
MCC yaanza kibabe kriketi TCA
SEPTEMBA imeanza vyema kwa timu ya MCC ya kriketi iliyoshinda kwa mikimbio 83 dhidi ya Caravans D katika mchezo wa Ligi ya TCA ya mizunguko 20 iliyopigwa jijini Dar es Salaam. Kumzidi mpinzani kwa mikimbio 83 ni ushindi mkubwa na mashujaa walikuwa Gokul Nair aliyekuwa na mikimbio 64 na Roshan Gaussian 59 kwa washindi. “Ni…