Nabi atoa sababu kuikataa Azam FC

AZAM FC imemtangaza Rachid Taoussi kuwa kocha mkuu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuchukua nafasi ya Youssouf Dabo, lakini kabla ya kutua kwa Mmorocco huyo, ilidaiwa klabu hiyo ilikuwa ikimwinda kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi aliyefungua sababu ya kulitema dili ghilo la Chamazi. Taoussi aliyetua juzi nchini sambamba na wasaidizi watatu, Kocha msaidizi,…

Read More

Kiungo Prisons arejea na presha ya namba

BAADA ya kupotea kwa muda mrefu uwanjani, kiungo mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Tariq Simba anatarajia kuanza mazoezi mepesi, huku akikiri vita ya namba kikosini. Nyota huyo alijiunga na Maafande hao dirisha dogo msimu uliopita akicheza mechi tano pekee na kuwa nje ya uwanja kufuatia operesheni aliyofanyiwa ya jino. Kwa sasa nyota huyo anaendelea kuuguza majeraha…

Read More

Mwenda kazi anayo Singida Black Stars

NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Israel Mwenda amewasili rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya hivi karibuni kuibuka mgogoro wa kimaslahi baina ya pande zote mbili zilizosababisha beki huyo kushindwa kuwasili kambini kwa muda muafaka, huku akikabiliwa na kazi nzito ya kuliamsha kikosini. Mwenda aliyesajiliwa na Singida msimu huu akitokea Simba aliyoitumikia kwa misimu…

Read More

Kocha JKT TZ kupambana na haya!

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema, anafurahishwa na mwenendo wa kikosi hicho japo jambo analolifanyia kazi katika kipindi hiki cha kupisha michezo ya kimataifa ni kutengeneza balansi kwenye eneo la kujilinda na kushambulia. Kocha huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu baada ya kuachana na Tanzania Prisons alisema, wachezaji wengi ni wapya ndani…

Read More

Ushindi wampa ahueni Zahera | Mwanaspoti

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Namungo jana Jumamosi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Ligi Championship, Mbeya Kwanza umemfanya ahueni kocha wa kikosi hicho, Mwinyi Zahera aliyesema amepata mwanga katika jukumu alilonalo la kubadili upepo mbaya wa matokeo katika Ligi Kuu Bara. Licha ya kuonekana kucheza soka safi, Namungo imejikuta ikianza vibaya msimu…

Read More

Chama la Lunyamila hali tete Mexico

CHAMA la Mazaltan anayoichezea Mtanzania Enekia Lunyamila limeanza msimu vibaya kwa kupoteza michezo sita kati ya saba iliyocheza ya ligi. Lunyamila alijiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Eastern Flames iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia na alifunga mabao saba, timu hiyo ikimaliza nafasi ya saba kati ya nane. Tangu kiraka huyo atambulishwe Mazaltan…

Read More

Yanga, Simba mpango mmoja ugenini

Katika kuhakikisha nyota wake wanaozitumikia timu za taifa wanaziwahi mechi zao za ugenini za mashindano ya klabu Afrika wiki ijayo, Yanga na Simba zimepanga utaratibu wa wachezaji hao wanaungana na vikosi vyao moja kwa moja wakitokea katika majukumu ya timu zao za taifa na sio kuondoka nao pamoja kutokea hapa Dar es Salaam. Kwa sasa…

Read More

Wakali 40 kushiriki vita ya fimbo

WACHEZA Gofu Wanawake 40 kutoka ndani na nje ya nchi wamethibitisha rasmi kuwania taji la ubingwa wa mashidano ya   Tanzania Open ambayo yanaanza siku ya Alhamisi jijini Arusha. Idadi hiyo, kwa mujibu wa katibu wa mashidano, Rehema Athumani, inaweza kuongezeka kwani dirisha la usajili bado halijafungwa. “Wacheza gofu 40 ndiyo waliothibitisha kushiriki hadi kufikia Jumamosi…

Read More

Huyu hapa mshindani wa Msuva Iraq

WINGA wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Simon Msuva wikiendi iliyopita alitambulishwa na Al Talaba inayoshiriki Ligi Kuu ya Iraq. Msuva amesajiliwa na klabu hiyo akitokea Al Najma ya Saudi Arabia alikodumu kwa msimu mmoja na kufunga mabao manne kwenye michezo 15. Licha ya nyota huyo wa zamani wa Yanga kutambulishwa kikosini hapo,…

Read More