Teknolojia kunogesha maonyesho ya wafanyabiashara Afrika Mashariki

Mwanza. Teknolojia ya kisasa ya utengenezaji wa bidhaa inatajwa kunogesha Maonyesho ya Wafanyabiashara Afrika Mashariki (MEATF) mwaka 2024 yatakayohusisha kampuni zaidi ya 200 kutoka Tanzania na 35 kutoka nje ya nchi. Kampuni 35 zilizothibitisha kushiriki maonyesho hayo ya 19 ya MEATF zinatokea nchini Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kenya, Uganda, India na…

Read More

Umakini mdogo waikosesha Stars Kwa Mkapa

TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imebanwa nyumbani kwa kutoka suluhu kwenye uwanja wa nyumbani wa Benjamin Mkapa dhidi ya Ethiopia katika mchezo wa kwanza wa Kundi H wa kuwania Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 za  Morocco. Stars iliyopo kundi moja na timu za DR Congo na Guinea,…

Read More

Kamera,ubao zabeba makipa Simba | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba ghafla wamejikuta wakichanganyikiwa kwa mzuka wa furaha baada ya kuona kiwango cha timu hiyo katika mechi kadhaa iliizocheza hadi sasa zikiwamo mbili za Ligi Kuu Bara. Kushinda mechi hizo mbili mfululizo za ligi na kukaa kileleni, huku ikiwa imefunga mabao saba na kutoruhusu bao lolote, kumewapa mzuka zaidi mashabiki na hasa ubora…

Read More

Kipre Jr: Azam hadi miaka mitatu

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, anayekipiga kwa sasa MC Alger ya Algeria, Kipre Jr, amesema ili matajiri wa Chamazi waweze kuonyesha ushindani kimataifa wanahitaji miaka mitatu na zaidi kuingia kwenye mfumo. Kipre aliyeitumikia kwa mafanikio Azam kwa misimu miwili kabla ya kuondoka hivi karibuni, aliliambia Mwanaspoti, timu hiyo inakua kila msimu hivyo uongozi…

Read More

TZ Open kuileta Afrika Arachuga

CHAMA cha Gofu kwa Wanawake Tanzania (TLGU) kimesema kinatarajia kuona nchi nyingi zaidi ya Kenya na Uganda katika mashindano ya mwaka huu ya Tanzania Ladies Open yanayoanza kupigwa jijini Arusha. Katibu wa Mashindano wa TLGU, Rehema Athumani ameliambia Mwanaspoti kuwa nchi zaidi zitatuma washiriki kwa sababu barua za mialiko zimesambazwa katika karibu nchi zote za…

Read More

Straika mpya Yanga kujiunga baada ya fainali CAF

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Princess, Sabina Thom anatarajiwa kujiunga na kambi ya timu hiyo baada ya kumaliza fainali za Klabu Bingwa Afrika kwa Wanawake. Kama Mwanaspoti ilivyoripoti awali kuwa Yanga Princess imemsajili straika huyo kwa mkataba mmoja akitokea TP Mazembe ya DR Congo iliyofuzu kucheza fainali hizo za CAF,  hivyo hawezi kujiunga na wenzake kwa…

Read More

Nahdi atunisha msuli mbio za magari

WALEED Nahdi ni ingizo jipya la madereva wanaotarajiwa kushiriki raundi ya pili ya mbio za magari ubingwa wa taifa zitakazofanyika Iringa mwishoni mwa wiki ijayo. Nahdi anakuwa dereva wa 13 kuthibitisha ushiriki wake katika vita hiyo ambayo itafanyika Septemba 14 na 15. “Ni mtihani mkubwa kwangu, lakini nina imani ya kufanya vizuri kama kijana mwenye…

Read More

Masikini Mdamu bado anataabika, anahitaji msaada

JE, unataka kujua maisha ya aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu yanaendeleaje kwa sasa, Mwanaspoti limefanya mahojiano naye maalum kwa kumtembelea nyumbani kwake Kimara Bonyokwa, Jijini Dar es Salaam ambako  amefunguka mambo mengi. Kwa mdau au taasisi inayopenda kumsaidia Mdamu kwa fedha, vifaa tiba au matibabu wawasiliane naye mwenyewe kupitia namba yake;  0655-670101(itasoma…

Read More

Huyu ndiye Babu Duni usiyemjua

Zanzibar. Septemba 4, 2024, Juma Duni Haji, maarufu Babu Duni ametangaza kustaafu siasa. Ameagwa kwa heshima na chama chake cha ACT-Wazalendo.Katika hafla hiyo ya kumuaga, mwanasiasa mkongwe wa chama hicho, Ally Saleh maarufu Alberto amesoma wasifu wa Babu Duni ambaye kwenye safari yake ya kisiasa imekuwa ya kupanda na kushuka. Unajua Babu Duni amewahi kuwa…

Read More