Lawi arejea Bongo, afunguka dili la Simba

BAADA ya kurejea nchini, beki Lameck Lawi amesema hatma ya yeye kuitumikia Coastal Union ipo chini ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Lawi ambaye anatajwa kusaini mkataba ndani ya Simba, ameshindwa kuitumikia timu hiyo na badala yake alitimkia Ubelgiji kwa ajili ya kujiunga na Klabu ya K.A.A…

Read More

Kamwe, Ahmed Ally waita mashabiki Taifa Stars

Maofisa habari wa timu za Yanga, Simba na Azam FC wamewaita mashabiki wajitokeze kwa wingi katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afvon) dhidi ya Ethiopia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Jumatano, Septemba 4 kuanzia saa 1:00 usiku. Mchezo huo ni wa kwanza kwa Taifa Stars katika mashindano hayo…

Read More

Kumekucha Mbeya City Day, Jiji litasimama

WAKATI wadau mashabiki wa soka wakisubiri tukio la Mbeya City Day, uongozi wa timu hiyo umesema maandalizi yanaenda vyema na wamejipanga kuwapa raha wakazi wote wa jiji hilo. Awali tukio hilo lilikuwa lifanyike Agosti 17 mwaka huu, kisha kusogezwa hadi Agosti 31, lakini sasa ni rasmi litafanyika Septemba 7 ambayo ni Jumamosi ya wiki hii,…

Read More

Mgunda kuachiwa mikoba ya Zahera

IMEELEZWA kuwa, Namungo FC ipoa katika mazungumza na kocha mkuu wa timu ya soka ya Wanawake ya Simba Queens, Juma Mgunda ili kwenda kuchukua mikoba ya Mwinyi Zahera anayetarajiwa kupigwa panga baada ya kuanza vibaya mechi mbili za Ligi Kuu msimu huu. Namungo ilianza msimu kwa kufungwa mabao 2-1 na Tabora United kisha kulala tena…

Read More

Ibenge atajwa Azam FC | Mwanaspoti

BAADA ya Azam FC kuonekana imegonga mwamba kwa kocha Nasreddine Nabi, anayeinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, inaelezwa kuwa kwa sasa nguvu imehamishiwa kwa Mkongoman, Florent Ibenge wa Al-Hilal Club mwenye CV kubwa Afrika. Klabu hiyo ilihitaji  huduma ya Nabi kutokana na alichokifanya katika timu mbalimbali (2013), Al-Ahly Benghazi, Al-Hilal, Ismaily, Al-Merrikh, Yanga na FAR…

Read More

Fadlu hataki utani, ampa kazi nzito Ateba

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema licha ya mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Leonel Ateba kufunga bao moja katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal ya Sudan, bado anapaswa kuendelea kupambana zaidi kikosini. Nyota huyo raia wa Cameroon alifunga bao hilo ikiwa ni mchezo wa kwanza kwake akiwa na kikosi hicho…

Read More

Yanga kubadili upepo CAF, mashabiki mjiandae

KAMA wewe ni shabiki wa Yanga ambaye popote ilipo timu hiyo nawe unakuwepo, basi anza kujipanga mapema kwani kuna mabadiliko ambayo yataifanya klabu hiyo kuendana na baraka za Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuelekea mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE ya Ethiopia. Yanga ni moja kati ya timu…

Read More

Vigogo KenGold wameamua | Mwanaspoti

WAKATI benchi la ufundi Ken Gold likiahidi kusuka kikosi upya, uongozi wa timu hiyo nao umekoleza moto kwa mastaa ukiahidi dau nono kwa matokeo ya ushindi kuanzia mchezo ujao dhidi ya Fountain Gate. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haijaanza vyema msimu, baada ya kupoteza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Singida Black…

Read More

JKU yabeba tena Ngao ya Jamii Zenji

MABINGWA wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU jioni ya leo Jumapili imefanikiwa kutetea tena Ngao ya Jamii baada ya kuinyoosha Chipukizi kwa mwaka 2-0 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, mjini Unguja. Msimu uliopita JKU ilitwaa taji hilo kwa kuifunga KMKM kwa mabao 5-2 katika mechi iliyopigwa Septemba 9 na leo ikikutana tena…

Read More