Yonta, Adebayor kazi imeanza Singida BS

NYOTA wawili wapya wa Singida Black Stars washambuliaji Abdoulaye Yonta Camara na Victorien Adebayor, wamepewa programu maalumu za mazoezi na kocha mkuu wa kikosi hicho, Patrick Aussems kutokana na kuchelewa kujiunga na wenzao msimu huu. Camara na Adebayor hawakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichoanza maandalizi ya msimu (pre season), jambo ambalo limemfanya Aussems…

Read More

Ayonga ndiye mbabe wa Gymkhana

MCHEZAJI maarufu wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, Kiki Ayonga ameshinda taji la mashindano ya mwisho wa mwezi ya UAP Insurance. Ayonga ameibuka kidedea kwa njia ya count back baada ya kufungana kwa mikwaju ya net na 79 na Joseph Placid aliyemaliza katika nafasi ya pili. “Nimefurahi sana kushinda taji hili la mashindano ya…

Read More

Bingwa achochea vita ya injini Iringa

DEREVA Yassin Yasser amesema yuko kamili kwa ajili ya kutetea ubingwa wake wa mbio  za magari  ya Iringa baada ya gari yake Ford Fiesta R5 kusukwa upya kufuatia ajali mbaya wakati wa mashindano mbio za magari ya kimataifa nchini Kenya. Nasser na msoma ramani wake Ali Katumba ndiyo mabingwa wa taifa wa mbio za magari…

Read More

Gamondi, Mzize wana siri nne

WAKATI mashabiki wa Wydad Casdablanca ya Morocco wakivamia ukurasa wa straika chipukizi wa Yanga, Clement Mzize anayehusishwa na timu hiyo sambamba na ile ya Kazier Chiefs ya Afrika Kusini, kocha mkuu wa klabu hiyo, Miguel Gamondi amebainisha mambo manne aliyonayo kwa mchezaji huyo. Mashabiki wa Wydad walivamia ukurasa wa Instagram wa Mzize wakimkaribisha katika timu…

Read More

Rekodi ya Zenji yamtesa Maabad

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid amesema jambo kubwa linalomuumiza kichwa ni kushindwa kufikisha angalau mabao 10 kwa msimu katika Ligi Kuu Bara tofauti na ilivyokuwa akicheza Ligi Kuu Zanzibar. Nyota huyo aliifungia Coastal bao la kusawazisha kwa mkwaju wa penalti dhidi ya KMC katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara msimu huu ambao…

Read More

Ateba aanza na bao, Simba ikibanwa mbavu.

STRAIKA mpya wa Simba, Leonel Ateba ameanza kufungua akaunti ya mabao katika kikosi hicho, baada ya jioni ya leo Jumamosi, kutupia bao katika sare ya 1-1 iliyopata timu hiyo mbele ya Al Hilal ya Sudan. Katika mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, nyota huyo…

Read More

Pacha ya Edgar, Selemani yasukwa

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate FC, Mohamed Muya amesema baada ya kuonja ushindi wa kwanza wa Ligi Kuu Bara msimu huu, anatengeneza muunganiko mzuri katika safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Edgar William na Seleman Mwalimu ‘Gomez’. Nyota hao waliipatia timu hiyo ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo Agosti…

Read More

14 wampasua kichwa Gamondi | Mwanaspoti

LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku kocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi kwa sasa akifunga na kuomba ili mastaa 14 wa timu hiyo walioitwa warudi salama ili kuendeleza moto kutetea ubingwa inayoushikili kwa msimu wa tatu mfululizo. Mechi za timu za…

Read More

Morocco: Stars ipo kamili gado

KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Suleimani ‘Morocco’ amesema, kikosi hicho kiko kamili kwa ajili ya michezo miwili ya kimataifa kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), itakayofanyika mwakani. Stars iliyopo kundi ‘H’ la kutafuta nafasi ya kufuzu michuano hiyo, itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini…

Read More