Camara anyoosha mikono, akubali yaishe

SIMBA jana ilikuwa bize na kilele cha tamasha la Simba Day linalotambulisha uzi na kikosi kipya, lakini kuna mmoja wa mastaa waliotakiwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kuwa kipa mpya, Yakoub Seleman, huku Moussa Camara akiimpa maua yake mapema na kumkaribisha. Yakoub aliyesajiliwa Simba…

Read More

Simba yalipa kisasi kwa Gor Mahia

TAMASHA la Simba Day limehitimishwa kwa mechi ya kirafiki wa kimataifa uliozikutanisha Simba dhidi ya Gor Mahia ya Kenya. Mchezo huo uliofanyika leo Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, huku ikilipa kisasi mbele ya Gor Mahia. Kisasi hicho Simba imelipa baada ya mara…

Read More

Duchu apewa mikoba ya Tshabalala Simba

BAADA ya Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta ‘Duchu’.  Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, msimu ujao atakuwa na kikosi cha Yanga alichojiunga nacho akiwa mchezaji huru. Mikoba aliyokabidhiwa Duchu si unahodha, bali ni jezi namba 15 aliyokuwa akiivaa…

Read More

Gor Mahia katikati ya mtego wa Simba

WAKATI tamasha la kilele la Simba Day likihitimishwa leo, kikosi cha Gor Mahia ya Kenya kiko katika mtego wakati kikiwa nyuma kwa bao 1-0 dhidi ya ‘Wekundu hao wa Msimbazi’. Iko hivi, mara ya mwisho kwa Simba kupoteza mechi ya Simba Day dhidi ya timu kutoka Kenya ilikuwa mwaka 2012, jambo linalosubiriwa kuona kama Gor…

Read More

Simba Day yamkosha BM3, ampigia chapuo Mghana mwenzie

NYOTA wa zamani wa Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison ‘BM3’, amesifu tamasha la kikosi hicho linalofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, Morrison aliandika ‘Hili ndilo tukio langu bora kwa leo Tanzania, lenye mandhari ya ajabu, Simba Day.” Hata hivyo, licha…

Read More

Arusha warudisha hadhi ya marathoni

MKOA wa Arusha umeanza mkakati wa kurudisha hadhi ya riadha baada ya kutangaza kuwa mbio za Tanfoam zifanyika zikitumia umbali wa kilomita 42. Arusha ndiyo waanzilishi wa mbio ndefu za kilomita 42 na awali zilijulikana kuwa Mount Meru Marathon ambazo zilikuwa za kwanza kuwa na hadhi ya kimataifa kwa kuleta wanariadha nyota sehemu mbalimbali. Mount…

Read More

Kapombe, Mpanzu wateka utambulisho Simba Day

UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mastaa wawili Shomari Kapombe na Elie Mpanzu wakiibua shangwe lililopitiliza. Zoezi hilo la utambulisho lililoanza saa 12:21 jioni, liliongozwa na Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally…

Read More

Ilikuwa shoo ya Mbosso, Simba wakifanya yao

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

Neema arejea nchini na ubingwa wa Perm Marathon

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Neema Msuadi amerejea nchini akitokea Russia alikokwenda kushiriki mbio za Perm Marathon. Mbio hizo zilifanyika Oktoba, mwaka huu, jijini Perm ambako Neema alimaliza wa kwanza kwa muda wa saa 2:38:15 na kuwa Mtanzania wa pili kuongoza mwaka huu baada ya Gabriel Geay kufanya hivyo mwezi Februari akishinda Daegu Marathon za…

Read More