
Ajali moro mashuhuda wabywa Pombe na kulewa wakioa majeruhi
Watu kadhaa wanaohofiwa kufariki Dunia na wengine kujeruhiwa kwenye ajali iliyotokea katika Kijiji cha Mtego wa Simba kata ya Mikese Barabara ya Morogoro _Dar es salam Ajali hiyo ambayo imetokea usiku wa kuamkia Septemba 7 mwaka huu ambayo imehusisha magari matatu basi la abiria ,gari dogo na gari dogo la mziigo ambalo limebeba vinaywaji aina…