Mateso ya Mdamu yashtua nyota Ligi Kuu

BAADHI ya wachezaji wa timu za Ligi Kuu Bara wamedai kushtushwa na kusikitishwa na hali aliyonayo sasa nyota wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu, kuendelea kuteseka na kushindwa kufanya majukumu ya kifamilia na kisoka kwa ujumla. Mwanaspoti lilibua hali ya Mdamu baada ya kumtembea nyumbani kwake Kimara Bonyokwa, ambako alifunguka kwamba bado anahitaji …

Read More

Zahera: Bado nipo nipo sana Namungo

BAADA ya tetesi nyingi kuhusiana na kocha Mwinyi Zahera kufanya makubaliano na uongozi kabla ya kupigtwa chini, mwenyewe ameibuka na kuweka wazi kuwa bado yupo sana Namungo. Zahera ameiongoza timu hiyo katika mechi mbili za kwanza za Ligi Kuu Bara na kupoteza zote mbele ya Tabora United ilikalala 2-1 na Fountain Gate iliyowachapa 2-0 na…

Read More

Simon Msuva autaka ufalme Iraq

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (30), ameeleza mikakati yake wakati akianza safari mapema leo, Ijumaa kwenda Iraq kwa ajili ya kujiunga na chama jipya la  Al Talaba SC. Msuva ambaye alikuwa nchini kwa zaidi ya miezi mitatu tangu kumalizika kwa msimu uliopita ambao alikuwa akiichezea Al-Najma  ya Saudi Arabia, alisema hii ni fursa nyingine…

Read More

Mamluki waziponza Mwanza JIJI, Dodoma Shemisemita

MASHINDANO ya 39 kwa Watumishi wa Halmashauri za Serikali za Mitaa Tanzania (Shemisemita) yalihitimishwa juzi kwa timu ya soka ya Geita kuichapa Ifakara mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Nyamagana, huku Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (Dar City) ikiibuka mshindi wa jumla ikibeba vikombe 10. Akifunga mashindano hayo yaliyoshirikisha halmashauri 100 kati ya 184,…

Read More

Gamondi atoa msimamo Yanga | Mwanaspoti

KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa msimamo wake kwa kusema hataki kurudia makosa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, akipania kuinoa safu ya ushambuliaji kutumia kila nafasi watakazopata ili kufika mbali zaidi, huku akisistiza kwamba hakuna aliyejihakikishia namba eneo hilo. Gamondi amefunguka hayo muda mfupi baada ya kushuhudia timu ya taifa…

Read More

Abdi Banda arejea Baroka | Mwanaspoti

BEKI Abdi Banda amerejea katika kikosi cha Baroka cha Afrika Kusini alichokitumikia akitokea Richards Bay. Nyota huyo mara ya kwanza alijiunga na Baroka akitokea Simba Julai 12, 2017 na sasa amerejea tena baada ya awali dili lake la kujiunga na Singida Black Stars ya Ligi Kuu Bara iliyokuwa inamtaka kugonga mwamba mwanzoni mwa msimu huu….

Read More

Kocha Liogope katabiriwa makubwa huko

KOCHA wa Mtibwa Sugar, Melis Medo amemtabiria makubwa rafiki yake, Kassim Liogope ambaye anaongoza benchi la ufundi kwa muda la Azam FC wakati mchakato wa matajiri hao kushusha mrithi wa Youssouph Dabo ukiendelea. Liogope ni kocha mpya wa vijana wa Azam FC baada ya kuondoka kwa Mohammed Badru. Msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara 2023/24…

Read More

Simba yatisha Waarabu | Mwanaspoti

JOTO la Simba limeanza kuwaingia Al Ahly Tripoli ya Libya baada ya kuitana mezani kuweka yamini jinsi ya kuwakabili wawakilishi hao wa Tanzania kwenye mechi mbili za Kombe la Shirikisho. Wamempa masharti mazito, Kocha Mtunisia Chokri Khatoui kwamba lazima kwa namna yoyote timu yao ivuke sambamba na kumuongezea mkataba wa mwaka mmoja wenye sharti la…

Read More

Nondo nne za Boka Yanga

MASHABIKI wa Yanga wanachekelea kiwango cha beki mpya wa kushoto, Chadrack Boka aliyeanza kazi kibabe ndani ya mechi nne tu,lakini makocha nao wakafunguka namna timu hiyo ilivyoteseka kwa miaka 10 kupata mtu wa namna yake. Tangu Yanga iwe na beki wa kushoto Mrundi mwenye asili ya DR Congo Ramadhan Wasso, timu hiyo haikuwahi kupata tena…

Read More