Daraja la Simba, Yanga Caf

Raundi ya kwanza ya mashindano ya klabu Afrika itaanza mwishoni mwa wiki hii ambapo Tanzania itawakilishwa na timu mbili ambazo ni Yanga na Simba na zote zitaanzia ugenini katika mechi ya kwanza na wiki moja baadaye kucheza nyumbani. Baada ya kuitupa nje Vital’O ya Burundi katika raundi ya kwanza kwa ushindi mnono wa mabao 10-0…

Read More

Msuva: Tuliweka kikao na kocha Stars

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, 30, ameeleza mikakati yake wakati akitua Jamhuri ya Iraq huko Asia Magharibi kwa ajili ya kujiunga timu yake mpya, Al Talaba SC iliyomsajili kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msuva ambaye alikuwa nchini kwa zaidi ya miezi mitatu tangu kumalizika kwa msimu uliopita ambao alikuwa akiichezea Al-Najma  ya Saudi…

Read More

Ngorongoro yazindukia Mikumi | Mwanaspoti

VIPIGO viwili vya michezo ya awali ilivyopata timu ya Ngorongoro imeizindua kwa kupata ushindi wa mikimbio 22  dhidi ya Mikumi katika mchezo  uliopigwa jijini wikiendi iliyopita. Mchezo huu ambao ni maalum kwa  wachezaji wa timu ya taifa ya kriketi, ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya michuano ya kufuzu fainali za kombe…

Read More

Mbongo aachiwa msala Bayern Munich

KOCHA wa zamani wa timu ya taifa la Australia, Graham Arnold, ameeleza Nestory Irankunda, kijana mwenye asili ya Tanzania, anatakiwa kuhimili presha ya kuonyesha makubwa akiwa na Bayern Munich. Licha ya historia kuwakataa wachezaji wengi kutoka Australia. Irankunda, ambaye ni winga, amekuwa akizungunguzwa sana huko Australia baada ya kuhama kutoka Adelaide United kwenda Bayern Munich,…

Read More

Fabrice Ngoy ajitafuta upya Namungo | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Namungo raia wa DR Congo, Fabrice Ngoy amesema kwa sasa anahitaji kupambana zaidi ndani ya kikosi hicho, baada ya kupitia changamoto nyingi msimu uliopita ambazo zilimfanya kushindwa kufikia malengo yake binafsi aliyojiwekea. Nyota huyo ambaye msimu huu pekee amecheza mchezo mmoja wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate, aliweka wazi kwa sasa…

Read More

KenGold yaanza upya, Fountain Gate kazi ipo

WAKATI Ken Gold ikitarajia kushuka uwanjani Jumatano uwanjani kuwakabili Fountain Gate, benchi la ufundi limesema halitarajii kuruhusu tena bao badala yake ni kutembeza vipigo baada ya kukisuka upya kikosi. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haikuwa na mwanzo mzuri baada ya kukandwa kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Singida Black Stars na…

Read More

Kina Magoma, Yanga mahakamani tena leo, uamuzi utakavyokuwa

Hatima ya uhalali wa rufaa dhidi ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports, maarufu Yanga, inatarajiwa kujulikana leo Jumatatu, Septemba 9, 2024, wakati Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi wa pingamizi dhidi ya rufaa hiyo. Rufaa hiyo imefunguliwa na Juma Ally Magoma na mwenzake Geoffrey Mwaipopo, wakipinga uamuzi wa Mahakama…

Read More

Mbeya City yaiota Ligi Kuu

MATOKEO ya ushindi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Real Nakonde ya nchini Zambia, yaliipa matumaini makubwa Mbeya City ikitamba kikosi kipo tayari kwa Championship kuisaka tena Ligi Kuu kwa msimu wa 2025-2026. Timu hiyo ikihitimisha wiki ya kilele cha Mbeya City Day, iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wapinzani hao na kuwafanya…

Read More

Mkali wa asisti Simba amfurahisha Fadlu Davids

KIUNGO mshambuliaji wa Simba anayeongoza kwa asisti kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, Jean Charles Ahoua amerejea tena uwanjani akiwa fiti kwa asilimia 100 tayari kuivaa Al Ahli Tripoli ya Libya baada ya kuwa nje kwa majerahana kumpa kicheko Kocha Fadlu Davids aliyemtetea pia straika mpya, Lionel Ateba. Ahoua alibainika kupata majeraha madogo ya misuli…

Read More