold. Huo utakuwa ni mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kuchezwa mkoani humo ikiwa ni historia kwa wananchi wa eneo hilo kuanza kushuhudia mechi za Ligi Kuu. Manyara yenye wilaya tano za Kiteto, Simanjiro, Mbulu,…

Read More

Kocha Kagera apata matumaini mapya

BAADA ya kikosi chake kupata nafasi ya kupachika bao moja kwenye sare ya 1-1 dhidi ya Geita Gold, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata ameuona mwanga kwenye safu ya ushambuliaji kabla ya kuikabili Tabora United. Kesho Jumatano, Kagera Sugar itakuwa ugenini kuikabili Tabora United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na kumbukumbu ya…

Read More

Aliyekuwa Katibu Mkuu RT Gidabuday afariki dunia

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Wilhelm Gidabuday amefariki dunia. Inaelezwa Gidabuday amefariki dunia saa 7 usiku wa kuamkia leo Jumanne Septemba 10, 2024 baada ya kugongwa na gari eneo la Maji ya Chai, mkoani Arusha. Mjumbe wa Riadha kanda ya Mashariki, Alfredo Shahanga ameiambia Mwananchi, kiongozi huyo amefariki baada ya…

Read More

Chato Samia Suluhu Academy kuendeleza vipaji

Chato Samia Cup imeingia makubaliano na Kituo cha Michezo cha Suluhu Academy kutoka Zanzibar, lengo likiwa ni kuibua vipaji vya michezo na kuviendeleza. Utiaji saini makubaliano hayo umefanyika wakati wa mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya chato Samia Cup 2024 iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mazaina uliopo Chato kati ya timu ya mashabiki wa Simba dhidi…

Read More

Samia atia neno maadili, uwazi sekta ya ununuzi

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wataalamu wa ugavi na manunuzi kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuzingatia maadili, uwazi na uwajibikaji ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Pia amewaasa kuongeza tija kwenye miradi ya maendeleo. Amesisitiza kuwa fedha nyingi zinazotumiwa katika nchi za EAC zinatokana na kodi za wananchi, hivyo ni muhimu…

Read More

Mchezo mpya watinga Dar na kauli ya kishujaa

Ukiwa na lengo la kukuza vipaji vya ushujaa, mchezo mpya umezinduliwa jijini Dar es Salaam huku wabunifu wake wakiwataka Watanzania kuupokea kwa kuwa utasaidia kutengeneza vipaji vya kushinda  medali za michezo kama kama Olimpiki. Ni mchezo mpya wa kuruka viunzi katika mbio za mita 100, mita 400 na mita 3000 kuruka viunzi na maji (steeplechase)….

Read More

ARFA kuongeza nguvu Mbuni, TMA Stars

WAKATI Ligi ya Championship ikitazamiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni kwa mwezi huu Chama Cha Soka Mkoa wa Arusha (ARFA) imeweka wazi kuwa imejipanga kutoa sapoti ya kutosha kwa timu zake Mbuni FC na TMA Stars ili kufanya vyema na kupanda daraja. Mara ya mwisho kwa Arusha kuwa na timu ya Ligi Kuu ilikuwa ni mwaka…

Read More