Wydad Casablanca bado yamganda Mzize 

MIAMBA ya soka la Morocco, Wydad Casablanca imeonyesha kuwa siriazi kuitaka huduma ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ambaye ni mfungaji bora wa Kombe la FA msimu uliopita. Mzize mwenye umri wa miaka 20, ambaye ni zao la timu za vijana za Yanga, amekuwa akivutia klabu kadhaa barani Afrika, huku Wydad na Kaizer Chiefs ya…

Read More

Mdamu aanza kupata msaada “angalau nitapata chakula”

BAADA ya Mwanaspoti kufichua hali ya maendeleo ya aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu kuhitaji msaada wa matibabu na mahitaji binafsi, wadau kadhaa wameanza kujitolea kumtatulia baadhi ya changamoto na ameshukuru kwamba ; “angalau sasa nitapata chakula” Julai 9, mwaka 2021 basi la timu ya Polisi Tanzania, lilipata ajali likitoka katika mazoezi Uwanja…

Read More

Sure Boy: Kazini kwangu kuzito

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy,’ ameweka wazi kuwa chini ya kocha Miguel Gamondi, kila mchezaji ndani ya kikosi cha Yanga ana nafasi ya kucheza, mradi aonyeshe juhudi binafsi. Sure Boy, ambaye anacheza nafasi sawa na Mudathir Yahya, Clatous Chama, Stephane Aziz Ki, Duke Abuya na Pacome Zouzoua, alisema ushindani wa namba umekuwa…

Read More

Vipigo vyamzindua kocha Kagera Sugar

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata amekaribishwa katika Ligi Kuu Bara kwa vipigo akipoteza michezo miwili za awali za ligi ya msimu huo mbele ya Singida Black Stars na Yanga na kumvuruga kocha huyo Mganda, akitaja sababu ni kuzidiwa ubora na kukyutana na timu hizo akiwa bado hajajipanga vyema. Kocha huyo wa zamani wa…

Read More

Dodoma Jiji sasa yakimbilia Manyara

UONGOZI wa Dodoma Jiji umechagua kuutumia Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara kwa michezo ya nyumbani, baada ya Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kufungiwa na Bodi ya Ligi (TPLB) kutokana na kutokidhi vigezo. Timu hiyo iliyoanza msimu huu bila ya kuonja ladha ya ushindi katika michezo miwili iliyocheza, ilichapwa bao 1-0 na Mashujaa kisha…

Read More

Azam fc yatua kwa Mmorocco

MABOSI wa Azam FC wako katika harakati za kumsaka mrithi wa Yousouf Dabo aliyetimuliwa Septemba 3, mwaka huu kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo ndani ya kikosi hicho na sasa taarifa zinasema ipo katika mazungumzo ya kumnasa Kocha Rachid Taoussi, raia wa Morocco. Taoussi aliyezaliwa Februari 6, 1959, inaelezwa yupo katika mazungumzo na viongozi wa…

Read More

Mpole, Okutu wapewa akili mpya Pamba Jiji

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Pamba, Stand United na Mbeya City, Abasirim Chidiebere raia wa Nigeria amesema mwanzo mgumu iliyoanza nao Pamba Jiji katika Ligi Kuu Bara ni kutokana na udhaifu wa eneo la ushambuliaji na kiungo, huku akiwataka mashabiki kutuliza presha. Chidiebere aliyestaafu soka na ameweka makazi jijini Mwanza, aliliambia Mwanaspoti Pamba Jiji imefanya usajili…

Read More

Kocha Prisons amkingia kifua Mbisa

WAKATI mashabiki wa Tanzania Prisons wakinung’unika kuondoka kwa aliyekuwa kipa namba moja wa timu hiyo, Yona Amos, lakini benchi la ufundi la timu hiyo limewatoa hofu likieleza kuwa makipa waliobaki akiwamo Mussa Mbisa kuwa ni bora na kazi yao itaonekana. Prisons iliondokewa na Yona aliyetimkia Pamba Jiji na kuwaacha makipa wawili Mbisa na Edward Mwakyusa…

Read More

Geita Gold yaanza kujitafuta mapema

KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Amani Josiah amesema anatambua baada ya usajili uliofanyika mashabiki wengi wamewawekea malengo makubwa, hivyo hataki kuwaangusha huku akiwaahidi watarajie ushindani mkubwa wa timu hiyo kwenye Ligi ya Championship na kurudi Ligi Kuu. Klabu hiyo iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu bara msimu uliopita sambamba na Mtibwa Sugar, leo Ijumaa itakuwa na…

Read More