Pwani yazindua ligi kivyake | Mwanaspoti

WAKATI vyama vya kikapu nchini vikiandaa uzinduzi kwa kushindanisha timu viwanjani moja kwa moja, Mkoa wa Pwani umeanza kwa wachezaji kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo Kaole wilayani Bagamoyo. Katibu wa Chama cha Kikapu mkoani humo, Abdalah Mpongole amesema baada ya kutembelea vivutio hivyo wachezaji   walishiriki katika bonaza lililofanyika katika Uwanja wa Sekondari ya Bagamoyo. “Katika…

Read More

Mgunda akitua tu Azam FC kuweka kibindoni milioni 20

WAKATI jana viongozi wa Azam FC wakitangaza kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na Kocha Youssouph Dabo raia wa Senegal sambamba na wasaidizi wake wote aliokuja nao, taarifa zinabainisha kwamba Juma Mgunda anapigiwa hesabu. Na kama wakikubaliana inaelezwa mshahara wake kwa mwezi utakuwa Sh20 milioni. Dabo aliyedumu ndani ya Azam kwa mwaka mmoja, ameondolewa rasmi…

Read More

Simba, Yanga kupigwa Benjamin Mkapa Oktoba 19

Mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu msimu huu baina ya Simba na Yanga iliyopangwa kuchezwa Oktoba 19 katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam sasa itachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku hiyohiyo kuanzia saa 11:00 jioni. Mabadiliko hayo yametangazwa leo na bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB). “Bodi ya Ligi…

Read More

Che Malone, Hamza kuna kitu

WANASEMA nyota njema huonekana asubuhi. Hiyo imejitokeza mapema sana ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Msauzi, Fadlu Davids. Unajua imekuwaje? Soma hapa. Simba ambayo imeuanza msimu huu kwa ushindi wa asilimia 100 ndani ya Ligi Kuu Bara, kuna kitu bado kinaonekana hakijamridhisha Fadlu kiasi cha kumfanya akune kichwa. Ukiangalia katika mechi hizo mbili…

Read More

Gamondi afichua alivyomzuia Mzize | Mwanaspoti

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kwamba alihusika katika ushawishi wa kumbakisha mshambuliaji Clement Mzize asiondoke klabuni hapo huku akitaja sababu mbili za uamuzi wake huo juu ya kinda huyo. Akizungumza na Mwanaspoti, Gamondi alisema licha ya ofa ambazo Mzize zimeanza kutajwa akitakiwa na klabu kubwa za Afrika, lakini bado mshambuliaji huyo anatakiwa kubaki…

Read More

Straika KenGold amezea mate kiatu

STRAIKA wa KenGold ya Mbeya, Ibrahim Joshua amesema msimu huu amepanga kufunga zaidi ya mabao 16 na kuwa mmoja wa washambuliaji ambao watakuwa wakipigania kiatu cha ufungaji bora Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita kiatu hicho kilichukuliwa na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI. Joshua ambaye alikuwa nje ya uwanja msimu uliopita akiuguza majeraha ya…

Read More

Majina mawili mezani makocha Coastal Union

WAKATI Coastal Union ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya mezani kwa mabosi wa kikosi hicho kuna majina mawili ambapo kama yaatapita basi kuna uwezekano wakawa ni kocha mkuu na msaidizi wake. Taarifa za ndani ya kikosi hicho zimelidokeza Mwanaspoti kuwa klabu hiyo ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na makocha  wawili ambao wamefundisha timu za…

Read More

Mwinyi Zahera apewa mechi mbili

KOCHA wa Namungo FC, Mwinyi Zahera amepewa mtihani wa kushinda zaidi ya mechi mbili ili kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho, nje na hapo kibarua chake kinaweza kuota nyasi. Zahera ambaye alianza kukinoa kikosi hicho tangu msimu uliopita akitokea Coastal Union, inaelezwa endapo dili la kocha wa Simba Queens, Juma Mgunda lingetiki basi hadi asingekuwepo…

Read More

Singida yampa Mwenda saa 24 kuripoti kambini

UONGOZI wa Klabu ya Singida Black Stars umetoa saa 24 kwa beki Israel Mwenda kujiunga haraka kambini kwa mujibu wa mkataba wake na endapo atashindwa kufanya hivyo anatakiwa kulipa Sh500 milioni. Mwenda amejiunga na Singida Black Stars kwa mkataba wa miaka miwili mwanzoni mwa msimu huu, lakini hajawahi kuripoti kambini kwa kile kinachodaiwa kuwa hajalipwa…

Read More

Mchenga Star yajuta kuikosa UDSM Dar

POINTI 21 zilizofungwa na UDSM Outsiders katika robo ya tatu katika mchezo dhidi ya Mchenga Star ndizo zilizochangia timu hiyo kushinda mchezo huo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Akizungumza baada ya mchezo kumalizika, kocha mkuu wa  Mchenga Star, Mohamed Yusuph  alisema makosa madogo waliyofanya uwanjani ndiyo yaliyochangia kupoteza mchezo huo….

Read More