TFF yajitosa matibabu ya Mdamu

WAKATI wadau mbalimbali wakiendelea kumsaidia aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerrard Mdamu, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), nalo limeibuka kumuokoa jahazi la matibabu ya mchezaji huyo. Mdamu alipatwa na ajali ya gari, Julai 2021 wakati akitoka mazoezi na timu huyo ilipokuwa Ligi Kuu Bara na kufanyiwa upasuaji ambao umemfanya awe nje ya uwanja kwa mwaka…

Read More

Polisi wanawake waitambia Magereza kikapu

Wakati michezo ya majeshi ikiendelea katika viwanja mbalimbali ndani ya Manispaa ya Morogoro, timu ya  Polisi ya wanawake imeibuka na ushindi wa point 61 -58 dhidi ya timu ya wanawake ya Magereza. Mchezo huo umechezwa jioni ya Septemba 7 katika uwanja wa Bwalo la umwema. Akizungumza mara baada ya mchezo huo, kocha wa Polisi, Nasri…

Read More

Bangala bado hali tete Azam FC

BEKI wa kati wa Azam FC, Yannick Bangala atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki moja baada ya kupata majeraha ya misuli ya paja, ‘Hamstring’, wakati wa mchezo wao wa mwisho wa suluhu baina ya timu hiyo na JKT Tanzania Agosti 28, mwaka huu. Daktari wa Azam FC, Mbaruku Mlinga, aliliambia Mwanaspoti, Bangala kwa…

Read More

Stars yaifuata Guinea kibabe | Mwanaspoti

KIKOSI cha Taifa Stars kiliondoka nchini leo kwenda Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wa pili wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 utakaopigwa keshokutwa dhidi ya Guinea, huku kocha akiamini watafanya vizuri. Stars itaingia katika mchezo huo wa Kundi H, ikiwa na kumbukumbu ya suluhu nyumbani mbele ya…

Read More

Yondani bado anasikilizia kwanza | Mwanaspoti

BAADA ya kutumika zaidi ya miaka 10 mfululizo, beki  wa zamani wa Simba na Yanga, Kelvin Yondani amesema amejipa likizo ya muda kujihusisha na masuala ya soka, ila hajaamua kustaafu kwa sasa, huku akikiri Ligi Kuu Bara kwa sasa imekuwa na ubora na ushindani mkubwa akiitaja Yanga na moto iliyonayo. Beki huyo wa kimataifa wa…

Read More

Championship kuna vita nzito | Mwanaspoti

KILA msimu wa Ligi ya Championship inazidi kuwa tamu, ubora unaongezeka na hata wafuatiliaji wanaongezeka pia. Ligi hiyo inashirikisha timu 16 ambazo kwa sasa ziko mkao wa kula zikisubiri kuanza msimu mpya wa 2024/25 mwishoni mwa mwezi huu na vita itakuwa ni kuwania kupanda Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026. Kuna mzuka mwingi katika ligi…

Read More

Simba, Yanga zashusha presha kwa mastaa kimataifa

HAUTOKOSEA ukisema Yanga na Simba zimefanya uamuzi wa kiufundi unaoweza kuwa na faida kwao kwenye mechi za kwanza za raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika na zitacheza ugenini mwishoni mwa wiki ijayo. Ijumaa, Simba itakuwa Libya kuvaana na Al Ahli Tripoli ya huko kwenye Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

Yule Mmorocco wa Azam atua mchana wa leo

UNAKUMBUKA Mwanaspoti mapema wiki hii tuliwajulisha juu ya mipango waliyonayo Azam FC ya kumleta Kocha wa zamani wa Raja Casablanca na klau nyingine kadhaa, Rachid Taoussi? Basi hivi unavyosoma, jamaa keshatua nchini leo mchana tayari kuanza kazi na klabu hiyo. Azam ilikuwa ikimalizana na kocha huyo ikielezwa atapewa mkataba wa miaka miwili kuchukua nafasi ya…

Read More

WMA, TAKUKURU WATEKELEZA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA

Mgeni Rasmi, Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Kaspar Mmuya, akizungumza wakati akifungua semina kuhusu matumizi ya vipimo sahihi iliyoandaliwa na Wakala wa Vipimo (WMA), Mkoa wa Dodoma kwa watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Septemba 06, 2024 jijini Dodoma. Na Veronica Simba, WMA Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa…

Read More